Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana

Atasingizia yuko kazini.....TRA ni task force tu huyo kitengo......mbona anajulikana......kesi ikiisha task force bye bye.........serengeti kunamhusu......hata kama ni best na Waziri....Katibu wa Mama
Inaonekana unamfahamu vizur
 
Atasingizia yuko kazini.....TRA ni task force tu huyo kitengo......mbona anajulikana......kesi ikiisha task force bye bye.........serengeti kunamhusu......hata kama ni best na Waziri....Katibu wa Mama
Tuwe na subira. Tusisahau ya 7baya. Ushahidi upo nje nje aliumiza wanànchi wa Hali ya chini lakini saambaya Yuko mtaani anakunywa whysky.
 
Mwamba jina lake limekaa kitaalamu sana.

Hii mbinu huwaga inatumika pia na wachangaji maarufu wanapotoboa, unkuta jina lake asili ni "Kwedu Patrick Mutale" ila anakuja kujiita " Theo Angel", hasa has kama umezaliwa juzi juzi ambapo asilimia kubwa ya marafiki wako wana computer literacy, na pia taarifa nyingi zinakuwa uploaded mtandaoni kuanzia selection, matokeo na kadharika
 
Back
Top Bottom