amoneyazan
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 698
- 469
Huu uzushi kwa wapuu..zi kama wewe unaweza wsingiza chaka....
Ngoja nikae sawa nakurudia..
Povu la nini bro
Kwanii kadanganyaa nn hapooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzushi kwa wapuu..zi kama wewe unaweza wsingiza chaka....
Ngoja nikae sawa nakurudia..
Ni kumbukumbu. Yesu hakuzaliwa Desemba 25. Ilikuwepo Rome dini pinzani ya Mithra ambao mtume wake,Mithra alizaliwa Desemba 25.Wakristu wakasema Yesu kazaliwa Desemba 25 ili kuwavuta waumini wa dini ile. Baadaye ile dini ikafa na Wakristu wakavunja hekalu lao na kujenga St.Peter's Basilica. Kwa sababu ile dini ya Mighra,hekalu lake lilikuwa limejengwa pale pale ambapo sasa bivi ipo St Peter' Basilica.. Yesu kazaliwa 888. Tarehe 8,mwezi wa nane,August,mwaka wa nane AD8
Kwa iyo unataka kusema Mungu hawezi kumsababishia mtu mimba na ndani ya sekunde moja akazaa, ni mpaka atimize miezi 9 sio?
Soma 1 Wakorintho 11:23-26: maagizo pekee aliyotuachia Bwana Yesu ni kula mkate na divai kama kumbukumbu ya mwili wake na damu yake kwa ajili ya ondoleo la dhambi. Verse 26 inasema " kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hadi ajapo."
Acheni kujifariji kwa mafundisho ya uongo yasiyotokana na Biblia Takatifu. Bwana Yesu hakuona umuhimu wowote wa kusherehekea kuzaliwa kwake kwani alikuwepo tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu. Hata yeye wala mitume wake hakuna aliyesherehekea birthday ya Yesu, ninyi mwaitoa wapi?
Jambo la msingi ni kumbukumbu ya mauti yake kwani hilo ndilo kusudi lake kuu lililometa hapa duniani na kuutwaa mwili huu wa dhambi ili afe kwa ajili yetu wadhambi.
Someni maadiko yawaweke huru acheni kusikiliza hadithi za uongo zitawapoteza.
Biblia yenyewe inasema ka yote yangeandikwa, basi ulimwengu huu usingetosha kwa ukubwa wa li biblia ambalo lingetengenezwa. Ndo mana hakuna sehemu pameandikwa Yesu ameoga, kufua, anapiga mswaki etc. Je sisi tunaofanya tunatoa mamlaka hayo kwa nani? Ukataka kuielewa biblia unapaswa ujazwe na roho mtakatifu akufungulie.
correctly... .. .yule jamaa anaitwa BRIAN DECON ni muingereza mwenye asili ya israel na wala sio yesu.
Huna haja ya kuuliza watu, wewe sheherekea X-mass mwezi wa pili au wa tatu kama unavyoamini
Hakuna mkanganyiko wowote katika hili, wala hakuna wauumini wa dini wanauulizia suala za kuzaliwa Yesu.Nyie ambao hii dini haiwahusu ndio mna viherere vya kuuliza maswali kama hayo.
Kuna mdau mmoja amekujibu vizuri sana, kuwa kinachosheherekewa ni KUZALIWA YESU, sio SIKU YA KUZALIWA YESU!
Nadhani huna takwimu za kutosha juu ya Ukristo duniani. Ndio dini inayoongezeka kwa kasi duniani kuliko dini ingine, na dhehebu la Catholic ndio linaloongoza. Kwa taarifa yako Idadi ya Wakatoliki tu duniani (achana na madhehebu mengine ya kikristo kama Lutheran, SDA, Angalican n.k) ni sawa na Waislamu (watoto wa mama mdogo) wote Ulimwenguni kot e(Shia na Sunni).
Ubarikiwe katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
..................................
Siyo kukumbuka siku ya kuzaliwa... ila tofauti ni hii; tarehe 25 december ni siku ya kukumbuka "KUZALIWA KWA YESU" unaona tofauti inapokuja?
tunasherekea kwamba Yesu "ALIZALIWA", na faida ya KUZALIWA kwake nadhani unaelewa
Kwahiyoo unatakaa kusemaa muujizaa huohuoo ulifanyikaa wachungajii wa kondoo wakakaa njee na mifugo yaoo wakati wa baridi?😕
Hakuna uwezekano wa wowote wa Yesu kuzaliwa 25 Disemba;iwe ni KISAYANSI,KIHISTORIA na wala kimaandiko yaani QURAN na BIBLIA.Hilo ni suala lililotengezwa tu na watu kwa makusudio maalum.
Povu la nini bro
Kwanii kadanganyaa nn hapooo
ni vyema kuchunguza kwa makini mapokeo uliyopewa na mababu zako!
Kiufupi siku aliyozaliwa yesu haijulikani na wala hakuna picha yake popote ulimwenguni
Madhehebu gani hayo..?? Hebu tutajie hata moja..Siku ya kusaliwa,na siku ya kuzaliwa yesu tofauti iko wapi?ukweli ni kwambwa ni tarehe ya kubuni ndiyo sababu madhehebu mengine ya kikristu hayaadhimishi siku hiyo sababu haiko kwenye maandishi.
Inawezekana Mkuu, kwani hii mikanganyiko iko mingi sana kwenye Biblia kuhusu kuzaliwa kwa Yesu.
Nakuuliza tena unaakili timamu...??