Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

MIMI NI MKRISTO
NINAYE-AMINI KWAMBA YESU ALIZALIWA NA BIKIRA MARIAM, AKAISHI DUNIANI KWA
KIPINDI CHA MIAKA 33, AKAUAWA NA KUZIKWA NA ILIPOFIKA SIKU YA TATU
ALIFUFUKA NA KWASASA YESU MBINGUNI NA ATAREJEA TENA KUWACHUKUA WALE
WALIO WATEULE WAKE KWENDA NAO MBINGUNI KAMA BIBLIA INAVYOSEMA.

HII HABARI YA WEWE SIYO MKRISTO AU WA KICHINA KWASABABU YA SWALI AMBALO
HATAHIVYO BADO HAMJALIJIBU; JE NI KWANINI TUNASHEHEREKEA KILA MWAKA 25
DESEMBA KAMA SIKU YESU ALIYOZALIWA? JE HAYA YANAPATA SUPPORT TOKA WAPI
WKT KWENYE BIBLIA TAKATIFU HAYAPO? -ungenijibu katika hilo ungekuwa
umenisaidia sana, kama una evidence ya kwenye Biblia, otherwise
unajaribu kukwepa ukweli kwamba tunasheherekea Matakwa ya Kibinadamu na
wala si mpango wa Mungu; kwani vipaumbele vyote muhimu katika ukombozi
wa Mwadamu (kazi aliyokuja YESU Duniani kuifanya) vyote vipo kwenye
BIBLIA TAKATIFU.

Nafahamu kuna watu hawapendi kujadili mambo ya kiimani kwasababu zao
mbali mbali lkn lililojema ni lipi? na ni kwanini tunaruhusiwa kuwa na
BIBLIA TAKATIFU na kushauriwa kukisoma? Je kama wote tungekuwa wavivu au
kutopenda kusoma Biblia Takatifu, Je Waakristo Waprotestant wangekuwepo
leo hii bila Martin Luther kufanya jitihada na Kusoma Biblia na kuelewa
yaliyomo?

Mimi nafikiri tusibezane kwa maneno ya kejeli ktk mambo muhimu kama
haya; wewe kama una facts za kutufanya tushehereke leo Desemba 25 kama
sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo, tupe hizo facts zinazotoka kwenye
BIBLIA TAKATIFU.

Halafu pia, neno la Mungu lina utaratibu, na hasa Ukristo, hivyo huwezi
kunishawishi kwamba ni suala la mtu yeyote kujisikia ni lini na siku
gani anasheherekea Kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Hiyo dhana ya uhuru huo
unautoa wapi kwenye Biblia takatifu? Labda unishawishi kwamba wewe
Biblia haikuhusu, na kama ndivyo basi hili swala nalo halikuhusu; kwani
hili suala ni kwa wale WAKRISTO AMBAO BIBLIA TAKATIFU NDICHO KITABU
KITAKATIFU na taratibu na Msingi wa Imani yao ipo kwenye Biblia
Takatifu.

NB; H1N1 na Mwafrikahalisi; tafadhali rejea mada yangu hapo juu na uone
kiini cha hoja yangu.

Nadhani hujamsoma vizuri mkuu H1N1 kama unaamini kuwa yesu alizaliwa kwa nini usikubaliane na X mass ni kweli biblia hajaitaja 25 dec kuwa ndo siku siku alipozaliwa Bwana Yesu,lakini wataalam wa maandiko ndo waliikadilia kuwa kuanzia Pasaka siku ya kuzaliwa kristo ilikuwa mwezi Dec.
Kama unaona haipo we unaweza kuendelea na shughuli zako hulazimishwa na mtu.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja kwanza nikafungue zawadi zangu nitarudi...
 
Umezungumza ukweli mtupu mkuu

Uko sahihi hakuna ukweli wowote juu ya hili

Ni ububusa tu

Mwenye hoja ya maombi atoe nasio kutukana.........!!!!!!!
 
umesoma Mwanzo-ufunuo hujaona sikuku za Bwana?basi soma vizuri kumb-torati utaziona.Albert pike huyo bwana ndiye mwenye siri yote.ukweli xmass ni lengo la shetani mbona watu wazini ,wanalewa siku hii ndio maana na amini alichoandika pike(....by art, industry and our resource we **********.)morals and Dogma Albert Pike)
 
Ht mm najiuriza km bikira Maria alitokewa na maraika mwezi wa 6 nakupata ujauzito mwezi huo, iweje yesu azaliwe mwez wa december 25 inamaana mimba ilika miez 6? Kwa kawaida mwanamke akipata ujauzito huka miez 9. Najua mtajb kua yeye ni mungu au mwana wk pekee wa mungu, km nikwel wap maandiko yameandikwa? Achen kusherehekea ckukuu za ku2ngwa.

Ushauli wangu IDD ndio ckukuu peke iliyo sahihi ht km c mkristo, kwa maana imeandikwa hat kwenye BIBLIA
 
Kawaulize mapadre wa kanisa LA kwanza LA kikiristo na CIO hao waanjirist na wachungaji wa komapokeo
 
mtoa mada una point kubwa sana..inahitaji kujibiwa kwa ushahidi..

lakini ushauri wangu ni kwamba kama huamini na hauna ushahidi wa kibiblia..usisherehekee mbona wengi katika watu hawasherehekei?

