Sipo CCM wala chadema.Zamani nilidhani kama wewe kwa CCM, baada ya kuona Magufuli has gone nilifuta hii dhana!
😀😀 umeshapoteza muda kuniquoteNi kupoteza muda kukuponda
Kila Ubaya UtalipwaKwa maelezo ya kigogo jamaa aliwekewa sumu ya muda mrefu na mbunge wa Hanang kwa maelekezo ya CCM maana alikua mwiba mkali kwa CCM pale Hanang na Manyara kwa ujumla
Kwamba enzi zaa dhalimu magu tulikuwa hatujui yupi kaagiza auwawe, au yupi kafa natural death? Ben saa8 baada ya kuhoji PhD ya dhalimu alifia hospitali gani?Enzi za JPM mngesema ameuawa
Taarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308
Kwani wewe mwanachadema?Hatupondi Wajinga
Swali lako ni la kijingaKwani wewe mwanachadema?
Na huyu kafaje?Kwamba enzi zaa dhalimu magu tulikuwa hatujui yupi kaagiza auwawe, au yupi kafa natural death? Ben saa8 baada ya kuhoji PhD ya dhalimu alifia hospitali gani?
Hata hivyo enzi hizi nazo zinafanya hayo hayo.Enzi za JPM mngesema ameuawa
Wewe umeanza vituko.Wote ni watanzania.Achana na mambo ya mavyama.Nyumbani kwangu mimi ni CCM ninayeshabikia ukinzani.Watoto na mama yao wote ni utopolo...ooh sorry.Ni CCM lialia.Nawacheki tu.Nilidhani wana chadema huwa hawafi (joking msiniponde mawe).
Alale salama kamanda.
Mi nimeuliza kiutani tu mkuu wewe huonagi wanavyofurahiaga viongozi wa ccm wakifa, au hujawahi kuona.Wewe umeanza vituko.Wote ni watanzania.Achana na mambo ya mavyama.Nyumbani kwangu mimi ni CCM ninayeshabikia ukinzani.Watoto na mama yao wote ni utopolo...ooh sorry.Ni CCM lialia.Nawacheki tu.
Nimekuelewa.My apologies muheshimiwa.Mi nimeuliza kiutani tu mkuu wewe huonagi wanavyofurahiaga viongozi wa ccm wakifa, au hujawahi kuona.
Kifo ni kifo wote tutakufa.
Moja kwa Moja Mbinguni.Taarifa ya Chadema inayosambaa Mitandaoni inaeleza Kwamba, Derrick amefikwa na Umauti kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, haikutajwa sababu ya kifo hicho.
View attachment 3230298View attachment 3230301
Kwa Vile kufanya kazi ya Chadema ni kufanya kazi ya Mungu basi hatuna Mashaka na Mahali ambako Roho ya Derrick itapelekwa.
View attachment 3230308