Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Speculation as to the time of Jesus? birth dates back to the 3rd century, when Hyppolytus (ca. 170-236) claimed that Jesus was born on December 25. The earliest mention of some sort of observance on that date is in the Philoclian Calendar, representing Roman practice, of the year 336. Later, John Chrysostom favored the same date of birth. Cyril of Jerusalem (348-386) had access to the original Roman birth census, which also documented that Jesus was born on the 25th of December. The date eventually became the officially recognized date for Christmas in part because it coincided with the pagan festivals celebrating Saturnalia and the winter solstice. The church thereby offered people a Christian alternative to the pagan festivities and eventually reinterpreted many of their symbols and actions in ways acceptable to Christian faith and practice.

December 25 has become more and more acceptable as the birth date of Jesus. However, some argue that the birth occurred in some other season, such as in the fall. Followers of this theory claim that the Judean winters were too cold for shepherds to be watching their flocks by night. History proves otherwise, however, and we have historical evidence that unblemished lambs for the Temple sacrifice were in fact kept in the fields near Bethlehem during the winter months. With that said, it is impossible to prove whether or not Jesus was born on December 25. And, ultimately, it does not matter.

The truth is we simply don?t know the exact date of our Savior?s birth. In fact, we don?t even know for sure the year in which He was born. Scholars believe it was somewhere between 6 B.C. and 4 B.C. One thing is clear: if God felt it was important for us to know the exact date of the Savior?s birth, He certainly would have told us in His Word. The Gospel of Luke gives very specific details about the event, even down to what the baby was wearing ? ?swaddling clothes??and where he slept??in a manger? (Luke 2:12). These details are important because they speak of His nature and character, meek and lowly. But the exact date of His birth has no significance whatsoever, which may be why God chose not to mention it.

The fact is that He was born, that He came into the world to atone for our sins, that He was resurrected to eternal life, and that He?s alive today. This is what we should celebrate, as we are told in the Old Testament in such passages as-Zechariah 2:10: ?'Shout and be glad, O Daughter of Zion. For I am coming, and I will live among you,' declares the LORD.? Further, the angel that announced the birth to the shepherds brought ?good news of great joy that will be for all the people? (Luke 2:10). Surely here is the cause for celebration every day, not just once a year.
 
tatizo kubwa ni KWANINI YESU AZALIWE TAREHE 25 DECEMBER(na tusheherekee) WAKATI HAKUNA UTHIBITISHO WA AINA YEYOTE KUTOKA KWENYE BIBLIA?
na kinachofanya watu wahoji juu ya kuzaliwa kwake hiyo tarehe 25 december ni kwasababu hiyo tarehe kwa hapo zamani wababeli walikuwa wanasheherekea juu ya kuzaliwa kwa mungu JUA/sun god...
katika siku ya JUMAPILI/sundey﹉

Mkuu bila kusahau nchi nyingine huwa tunasherehekea kuzaliwa kwa Yesu tarehe 24 December kwahiyo ndo ujue fika kuwa hiyo tarehe ni fake tu kama yalivyo maswala mengine kuhusu dini
 
Mkuu bila kusahau nchi nyingine huwa tunasherehekea kuzaliwa kwa Yesu tarehe 24 December kwahiyo ndo ujue fika kuwa hiyo tarehe ni fake tu kama yalivyo maswala mengine kuhusu dini

Kamaa maswalaa yeapi kiongoz
 
Kamaa maswalaa yeapi kiongoz

Mkuu hapa naona kama tutatoka nje ya uzi.... Ila kiufupi tafuta uzi wenye kichwa kinachosema " Ukweli kuhusu dini hasa uislamu na ukristo " wa Pokofame sambamba na nyingine nyingi za aina hiyo katika jukwaa hili hili.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapa naona kama tutatoka nje ya uzi.... Ila kiufupi tafuta uzi wenye kichwa kinachosema " Ukweli kuhusu dini hasa uislamu na ukristo " wa Pokofame sambamba na nyingine nyingi za aina hiyo katika jukwaa hili hili.

Aiseee nimepitaa kwa hiyoo thread ..
unaweza changanyikiwa kama humjuii Mungu wakoo vema
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitabu kinaitwa 'Pagan Christ' tafadhalini kitafuteni mkisome au search kwenye 'Utube' mtajifundisha mambo mengi sana na kuondoa changa la macho na mtajifundisha jinsi ukristo ume-adopt ibada, itikadi, imani, tambiko na mafundiaho mengi mno ya kipagani ikiwemo Christmas, Pasaka, holly communion, kunywa wine na kusymbolise damu ya Yesu, kula mkate kusymbolise mwili wa Yesu mpaka kuungama. Hizi zote zilikuwa ni itikadi na mafundisho ya kipagani.
 
