Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Kama huna mafumbo matakatifu kwenye imani yako, unayasherekea ya nini? Kutofautisha na wengine ndio maana unaambiwa useme kanuni ya imani. Kama huna kanuni ya imani, utawezaje kusherekea mafumbo ya kanuni ya imani. Huna kalenda ya mwaka, utasherekeaje kuanza kwa mwaka? Kuwepo kwa mafumbo kwenye kanuni ya imani ndiko kunakotufanya tusherekee hayo mafumbo, tarehe si kitu bali thamani ya fumbo linalosherekewa. Kikubwa zaidi kuzaliwa si kitu kama asingalifufuka.
kabla hajazaliwa ALIKUWEPO.
Kuzaliwa katika mwili, na Kufufuka ilikuwa ni lazima sio fumbo, na ilitabiriwa na yeye alisisitiza.
halikuwa suala la bahati nasibu.
Utamaduni kwa Kuadhimisha Birthday kwenye Bibilia ulifanywa na wapagani (herode na farao ) na wafalme wa israel waliomuasi Mungu na kuiga desturi za nje.
Kusherehekea birthday ni kuhafifisha Uungu wake, Yeye alikuwepo siku zote, Ni alfa na Omega.
Tusmlazimishe kuwa binadamu kama sisi eti Mungu anabirthday, labda kama tungekuwa hatujui kama alikuwepo kabla ya kuzaliwa. hii sikukuu inamuhafifisha Yesu achilia mbali makandokando yake mengine.
 
Makubaliano ya Kanisa Katoliki sio compulsory ya kila mfuasi wa Kristo. Hii inajumuisha xmass na easter.
Hao nao nawasaidia ikitokea wamependa kuelewa.
asili ya neno catholic ni kilatini kwa kiswahili universal, popote, kokote, ya wote. kasome kila kilatini ndo urudi hapa

Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
 
Tusmlazimishe kuwa binadamu kama sisi eti Mungu anabirthday, labda kama tungekuwa hatujui kama alikuwepo kabla ya kuzaliwa. hii sikukuu inamuhafifisha Yesu achilia mbali makandokando yake mengine.
icho kitu kanisa tunaita "umwilisho" najua hujaelewa na wala huwezi nielewa. ila ukitaka kwa neema ya Mungu unaweza kunielewa hata kama itakuchukua muda.
 
icho kitu kanisa tunaita "umwilisho" najua hujaelewa na wala huwezi nielewa. ila ukitaka kwa neema ya Mungu unaweza kunielewa hata kama itakuchukua muda.
hiyo sikukuu mtazamo wangu sio lazima ukubaliane. INAMUHAFIISHA YESU zaidi ya Kumuinua.
Yesu Kufanyika Mwili sio fundisho la imani flani, ila ni Biblical fact.
Yeye hana Mwanzo wala Mwisho wala Birtday wala Deathday. Ni wa Milele.
Hata kufa kwake anasema yeye Mwenyewe aliutoa uhai wake kisha akajirudishia.
Mnapaswa kumuelewa Yesu katika mapana yake, sio kila mwaka mnamrudisha zizini pa ng'ombe na tukio hilo kucopypaste sherehe za kipagani za wasiomjua Mungu kuzinasibisha na utukufu wa Yesu katika Ukombozi.
Ni tamaduni na desturi za kanisa, ila ningekuwa nakushauri uandike andiko kwa wakuu zako mzifute na kuwaachia wapagani matukio yao, nyie muendelee kumusherehekea moyoni mweny Kila Siku Kama Mungu wa Milele aliyefanyika mwili ili uokolewe milele. Hivyo ndivyo walivyofanya mitume. Hakuwezi kuwa na akili kuliko watu waliotembea na Yesu na kulala naye kwa zaidi ya miaka mitatu.
 
asili ya neno catholic ni kilatini kwa kiswahili universal, popote, kokote, ya wote. kasome kila kilatini ndo urudi hapa

Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
sawa hata SDA ni catholic maana wapo karibu nchi zote.
Hata Ugonjwa wa Moyo ni catholic
Kifo ni catholic
Uongo ni zaidi ya catholic maana upo kila kona ya dunia hadi wilaya za korea kusini vijijini.
Kujiita catholic sio shida, ila ukweli ni kwamba kanisa la rumi lilijipa nguvu dhidi ya makanaisa na maasokofu wengine wa kale na kwa nguvu za watawala wa kirumi, na kuforce link na petro ili waonekane kama wao ndio Yesu aliwaachia mikoba ila sio kweli.
Hiyo ni taasisi tu ya kidini ambayo inapatikana sehemu mbalimbali yenye makao makuu yake vatican ni ukweli unaotosha kabisa.
Kujinasibisha na agizo la Yesu mtu yoyote anaweza kufanya hiyo sio hoja mkuu.
 
