Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Aah inaonekana huwa wewe sio msomaji mzuri wa biblia

unatakiwa ule kwa haraka jambia kiunoni fimbo mkononi ukikata pande kubwa na kula kwa haraka, usisahau ukaweka chumvi au kubakisha utaharibu sikukuu.
KARUDIE MAANDIKO UREKEBISHE MSIMAMO WAKO.
Hiyo ni sikuku moja tu unayoiamini na hauijui, zilizobaki?
 
baada ya siku mbili ndio tarehe ngapi au nanyi mnabahatisha kama sisi tunaosherekea xmas

Wee ni mbishi mno
Haya soma walawi 23:5

Usibishane na mimi tena.

NB:neno la mungu halisomwi kama gazeti.
Hakikisha.
You are right with The Good LORD,
Then The GOOD LORD Will help you know the truth and the TRUTH shall make you FREE..
 
unatakiwa ule kwa haraka jambia kiunoni fimbo mkononi ukikata pande kubwa na kula kwa haraka, usisahau ukaweka chumvi au kubakisha utaharibu sikukuu.
KARUDIE MAANDIKO UREKEBISHE MSIMAMO WAKO.
Hiyo ni sikuku moja tu unayoiamini na hauijui, zilizobaki?

Ni bora kuto jua kuliko kujifanya unajua kumbe hujui

Errr kuhusu sikukuu zilizo baki
Ni siku ya kwenda mbinguni...
Ova...
 
Ni bora kuto jua kuliko kujifanya unajua kumbe hujui

Errr kuhusu sikukuu zilizo baki
Ni siku ya kwenda mbinguni...
Ova...

mkuu, nilipo kuona unapanic, nikaona vema nikuombe samahani.
Jua lina kuchwa, tusameheane mzee, nakiri kosa.
 
.😕🙄😕🙄😕

we jamaa mbishi hata kutoa msamaha.

Tukiachana na yote unaonekana kondoo mpya bado haujakomaa, ukipotea nitakua nimefanya jambo lisilokuwa jema.

Kwani radio za polisi sikuhizi zina 3g, maana naona OVA nyingi upande wako
 
Sabato oyeeeeeeee, hakuna krisimasi wala pasaka
 
Errr kuhusu sikukuu zilizo baki
Ni siku ya kwenda mbinguni...
Ova...
ngoja niende kama utakavyo wewe, umeshindwa kurekebisha nilichokuelekeza kuhusu Pasaka, umeonyesha uchanga wako hapo. Umeshindwa kunipa tarehe ya pasaka na mengine madogo madogo, unazidi kuonyesha uchanga.
Kwakuwa umerukia kwenda mbinguni, ngoja nikufuate huko, naona kama una haraka sana ya kwenda mbinguni. Ndugu, Roho iliyofanya kazi ndani ya Eliya inatakiwa itumike mara nne kabla mbingu hujaziona, imeshatumika mara ngapi Duniani mpaka uwe na haraka hivyo?
 
ngoja niende kama utakavyo wewe, umeshindwa kurekebisha nilichokuelekeza kuhusu Pasaka, umeonyesha uchanga wako hapo. Umeshindwa kunipa tarehe ya pasaka na mengine madogo madogo, unazidi kuonyesha uchanga.
Kwakuwa umerukia kwenda mbinguni, ngoja nikufuate huko, naona kama una haraka sana ya kwenda mbinguni. Ndugu, Roho iliyofanya kazi ndani ya Eliya inatakiwa itumike mara nne kabla mbingu hujaziona, imeshatumika mara ngapi Duniani mpaka uwe na haraka hivyo?

Hahahahh mmmmh ndugu yangu leo umenikomaliaa balaa plz i want to know u better ..

Err kuhusu roho ya eliya kutumika mara nne sitaki kuliongelea hilo.

But nafurahi kwamba mimi ni bado mchanga(kinda) kama usemavyo ww

Ila mmmh,
Kumbuka;
"Waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ......."😉😉🙄
Ova.
 
Ht mm najiuriza km bikira Maria alitokewa na maraika mwezi wa 6 nakupata ujauzito mwezi huo, iweje yesu azaliwe mwez wa december 25 inamaana mimba ilika miez 6? Kwa kawaida mwanamke akipata ujauzito huka miez 9. Najua mtajb kua yeye ni mungu au mwana wk pekee wa mungu, km nikwel wap maandiko yameandikwa? Achen kusherehekea ckukuu za ku2ngwa.

Ushauli wangu IDD ndio ckukuu peke iliyo sahihi ht km c mkristo, kwa maana imeandikwa hat kwenye BIBLIA

you must be out of your senses. Idd imeandikwa wapi kwenye Biblia?
 
