Aah inaonekana huwa wewe sio msomaji mzuri wa biblia
Nimeipenda hii
baada ya siku mbili ndio tarehe ngapi au nanyi mnabahatisha kama sisi tunaosherekea xmas
unatakiwa ule kwa haraka jambia kiunoni fimbo mkononi ukikata pande kubwa na kula kwa haraka, usisahau ukaweka chumvi au kubakisha utaharibu sikukuu.
KARUDIE MAANDIKO UREKEBISHE MSIMAMO WAKO.
Hiyo ni sikuku moja tu unayoiamini na hauijui, zilizobaki?
Ni bora kuto jua kuliko kujifanya unajua kumbe hujui
Errr kuhusu sikukuu zilizo baki
Ni siku ya kwenda mbinguni...
Ova...
.πππππ
ngoja niende kama utakavyo wewe, umeshindwa kurekebisha nilichokuelekeza kuhusu Pasaka, umeonyesha uchanga wako hapo. Umeshindwa kunipa tarehe ya pasaka na mengine madogo madogo, unazidi kuonyesha uchanga.Errr kuhusu sikukuu zilizo baki
Ni siku ya kwenda mbinguni...
Ova...
ngoja niende kama utakavyo wewe, umeshindwa kurekebisha nilichokuelekeza kuhusu Pasaka, umeonyesha uchanga wako hapo. Umeshindwa kunipa tarehe ya pasaka na mengine madogo madogo, unazidi kuonyesha uchanga.
Kwakuwa umerukia kwenda mbinguni, ngoja nikufuate huko, naona kama una haraka sana ya kwenda mbinguni. Ndugu, Roho iliyofanya kazi ndani ya Eliya inatakiwa itumike mara nne kabla mbingu hujaziona, imeshatumika mara ngapi Duniani mpaka uwe na haraka hivyo?
Ht mm najiuriza km bikira Maria alitokewa na maraika mwezi wa 6 nakupata ujauzito mwezi huo, iweje yesu azaliwe mwez wa december 25 inamaana mimba ilika miez 6? Kwa kawaida mwanamke akipata ujauzito huka miez 9. Najua mtajb kua yeye ni mungu au mwana wk pekee wa mungu, km nikwel wap maandiko yameandikwa? Achen kusherehekea ckukuu za ku2ngwa.
Ushauli wangu IDD ndio ckukuu peke iliyo sahihi ht km c mkristo, kwa maana imeandikwa hat kwenye BIBLIA
Hahahahh mmmmh ndugu yangu leo umenikomaliaa balaa plz i want to know u better ..
Err kuhusu roho ya eliya kutumika mara nne sitaki kuliongelea hilo.
But nafurahi kwamba mimi ni bado mchanga(kinda) kama usemavyo ww
Ila mmmh,
Kumbuka;
"Waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ......."πππ
Ova.
Pamoja mkuu, sote waKristo turekebishane tunapokosea, kwa namna njema, upendo na busara.
Shalom.
hii ni siku ya kumbumbuku tu,si exact siku aliyozaliwa
Ndo maama huwa nasemaga zitapita makanisa yote ila RC litabaki.....point ya msingi ni kwamba 25 dec ni siku kuu ya mungu jua ambayo ilikuwa inasheherekewa na watu wa roman empire miaka mingi ilopita...kwanin 25 dec...ni kwamba...kwa wale waliofika atleast form two katika elimu yao wanaweza kulielewa hili..jua huwa lautosi tropic of kapricon tar 22 dec...katika kipindi iki mwanga huwa hafifu sana katika northen hemisphere hivyo wanaamini kuwa mungu jua amezidiwa nguvu na mungu wa giza....ila inapofika tar 23 24 mpaka 25 mwanga huwa unaanza kuongezeka katika maeneo hayo kwa vile jua huwa linaanza tena kurudi kuelekea juu hivyo wanasema mungu jua kashinda na ameregain his power....ukiangalia siku ambazo jua huwa limeadimika kule ni almst siku tatu...ni siku izo izo ambazo yesu nae alikuwa kaburin kabla ya kufufuka...kwanini katholic litasimama daima...bible kama inavoonekana leo ni kazi ya kanisa katoliki...miaka ya 1200 kuna mijadala mizito ilifanyika na kanisa katika kuamua vitabu vipi viwepo na vipi visiwepo kwa sababu moja au nyingine...ndo maana chanzo kikubwa cha mafundisho ya wakatoliki ni kotoka kwenye bible...roho mtakatifu na from mapokeo...mapokeo yanainclude vile vitabu ambavyo havijakuwa cooporated kwenye bible..makanisa mengine hawavijui wanategemea bible tu ilioundwa na wakatoliki..think deep...unadhani mtume mkubwa kama petro hana maandiko yake kuhusu yesu...mpaka injili ije kuandikwa na luka na marko ambao hawakuwai kukutana na yesu hata kwa bahati mbaya....petro ana maandiko yake abt yesu..na mitume wengine pia ila kanisa limeyahifadhi kwa sababu mbalimbali...kuna mwenye swali
Pasakaπππ
itakuwa umeusahau,
pasaka inahusisha kuchinja, huwa unachinja na kula na familia+/majirani, au unakunywa vyoda na pitau tu.
Cha msingi ni ukweli kwamba Yesu alizaliwa na 25 dec ndio imetokea kuwa siku ya kumbukumbu.
Asiyetaka kusherekea anaweza akaacha sio kila kitu kwa ajili ya kila mtu.