hiyo sikukuu mtazamo wangu sio lazima ukubaliane. INAMUHAFIISHA YESU zaidi ya Kumuinua.
nakubaliana na biblical facts, nakubalia na sacred tradition, na ninakubaliana na mamlaka rasmi ya ufundishaji ya kanisa TU. nje ya hapo kwangu ni maoni bibafsi tu.

hivyo huo mtazamo wako usipouma na hivyo vitatu kwangu sio kitu nitautazama kama mawazo binafsi na kuyachambua pumba pembeni na mchele pembeni kisha mchele ninaubeba haijalishi huo mchele umetoka SDA au WAISLAM kwangu nitaubeba tu
 
Sijui kwa nini kuna watu hii sikukuu inawauma,wanakuja kutuandikia vimaneno vyao vyepesi vyepesi wakihisi watu hawatosheherekea...POLENI SANA Christmas itabaki kuwa Christmas......uhuru wa kuabudu na kuamini...mafundisho yenu FEKI pelekeni kwenye makanisa yenu au misikitini.
 
kabla hajazaliwa ALIKUWEPO.
Kuzaliwa katika mwili, na Kufufuka ilikuwa ni lazima sio fumbo, na ilitabiriwa na yeye alisisitiza.
halikuwa suala la bahati nasibu.
Utamaduni kwa Kuadhimisha Birthday kwenye Bibilia ulifanywa na wapagani (herode na farao ) na wafalme wa israel waliomuasi Mungu na kuiga desturi za nje.
Kusherehekea birthday ni kuhafifisha Uungu wake, Yeye alikuwepo siku zote, Ni alfa na Omega.
Tusmlazimishe kuwa binadamu kama sisi eti Mungu anabirthday, labda kama tungekuwa hatujui kama alikuwepo kabla ya kuzaliwa. hii sikukuu inamuhafifisha Yesu achilia mbali makandokando yake mengine.

Nasadiki kwa Mungu mmoja. Baba Mwenyezi, muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Nasadiki kwa Bwana mmoja Yesu Kristu, Mwana wa pekee wa Mungu. Alyezaliwa kwa Baba, tangu milele yote. Mungu aliyetoka kwa Mungu, mwanga kwa mwanga, Mungu kwel kwa Mungu kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, mwenye umungu mmoja na baba, ambaye vitu vyote vimeumbwa naye. Ameshuka toka mbinguni kwa ajil yetu sisi wanadamu na kwa ajili ya wokovu wetu. Akapata mwili kwa uwezo wa Roho Mtakatifu kwake yeye Bikira Maria, akawa mwanadamu.

Hiyo ni sehemu ya nasadiki ambayo kila mkatoliki anaisema kila siku kwernye sala ya asubuhi, anapunguza vipi Umungu wa Yesu kwa kusherekea kuzaliwa kwake?
 
nakubaliana na biblical facts, nakubalia na sacred tradition, na ninakubaliana na mamlaka rasmi ya ufundishaji ya kanisa TU. nje ya hapo kwangu ni maoni bibafsi tu.

hivyo huo mtazamo wako usipouma na hivyo vitatu kwangu sio kitu nitautazama kama mawazo binafsi na kuyachambua pumba pembeni na mchele pembeni kisha mchele ninaubeba haijalishi huo mchele umetoka SDA au WAISLAM kwangu nitaubeba tu
asante kwa kunifahamisha wigo wako wa authoritative source za imani yako.
Ila wigo huo unaonekana ni endless.
Binafsi naamini katika Bibilia na Bibilia pekee, Vingine vyote nje ya bibilia ni maoni ambayo yale yanayokubaliana na bibilia 66 books nakubaliana nayo, Yanayopingana kapuni, Yaliyoneutral ushauri wa Bibilia utasaidia kuyaendorse au kuyaweka kapuni.

ndio maana nasema krismass na easter ni hekima za kikatoliki na viongozi wao sio bibilia wala halina uhusiano wowote na bibilia hata kama litahusishwa na bibilia. Ni sahihi kwenu na wanaopenda ila sio universal christian practice.
 
Yesu Kufanyika Mwili sio fundisho la imani flani, ila ni Biblical fact.
biblical fact ndio ni biblical fact. ni kwenye biblia ndiko tunakochota kweli zote za kiimani

hivyo "umwilisho" linatoka kwenye biblia kwa sababu ni fundisho la kiimani na chanzo cha imani yote ya kanisa ni pamoja na biblia.