Pamoja mkuu, sote waKristo turekebishane tunapokosea, kwa namna njema, upendo na busara.

Shalom.

Hahahahh mmmmh ndugu yangu leo umenikomaliaa balaa plz i want to know u better ..

Err kuhusu roho ya eliya kutumika mara nne sitaki kuliongelea hilo.

But nafurahi kwamba mimi ni bado mchanga(kinda) kama usemavyo ww

Ila mmmh,
Kumbuka;
"Waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ......."😉😉🙄
Ova.
 
Sasa wewe poyoyo kinacho kushangaza hapo ninini kama aliweza kubeba mimba akiwa kigori yaani bikira mariam kinachoshindikana kuzaa kwa miezi sita ni nini? Acheni kuwa matomaso na ndio maana biblia imeandikwa mtasoma lakini hamtaelewa mtasikia lakini hamta sadiki imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo
 
1. Hakuna sehem yeyote kwenye biblia inayozungumzia Christ Masss.

2. Tar 25 ilikua ni sikukuu ya kusherehekea MUNGU WA JUA wakati wa utawala wa kirumi katika makoloni yao yote duniani, baada ya mfalme Constantine kuongoka na kua Mkristo, aliamuru UKRISTO kua state religion na kwa kua ilikua ni dini ya mfalme ilibidi watu wote katika taifa waifuate, hivyo wapagani wakabatizwa na kua wakristo safi,

TAR 25
Wakristo hawa sasa badala ya kuendelea kufanya sikukuu ya Mungu wa Jua, waliibadili siku hiyo kua ni ya kusherehekea nuru mpya (JUA) iliyoangazia dunia katika mioyo yao ambayo ndio Yesu Kristo.

Isa 9:2 (watu wale waliokwenda katika giza wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti Nuru imewaangaza.
 
Ndo maama huwa nasemaga zitapita makanisa yote ila RC litabaki.....point ya msingi ni kwamba 25 dec ni siku kuu ya mungu jua ambayo ilikuwa inasheherekewa na watu wa roman empire miaka mingi ilopita...kwanin 25 dec...ni kwamba...kwa wale waliofika atleast form two katika elimu yao wanaweza kulielewa hili..jua huwa lautosi tropic of kapricon tar 22 dec...katika kipindi iki mwanga huwa hafifu sana katika northen hemisphere hivyo wanaamini kuwa mungu jua amezidiwa nguvu na mungu wa giza....ila inapofika tar 23 24 mpaka 25 mwanga huwa unaanza kuongezeka katika maeneo hayo kwa vile jua huwa linaanza tena kurudi kuelekea juu hivyo wanasema mungu jua kashinda na ameregain his power....ukiangalia siku ambazo jua huwa limeadimika kule ni almst siku tatu...ni siku izo izo ambazo yesu nae alikuwa kaburin kabla ya kufufuka...kwanini katholic litasimama daima...bible kama inavoonekana leo ni kazi ya kanisa katoliki...miaka ya 1200 kuna mijadala mizito ilifanyika na kanisa katika kuamua vitabu vipi viwepo na vipi visiwepo kwa sababu moja au nyingine...ndo maana chanzo kikubwa cha mafundisho ya wakatoliki ni kotoka kwenye bible...roho mtakatifu na from mapokeo...mapokeo yanainclude vile vitabu ambavyo havijakuwa cooporated kwenye bible..makanisa mengine hawavijui wanategemea bible tu ilioundwa na wakatoliki..think deep...unadhani mtume mkubwa kama petro hana maandiko yake kuhusu yesu...mpaka injili ije kuandikwa na luka na marko ambao hawakuwai kukutana na yesu hata kwa bahati mbaya....petro ana maandiko yake abt yesu..na mitume wengine pia ila kanisa limeyahifadhi kwa sababu mbalimbali...kuna mwenye swali

kaka.me nmekuw mroman miak tangu na nazaliw na kupokea komnio..bt after kuuliza yale mengi yatendakayo na kutopata majibu ya kuridhisha . pia kufanya utafiti nimegundua mambo mengi tuna pelekana na hayan ukweli wowot..hebu tuwek mapokeo pembeni kdgo na tuzungumze mada iliyopo tukiw open minded.coz wengi tunahitaji majibu na hata mm pia . hatupo hapa kubezan na kubshana bali ni kuelimishana. hebu tu act kama wakristo walivyo wapole wenye huruma na kuheshimiana tulizungumze hili.bila kutumia kauli za mzaha na kebehi.
 
Back
Top Bottom