Describe and explain anything about HIm/HEr

Hahaa babu mbona umetuchoka hivyo
 
Nimejikuta nacheka kwenye Jumuiya mpaka glasi yangu ya Konyagi imedondoka....

Swahiba ule waraka wetu tuutoe baada ya sakata la Bastola au tusubirie mpaka Mwigulu atumbuliwe??
Ngoja kwanza na huyu atumbuliwe ili hii muvie iishe tuanze na ya kwetu
 
She has:
1. A long straight beautiful neck with little rings round her.
2. She has sweet beautiful shy calling eyes.
3. She has small sweet lips.
4. She has a thin waist but thick sexy curve hips.
5. When walks she moves her waist such that she course vibrations on her behind..
6. She is very shy when speaking and cant look straight to your eyes until you hold her face up and look into her then she looks at you with shy.
7. She is very charm when you push her to her limits.
8. When you hold her tight she never want to let you go.
9. She likes to be open when she is in love...
10. She is very sensitive... She cries when you heart her. But she is easy to say sorry and admit her mistakes when she is wrong.
11. She is good in...


Cc: mahondaw
 
Hahaa umenikumbusha kitu nimechekajee. Siku ya kwanza geniveros amejiunga tu jf, akaja straight celebrities kule yupo "jamani naomba mnipokee na mimi ni mmbea mwenzenu", tulichekaa. Kumbe alikuwa anakula tu ubuyu as a guest akaona isiwe tabu akajiunga
 

Ha ha ha kumbe sjamkosea enhee mwanamke anapenda lile jukwaa si mchezo maana kwa umbea wa mjin anamkarbia warumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…