Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunaHuko nchini hakuna hizo mapigo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah sasa wewe maswala ya kufeerwa kwa machoko kunakuhusu nini. Usiingilie privacy ya dereva zingatia hesabu na usafi wa gari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo umeamua kuja kunisema huku, na hautakaa upate dereva anayekuletea hesabu zilizokamilika kama mimi maana nawajua madereva walivo, ni kweli nilikua nafanya hivo ila kazi nilikua napiga kisawasawa maana hiyo ndo motivation yangu
Kabisaa kaamua kumkomoaa jamaa ake.Umemuamini vp huyo mwanamke wake? Labda km kamuharibia tu jamaa ili kumkomoa
Wee unataka hesabu zako, au mtindo wake wa mahusiano ya mapenzi? Mbna ulivuka mipaka ya mkataba wenu. LolGari mpka ana*iria mashoga wa Magomeni, kumbuka siku namfuma alikuwa anatafuna shoga, nilichukizwa sana,
Kilichomfanya amfukuze sio womanizer, ila gayizer.Kama garii inatunzwa na hesabu inaletwa bila shida hukutakiwa kumfukuza , siku ukimpata mtu asiyetunza gari na kuleta hesabu kwa shida utamkumbuka huyo womaniser.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shoga ndio anaofanya hesabu ziletwe maana analipia huduma ya kufeerwa kwa bei juu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii nimeiwekea LaminationKilichomfanya amfukuze sio womanizer, ila gayizer.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana ni wengi mno, wengine mpaka wanaomba hela kwenye magari wakati wa foleni, ukimwambia utarudishaje anakwambia nifungulie mlango wa gari nikupe tako
Ndo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nimeiwekea Lamination
Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.
Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.
Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.
Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.
Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.
Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.