X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
oh...nawewe unafunga...au unauheshimu mwezi...tukwaresma hii eddy
ila mm nitaendelea tu na list yangu kama ban anipe tu hivi nakuachaje Emmy bila kukuingiza kwenye list utakubali uachwe na sakayoYaani! Sijui kwa nini eti
nafunga eddyMie kwa ruhusa yako ntaweka watatu kama hutajal maana wawil ni mtihan
Maumivu ya kumkosa yule mchumba wako yameshaisha?[emoji1][emoji1][emoji1]Mimi wa kwanza ni Paprika nimempenda na bure sijui km nimwanamke au ni binti Nikiangalia comment zake yani huwa anafikiria kitu kabla yakukiandika in short anaonekana nimwanamke mwenye hekima saana na anajielewa.... Wapo wengi lkn paprika kura yng imemuangukia ... Wa pili Daby ye pia tabia zake zinaendana kdg na paprika Alf unaonekana unaakili flani hviii sijui nizielezee vipi Alf we nimtu mzimaeee??
Wala sina neno mwaya ndio idadi iliyotajwa hakuna jinsi wanguila mm nitaendelea tu na list yangu kama ban anipe tu hivi nakuachaje Emmy bila kukuingiza kwenye list utakubali uachwe na sakayo
hahaha unaogopa nitapewa banWala sina neno mwaya ndio idadi iliyotajwa hakuna jinsi wangu
Hahahaaa! Hujamkoseahahahah ww nilivyokutaja upo hivyohivyo Emmy njo umsikie Daby
Si unajua tena hapaelewekihahaha unaogopa nitapewa ban
wanatakiwa wawili tu hao unaotaka kuongeza andika uzi wakoMie kwa ruhusa yako ntaweka watatu kama hutajal maana wawil ni mtihan
Hahaha haha mkuu umkakavueHivi Heaven on Earth bado yupo..? Nataka nimkakavue huyu kabla sijawadadavua wengineo..
Kwan wewe ndio mwenye thread ishia zakowanatakiwa wawili tu hao unaotaka kuongeza andika uzi wako
hivi kamaanisha nini [emoji23]Hahaha haha mkuu umkakavue
hii thread mwisho itakua yetu tu ndio tumeshaongea wenye threadKwan wewe ndio mwenye thread ishia zako
jipe nafasi ya upendeleo kuna watu hapo nataka kuwaskiageniveros huyu mtu hata sielew ilianzaje ila ghafla tukajikuta ni.marafik wa Karibu sana ki ukwel kwa jinsi nnavyomuona atakua mama fulan hv mwenye heshima zake ambae busara imejaa ila tu kwa story za celebrities tu namuona kama.wale ndugu zangu wa tandale kwa bi nyau maana humkos kwenye post za wema diamond na bongo muvie yote ila naamin Ana roho nzur tu
emmyta kwanza kwa maono yangu binti fulan muoga hv kila nikiangalia avatar naona kabisa mshika Dini ila muoga fulan wa ku comment ila naamin kuna maeneo ukimgusa bas utaona upande wake wa pili MMU Ndio jukwaa lake la kujiskia
Asprin baba la baba mtu mzima fulan ila ni wale wazee vijana huwez kumpiga fix kirahis na kizembe zembe akakubal yuko Vizur kwa totoz na anamain yeye kama wine anavyozeeka ndio anavyozid kuwa McHaro
Shunie tya02 Daby eddy muhando fakalava Raimundo espy nikipewa nafas ya upendleo ntawaelezea vizur
Kwangu wa tatu.
Ni espy
Huyu shemeji yangu anapenda kujikuza saana. Ni katoto ka juzi ila utaskia mimi mkubwa eti
Yeye kila mwaka anabadilisha mwanaume. Nikaona basi isiwe shida nimpe jina shemeji ili kumrahishia kazi.
Anapenda pesa ila ni kwa misimu. Kama kipindi hiki naona suala la pesa hajaligusia. Ukimkuta yupo serious ni malkia wa nguvu.