Mkuu, 25 dec. ni KUMBUKUMBU ya kuzaliwa Yesu, ....na pia tusizoee kukariri kuwa kila kitu kimeandikwa, mbona sijawahi kuona mstari wowote kwenye biblia toka mwanzo hata ufunuo uliosema Yesu alicheka..unadhani katika maisha yake yote hakuwahi kucheka?!
 
jibu hajapewa,, amesema wapi katika biblia baaaas,,, mbona simpo tu hakunaaaaaa qhalas
 
Mimi ni Mkristo na pia sisherekeagi hio wsnayoita krismas..
Nakuunga mkono 99.8%

Nafurahi kuona kumbe kuna watu wamefunguka kuhusu hilo..


Wonderful..🙄😕🙄
 
Mimi ni Mkristo na pia sisherekeagi hio wsnayoita krismas..
Nakuunga mkono 99.8%

Nafurahi kuona kumbe kuna watu wamefunguka kuhusu hilo..


Wonderful..🙄😕🙄

we unasherekea nini?
 
Pasaka🙂🙂🙂

usisahau kuniambia tarehe, no kunipa mstari wa tarehe, kama haupo inakuwaje mwaka jana na huu tarehe zikawa tofauti mnahesabu nini (kipo kama agizo kwenye Biblia)?
 
Mbona iko wazi kuwa xmas ni ukumbusho wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo na sio exact date? Unless unajipakazia ukristo, pia utahoji kuwa kutoka Dec mpaka March/April (pasaka) ni miaka 30+ ya Yesu!
 
WANAJF;
Kwanza naomba nideclare kwamba mimi ni Mkristo tena anayejitahidi kwa nafasi yangu kuelewa vema kile ninachoamini. Nikiwa kama Mkristo, msingi wangu wa IMANI umejengwa katika MAANDIKO MATAKATIFU, yaani BIBLIA TAKATIFU. Hivyo, vyote ninavyofanya na maisha ninayoishi yanapaswa yaakisi kile nilichoelekezwa kwenye Biblia. Sasa ndugu zangu, hii Sikukuu ya Kristmas nimekuwa nikisherehekea toka nikiwa mdogo mpaka ukubwani lakni jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba HAKUNA UKWELI WOWOTE KATIKA BIBLIA TAKATIFU KWAMBA YESU ALIZALIWA DESEMBA 25. Na kwasababu hii kitu inakosa support ya maandiko matakatifu, hivyo naamini wengi wetu tunaisheherekea tu kwasababu ya MKUMBO na MAZOEA TU. Kama kuna mtu yeyote, Mwanafunzi wa Biblia anayeweza kunisaidia na fungu lolote kwenye Biblia (toka Kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo) basi naomba anisaidie.

Zaidi ya kukosa suport ya Maandiko Matakatifu, lkn pia hata kipindi chote (Miaka 33) alichoishi Bwana Wetu YESU KRISTO hapa Duniani na hata kipindi cha Mitume, hatuoni kama kuna kipindi Bwana wetu Yesu au Mitume walishhiriki Birth-day ya BWANA WETU YESU KRISTO. Sasa hapo ndipo suali linakuja, je waanzilishi wa hii siku ya Kristmas walikuwa na kusudio gani? na ni kwa nini hii siku imekuwa na mwamko mkuu kiasi hiki katika IMANI YA KIKRISTO wakati hata kwenye BIBLIA TAKATIFU haijaonyeshwa kwamba tunapaswa kuisheherekea.

Nafahamu kwamba wapo wale watakaonibeza lkn hata Biblia inatuambia kwamba siku ile ATAKAPORUDI BWANA WETU YESU KRISTO KUWACHUKUA WATEULE WAKE kwenda nao MBINGUNI, hakutakuwa na sababu Ohooo mimi sikujua wala mimi nilikuwa naambiwa tu Viongozi wangu wa DINI (ambao naamini hata ukiwauliza kuhusu hii Kristmas watakosa Jibu la kukuambia, labda itakuwa ni Propaganda tu zisikokuwa na support ya kwenye Biblia Matakatifu). Na Biblia iko wazi zaidi kwa kusema; Watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa.

NB: Siamini kama ni makosa kujadili kitu muhimu kama hiki, kwani sioni tatizo la kueleweshana ktk suala ambalo lina mustakabali wa mambo yetu ya kiimani. Ndiyo maana hata katika baadhi ya Makanisa yetu kuna vipindi vya mjadala katika mambo mbalimbali ya kiimani.

Nawasilisha.

Kwa maoni yako, x-mas isheherekewe lini?
 
ipo kwenye Biblia?
Naonba mstari.

Kwenye biblia ipo na ilikuwa inasherehekewa tangu enzi na enzi kabla ya kuja kwa YESU KRISTO
*******************
Soma,
Mathayo mtakatifu 26:mstari wa pili..
 
itakuwa umeusahau,
pasaka inahusisha kuchinja, huwa unachinja na kula na familia+/majirani, au unakunywa vyoda na pitau tu.

Aah inaonekana huwa wewe sio msomaji mzuri wa biblia
 
Kwenye biblia ipo na ilikuwa inasherehekewa tangu enzi na enzi kabla ya kuja kwa YESU KRISTO
*******************
Soma,
Mathayo mtakatifu 26:mstari wa pili..

baada ya siku mbili ndio tarehe ngapi au nanyi mnabahatisha kama sisi tunaosherekea xmas
 
Back
Top Bottom