Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

asante kwa maoni kuwa chanzo cha kanisa katoliki sio bibilia tu.
ubarikiwe kwa maelezo
Amina, haya siyo maoni ni ndiyo ukweli na lazima ujue msingi mkuu wa mafundisho unabaki kuwa biblia, theolojia ya kanisa katoliki haimfundishi binadamu imani ambayo Mungu amefugwa na maandiko (Biblia) kwetu Mungu hana mipaka anatenda mambo makuu na mapya kila uchao.

Sasa wewe Mungu wako aliyelimited na biblia, si wa kwanza ata mafarisayo na masadukayo walipatwa na hali hii..! Yesu anaishi mioyoni na anatenda leo na kesho.
 
umedai xmass inaumri mkubwa kuliko bibilia. nikakupa ulichoquote
huo ni uongo mkuu.

mambo ya umri yameanzia kwenye SDA na KANISA kama huko kumekushinda usitake kuyahamishia kwenye biblia na xmas

upagani una umri mkubwa kuliko hivyo vyote biblia na xmas sasa sijui huo ukweli unataka uufiche wapi ?
 
Kabla sijamaliza huu Uzi najua kutakuwa na wasabato wameshapotis picha zao kuwa papa ni Freemason
 
Kabla sijamaliza huu Uzi najua kutakuwa na wasabato wameshapotis picha zao kuwa papa ni Freemason
Hahahhah..! Hawa jamaa ni brainwashed sawa na ndugu zangu wale watoto wa mama wa kambo..!
 
Amina, haya siyo maoni ni ndiyo ukweli na lazima ujue msingi mkuu wa mafundisho unabaki kuwa biblia, theolojia ya kanisa katoliki haimfundishi binadamu imani ambayo Mungu amefugwa na maandiko (Biblia) kwetu Mungu hana mipaka anatenda mambo makuu na mapya kila uchao.

Sasa wewe Mungu wako aliyelimited na biblia, si wa kwanza ata mafarisayo na masadukayo walipatwa na hali hii..! Yesu anaishi mioyoni na anatenda leo na kesho.
Wasabato ni mafarisayo walimsulubisha yesu.. Nampaka leo wanaendelea kumuudhi..
 
kama ilivyoandikwa katika chuo cha maneno ya nabii Isaya; Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.

Kila bonde litajazwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patalainishwa;

Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.

luka 3: 4-6

ninawatakia tafakari njema ya MAAJILIO (advent)
Mkuu sogea pm tafadhali nilipoteza mawasiliano
 
huo ni uongo mkuu.

mambo ya umri yameanzia kwenye SDA na KANISA kama huko kumekushinda usitake kuyahamishia kwenye biblia na xmas

upagani una umri mkubwa kuliko hivyo vyote biblia na xmas sasa sijui huo ukweli unataka uufiche wapi ?
asante kwa maoni.
usiwe unaanzisha vitu alafu ukihojiwa unaanza kurukaruka.
 
Amina, haya siyo maoni ni ndiyo ukweli na lazima ujue msingi mkuu wa mafundisho unabaki kuwa biblia, theolojia ya kanisa katoliki haimfundishi binadamu imani ambayo Mungu amefugwa na maandiko (Biblia) kwetu Mungu hana mipaka anatenda mambo makuu na mapya kila uchao.

Sasa wewe Mungu wako aliyelimited na biblia, si wa kwanza ata mafarisayo na masadukayo walipatwa na hali hii..! Yesu anaishi mioyoni na anatenda leo na kesho.
Theolojia hiyo inahamasisha upotofu.
 
kuhoji ni nini ?
kurukaruka ni nini ?

uzi umekushindwa kuuelewa sasa unataka tukusaidie nini mkuu, quote huo mrukoruko wangu nitakuja kukujibu.
huu huzi mkuu nimeshaufunga kitambo. lbda nisisitize. '' xmass ni ubatizwaji wa upagani kwa jina la Yesu'' mitume na Yesu mwenyewe watanishangaa nikifafanua nje ya hapo.

huko kwingine ni melezo baada ya hitimisho tu. uliposema imani yako ipo kabla hata ya bibilia with reference to SDA, nikakwambia hata upagani upo kabla ya Xmass ( kuzaliwa kwa Yesu kwa mujibu wa imani yako). Umri sio hoja, hoja ni compliance to truth. hayamengine ni matokeo tu ya kukwepa katika maelezo nje ya hitimisho.
 
huu huzi mkuu nimeshaufunga kitambo.
na uliko ufungulia ni wapi ? mpaka uufunge.

ni kweli umeufunga kwa hoja za pembeni na sio kwa kuvunja hoja na maandiko ya uzi husika ni kwa sababu huo uwezo HUNA. umeufunga kwa maoni yako na hisia zako ambazo ni unbiblical facts.
uliposema imani yako ipo kabla hata ya bibilia with reference to SDA, n
ni ukweli ambao ni 22/7 au 3.14 labda uhame dunia. huo ukweli ndo unaweza kugeka na kuwa kama unavopenda wewe
 
na uliko ufungulia ni wapi ? mpaka uufunge.

ni kweli umeufunga kwa hoja za pembeni na sio kwa kuvunja hoja na maandiko ya uzi husika ni kwa sababu huo uwezo HUNA. umeufunga kwa maoni yako na hisia zako ambazo ni unbiblical facts.

ni ukweli ambao ni 22/7 au 3.14 labda uhame dunia. huo ukweli ndo unaweza kugeka na kuwa kama unavopenda wewe
kuhusu hayo maneno ya muandishi nimeyafupisha wa, 2 peter 2:3 Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii.
nimejifunza kutokujibu utunzi ambao hauna mashiko. huo utunzi umejaa mapokeo.

kinachoaminiwa na SDA ni cha milele hakina umri. hivyo ujivuni wa ukuukuu wa imani yako mkuu pia hauna mashiko.
 
Back
Top Bottom