HORUS ambae alikuwa mungu wa ancient Egypt alikuwa mungu wa Jua aliabudiwa miaka 3000 kabla Yesu kuzaliwa. mungu mwing anaeitwa Mithras aliyeabudiwa miaka 2000 kabla ya Yesu kuzaliwa na hii Mithraism ilikuwa ni dini ya warumi wakati Yesu anazaliwa mpaka kusulubiwa. HORUS NA MITHRAS wote wamezaliwa December 25th. Ibada za dini zote walikuwa wa ki fanya siku ya jumapili wakati Yesu alifanya ibada zake siku ya jumamosi (sabath)
1. Horus alikuwa na 12 disciples
2. Alisulubiwa siku ya Pasaka na akafufuka baada siku tatu
2. Aliitwa the Messiah, son of god, good shepherd, lamb of god, the way the truth and the light
3. Alitembea juu ya maji
4. Ageuza maji kuwa wine
5.alibashiriwa na nyota tatu
 
6. Horus was baptised in the river Heridanus wakati Jesus in river jordan
7. Both walibatizwa wakiwa na miaka 30
8. Horus alibatizwa na Enup the baptizer wakati Yesu alibatizwa na John the baptist
9. Wote wawili walisulubiwa
10. Wote wawili walisulubiwa miongoni mwao walisulubiwa na wezi wawili
11. Wote wawili walitambulika kwa nembwe ya samaki au Pisces.

Kuna zaidi ya similarities 40. Nawaachia nyinyi mufanye utafiti kupitia Google na Utube. Hii ni historical fact na sio zinajulikana na watu wote Europe isipokuwaa sisi wa africa wengi hatujui ndio hawajui tunaendelea kudanganywa tu.
 
Kuna kitabu kinaitwa 'Pagan Christ' tafadhalini kitafuteni mkisome au search kwenye 'Utube' mtajifundisha mambo mengi sana na kuondoa changa la macho na mtajifundisha jinsi ukristo ume-adopt ibada, itikadi, imani, tambiko na mafundiaho mengi mno ya kipagani ikiwemo Christmas, Pasaka, holly communion, kunywa wine na kusymbolise damu ya Yesu, kula mkate kusymbolise mwili wa Yesu mpaka kuungama. Hizi zote zilikuwa ni itikadi na mafundisho ya kipagani.

Kwanii wewe dinii gani?
 
HORUS ambae alikuwa mungu wa ancient Egypt alikuwa mungu wa Jua aliabudiwa miaka 3000 kabla Yesu kuzaliwa. mungu mwing anaeitwa Mithras aliyeabudiwa miaka 2000 kabla ya Yesu kuzaliwa na hii Mithraism ilikuwa ni dini ya warumi wakati Yesu anazaliwa mpaka kusulubiwa. HORUS NA MITHRAS wote wamezaliwa December 25th. Ibada za dini zote walikuwa wa ki fanya siku ya jumapili wakati Yesu alifanya ibada zake siku ya jumamosi (sabath)
1. Horus alikuwa na 12 disciples
2. Alisulubiwa siku ya Pasaka na akafufuka baada siku tatu
2. Aliitwa the Messiah, son of god, good shepherd, lamb of god, the way the truth and the light
3. Alitembea juu ya maji
4. Ageuza maji kuwa wine
5.alibashiriwa na nyota tatu

Mkuu point zako tano,zinathibitisha kuwa,kisa cha yesu ni C&P ya ancient Egypt mythology

X-mass ni world wide business day,wafanyabiashara hufaidika
watu wanapoteza mabillion ya dollars kwa ajiri ya upuuzi kama huu
Mr.pombe angeifuta tu,iwe siku ya kufanya usafi vyooni
 
Aiseee nimepitaa kwa hiyoo thread ..
unaweza changanyikiwa kama humjuii Mungu wakoo vema

hahahaa!

ile ni sehemu ndogo tu ya arguments zinazoweza kutingisha imani yako
Mimi huwa sikubaliani na watu wanaoamini,huku wakiwa na wasiwasi moyoni
kama kuna kitu kinakutatizo katika kitabu chako cha dini,kichunguze wewe mwenyewe kuliko kumtegemea mchungaji
kama wewe upo interested na science,kitabu cha Genesis pekee kinatosha kuondoa imani yako

BTW,kwani mbinguni na jehanum kupi kuna joto zaidi?
 
hahahaa!

ile ni sehemu ndogo tu ya arguments zinazoweza kutingisha imani yako
Mimi huwa sikubaliani na watu wanaoamini,huku wakiwa na wasiwasi moyoni
kama kuna kitu kinakutatizo katika kitabu chako cha dini,kichunguze wewe mwenyewe kuliko kumtegemea mchungaji
kama wewe upo interested na science,kitabu cha Genesis pekee kinatosha kuondoa imani yako

BTW,kwani mbinguni na jehanum kupi kuna joto zaidi?

mbinguni ndio kuna joto kali sana... .. . maana huko ndio kuna sulipher nyingi zaid
na ukitaka uthibitisho kutoka kwenye biblia nitakuletea
 
@ Amoneyazan, ishu sio mimi au wewe au wale dini gani. Sasahivi tunaishi zama za information age, mambo ya kudanganywa yamepitwa na wakati, information is at your finger tips.
Wazungu wametuletea ukristo wakati wao wameusaliti na kuyaacha makanisa mengi Europe kuwa matupu wakati huku Africa kila corner kunajengwa makanisa mapya na makubwa ukilinganisha hali za waumini wake ni duni mno. All based on lies.
 
mbinguni ndio kuna joto kali sana... .. . maana huko ndio kuna sulipher nyingi zaid
na ukitaka uthibitisho kutoka kwenye biblia nitakuletea

Mkuu Bennie 369,hebu toa huo uthibitisho ili hawa wakristo wa jumapili nao wajifunze
lakini unahitaji new thread
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom