KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Mkuu, KakaJambazi
Inawezekana kwa hisia tu, ila kwa hali ya kawaida haiwezekani, Mungu ndiye anaewaunganisha na ni yeye ndie alieweka hizo fomula za mimba kukaa kipindi cha miezi tisa tumboni ndipo kichanga kizaliwe.
Basi huyu sio Mungu, Mungu ninaye mjua mm ni mwenye uwezo wote, ndo mana hata Yesu alizaliwa kwa uwezo, sio ka ww kwa njia ya ngono.
Last edited by a moderator: