Describe and explain anything about HIm/HEr

Describe and explain anything about HIm/HEr

Mimi wa kwanza ni Paprika nimempenda na bure sijui km nimwanamke au ni binti Nikiangalia comment zake yani huwa anafikiria kitu kabla yakukiandika in short anaonekana nimwanamke mwenye hekima saana na anajielewa.... Wapo wengi lkn paprika kura yng imemuangukia ... Wa pili Daby ye pia tabia zake zinaendana kdg na paprika Alf unaonekana unaakili flani hviii sijui nizielezee vipi Alf we nimtu mzimaeee??
Maumivu ya kumkosa yule mchumba wako yameshaisha?[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwangu wa tatu.
Ni espy
Huyu shemeji yangu anapenda kujikuza saana. Ni katoto ka juzi ila utaskia mimi mkubwa eti
Yeye kila mwaka anabadilisha mwanaume. Nikaona basi isiwe shida nimpe jina shemeji ili kumrahishia kazi.

Anapenda pesa ila ni kwa misimu. Kama kipindi hiki naona suala la pesa hajaligusia. Ukimkuta yupo serious ni malkia wa nguvu.
 
geniveros huyu mtu hata sielew ilianzaje ila ghafla tukajikuta ni.marafik wa Karibu sana ki ukwel kwa jinsi nnavyomuona atakua mama fulan hv mwenye heshima zake ambae busara imejaa ila tu kwa story za celebrities tu namuona kama.wale ndugu zangu wa tandale kwa bi nyau maana humkos kwenye post za wema diamond na bongo muvie yote ila naamin Ana roho nzur tu

emmyta kwanza kwa maono yangu binti fulan muoga hv kila nikiangalia avatar naona kabisa mshika Dini ila muoga fulan wa ku comment ila naamin kuna maeneo ukimgusa bas utaona upande wake wa pili MMU Ndio jukwaa lake la kujiskia

Asprin baba la baba mtu mzima fulan ila ni wale wazee vijana huwez kumpiga fix kirahis na kizembe zembe akakubal yuko Vizur kwa totoz na anamain yeye kama wine anavyozeeka ndio anavyozid kuwa McHaro

Shunie tya02 Daby eddy muhando fakalava Raimundo espy nikipewa nafas ya upendleo ntawaelezea vizur
 
geniveros huyu mtu hata sielew ilianzaje ila ghafla tukajikuta ni.marafik wa Karibu sana ki ukwel kwa jinsi nnavyomuona atakua mama fulan hv mwenye heshima zake ambae busara imejaa ila tu kwa story za celebrities tu namuona kama.wale ndugu zangu wa tandale kwa bi nyau maana humkos kwenye post za wema diamond na bongo muvie yote ila naamin Ana roho nzur tu

emmyta kwanza kwa maono yangu binti fulan muoga hv kila nikiangalia avatar naona kabisa mshika Dini ila muoga fulan wa ku comment ila naamin kuna maeneo ukimgusa bas utaona upande wake wa pili MMU Ndio jukwaa lake la kujiskia

Asprin baba la baba mtu mzima fulan ila ni wale wazee vijana huwez kumpiga fix kirahis na kizembe zembe akakubal yuko Vizur kwa totoz na anamain yeye kama wine anavyozeeka ndio anavyozid kuwa McHaro

Shunie tya02 Daby eddy muhando fakalava Raimundo espy nikipewa nafas ya upendleo ntawaelezea vizur
jipe nafasi ya upendeleo kuna watu hapo nataka kuwaskia
 
Kwangu wa tatu.
Ni espy
Huyu shemeji yangu anapenda kujikuza saana. Ni katoto ka juzi ila utaskia mimi mkubwa eti
Yeye kila mwaka anabadilisha mwanaume. Nikaona basi isiwe shida nimpe jina shemeji ili kumrahishia kazi.

Anapenda pesa ila ni kwa misimu. Kama kipindi hiki naona suala la pesa hajaligusia. Ukimkuta yupo serious ni malkia wa nguvu.

[emoji115]Mkuu msema kweli ni mpenzi wa Mungu na kwenye hilo umesema kweli kwa hiyo wewe ni mpenzi wa Mungu!!....Kwenye huu uzi nilifikiri unatania ila nimeamini kuwa unatoa data za ukweli baada ya kuona hii fact!
 
Back
Top Bottom