"sio fundisho la imani ila ni biblical fact" - unajipinga mwenyewe (sizungumzii umwilisho wa kwenye vitabu vya mama white nabii wa mwisho duniani ila nazungumzia umwilisho wa kwenye biblia kama chanzo cha imani ya wakristo)
 
Nasadiki kwa Mungu mmoja. Baba Mwenyezi, muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Nasadiki kwa Bwana mmoja Yesu Kristu, Mwana wa pekee wa Mungu. Alyezaliwa kwa Baba, tangu milele yote. Mungu aliyetoka kwa Mungu, mwanga kwa mwanga, Mungu kwel kwa Mungu kweli. Aliyezaliwa bila kuumbwa, mwenye umungu mmoja na baba, ambaye vitu vyote vimeumbwa naye. Ameshuka toka mbinguni kwa ajil yetu sisi wanadamu na kwa ajili ya wokovu wetu. Akapata mwili kwa uwezo wa Roho Mtakatifu kwake yeye Bikira Maria, akawa mwanadamu.

Hiyo ni sehemu ya nasadiki ambayo kila mkatoliki anaisema kila siku kwernye sala ya asubuhi, anapunguza vipi Umungu wa Yesu kwa kusherekea kuzaliwa kwake?
Baeleze
 
Sijui kwa nini kuna watu hii sikukuu inawauma,wanakuja kutuandikia vimaneno vyao vyepesi vyepesi wakihisi watu hawatosheherekea...POLENI SANA Christmas itabaki kuwa Christmas......uhuru wa kuabudu na kuamini...mafundisho yenu FEKI pelekeni kwenye makanisa yenu au misikitini.
hakuna anayekataa kanisa kujiwekea sikukuu zake kwa ajili ya waumini wake.
kama mtu ataumia kwa hilo atakuwa chizi, na itabidi aumie kwa mengi.
Ila kwa limehusisha Bibilia lazima na sisi wengine wanazi wa bibilia tutoe maoni,maonyo, mafunzo.
mtandao wetu huu mpendwa unatupa uhuru huo mkuu. sio dhambi.
 
biblical fact ndio ni biblical fact. ni kwenye biblia ndiko tunakochota kweli zote za kiimani

hivyo "umwilisho" linatoka kwenye biblia kwa sababu ni fundisho la kiimani na chanzo cha imani yote ya kanisa ni pamoja na biblia.

"sio fundisho la imani ila ni biblical fact" - unajipinga mwenyewe (sizungumzii umwilisho wa kwenye vitabu vya mama white nabii wa mwisho duniani ila nazungumzia umwilisho wa kwenye biblia kama chanzo cha imani ya wakristo)
unaweza ukaonyesha hilo fundisho la huyo mama kwenye ulichokiquote, itasaidia zaidi kuhalalisha mchango huu ulioutoa.
 
hakuna anayekataa kanisa kujiwekea sikukuu zake kwa ajili ya waumini wake.
kama mtu ataumia kwa hilo atakuwa chizi, na itabidi aumie kwa mengi.
Ila kwa limehusisha Bibilia lazima na sisi wengine wanazi wa bibilia tutoe maoni,maonyo, mafunzo.
mtandao wetu huu mpendwa unatupa uhuru huo mkuu. sio dhambi.
Why Christmas time then? kama sio kutaka kutuchafulia hali ya hewa.....maoni pelekeni mnakoabudu.
 
sawa hata SDA ni catholic maana wapo karibu nchi zote.
Hata Ugonjwa wa Moyo ni catholic
Kifo ni catholic
Uongo ni zaidi ya catholic maana upo kila kona ya dunia hadi wilaya za korea kusini vijijini.
Kujiita catholic sio shida, ila ukweli ni kwamba kanisa la rumi lilijipa nguvu dhidi ya makanaisa na maasokofu wengine wa kale na kwa nguvu za watawala wa kirumi, na kuforce link na petro ili waonekane kama wao ndio Yesu aliwaachia mikoba ila sio kweli.
sio kazi yangu kukufundisha KILATINI lugha ya kanisa na lugha ambayo hata kingereza chenyewe unachojidainacho kimetoa misamiati mingi tu ndani yake

nimekwambia kasome kwanza KILATINI kama lugha ya kanisa na kama lugha yenye athari katika biblia. ukimaliza ndo urudi hapa ili tuongee lugha moja.
 
Why Christmas time then? kama sio kutaka kutuchafulia hali ya hewa.....maoni pelekeni mnakoabudu.
asante kwa ushauri.
huwa tunajadili humu muda wote chochote humu mkuu.
ila ushauri mzuri, ingawa Bibilia inasema tunapaswa kuwa tayari wakati wowote kutetea tumaini tulilonalo ktk Yesu.
Kama unatumaini katika xmass ni vizuri tuelimishane, hata sisi wagalatia tunahaki ya kufahamishwa kwa upendo lkn bila hofu na matukano.
 
Back
Top Bottom