Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Ni kumbukumbu. Yesu hakuzaliwa Desemba 25. Ilikuwepo Rome dini pinzani ya Mithra ambao mtume wake,Mithra alizaliwa Desemba 25.Wakristu wakasema Yesu kazaliwa Desemba 25 ili kuwavuta waumini wa dini ile. Baadaye ile dini ikafa na Wakristu wakavunja hekalu lao na kujenga St.Peter's Basilica. Kwa sababu ile dini ya Mighra,hekalu lake lilikuwa limejengwa pale pale ambapo sasa bivi ipo St Peter' Basilica.. Yesu kazaliwa 888. Tarehe 8,mwezi wa nane,August,mwaka wa nane AD8

Acha kuongopa hapa hakuna binadamu anayejua Yesu amezaliwa lini, yaani kwa maana ya tarehe wanaweza kujua au kukisia Mwezi lkn tarehe HAKUNA mtu anajua na ndiyo wanasherehekea kuzaliwa kwa Yesu na Siyo siku ya kuzaliwa YEsu!
 
Kwa iyo unataka kusema Mungu hawezi kumsababishia mtu mimba na ndani ya sekunde moja akazaa, ni mpaka atimize miezi 9 sio?

Kwahiyoo unatakaa kusemaa muujizaa huohuoo ulifanyikaa wachungajii wa kondoo wakakaa njee na mifugo yaoo wakati wa baridi?😕
 
Soma 1 Wakorintho 11:23-26: maagizo pekee aliyotuachia Bwana Yesu ni kula mkate na divai kama kumbukumbu ya mwili wake na damu yake kwa ajili ya ondoleo la dhambi. Verse 26 inasema " kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hadi ajapo."

Acheni kujifariji kwa mafundisho ya uongo yasiyotokana na Biblia Takatifu. Bwana Yesu hakuona umuhimu wowote wa kusherehekea kuzaliwa kwake kwani alikuwepo tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu. Hata yeye wala mitume wake hakuna aliyesherehekea birthday ya Yesu, ninyi mwaitoa wapi?

Jambo la msingi ni kumbukumbu ya mauti yake kwani hilo ndilo kusudi lake kuu lililometa hapa duniani na kuutwaa mwili huu wa dhambi ili afe kwa ajili yetu wadhambi.

Someni maadiko yawaweke huru acheni kusikiliza hadithi za uongo zitawapoteza.

Hakuna Mtu anayesherehekea birthday ya Yesu bali wanashrehekea kuzaliwa kwa Yesu (the birth of Yesu ) na siyo siku kwa maana ya birthday na sababu ni rahisi tu HAKUNA anayejua ni lini au siku Yesu amezaliwa ndiyo maana wanasherejekea kuzaliwa kwake na siyo SIKU yake ya kuzaliwa!

 
Biblia yenyewe inasema ka yote yangeandikwa, basi ulimwengu huu usingetosha kwa ukubwa wa li biblia ambalo lingetengenezwa. Ndo mana hakuna sehemu pameandikwa Yesu ameoga, kufua, anapiga mswaki etc. Je sisi tunaofanya tunatoa mamlaka hayo kwa nani? Ukataka kuielewa biblia unapaswa ujazwe na roho mtakatifu akufungulie.

Wachaa Ku generalize mambo kwa vituu vilivyoo wazii na vinavyohitajii facts
 
Hakuna mkanganyiko wowote katika hili, wala hakuna wauumini wa dini wanauulizia suala za kuzaliwa Yesu.Nyie ambao hii dini haiwahusu ndio mna viherere vya kuuliza maswali kama hayo.

Kuna mdau mmoja amekujibu vizuri sana, kuwa kinachosheherekewa ni KUZALIWA YESU, sio SIKU YA KUZALIWA YESU!

Nadhani huna takwimu za kutosha juu ya Ukristo duniani. Ndio dini inayoongezeka kwa kasi duniani kuliko dini ingine, na dhehebu la Catholic ndio linaloongoza. Kwa taarifa yako Idadi ya Wakatoliki tu duniani (achana na madhehebu mengine ya kikristo kama Lutheran, SDA, Angalican n.k) ni sawa na Waislamu (watoto wa mama mdogo) wote Ulimwenguni kot e(Shia na Sunni).

Ubarikiwe katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

..................................

Mmmm

Hebuu wachaa uogaa kamaa kwelii unamuanii Yesu , achana na majibu rahisii ya kukuwekea defensive mechanism

Try to reason brother , kwasababu huyo huyoo Yesu unaemuamini anasema kwelii itawawekaa huru
Kwahiyoo simama katika kwelii ya maandiko..
so wataka kusema kuwa kinachoadhimishwaa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu na sio sikuu .really/?

Yaani kama alivyosemaa Mdau mmoja kuwa tunasherehekea Uhuru siku isiyo ya Uhuru


Oky let's say. Ndo iko hivyo
Sasa ikiwaa haiadhimishwi siku , kwanini uadhimishaji huoo usingekuaa unafanywaa randomly mwaka huu 7/4 next year 22 August nk
 
Siyo kukumbuka siku ya kuzaliwa... ila tofauti ni hii; tarehe 25 december ni siku ya kukumbuka "KUZALIWA KWA YESU" unaona tofauti inapokuja?

tunasherekea kwamba Yesu "ALIZALIWA", na faida ya KUZALIWA kwake nadhani unaelewa

Ah mdau
Sasa hukoo ni kumuingiliaa tamuziii

Kwaninii isiwe any other day apart from he's birthday (25th Dec?)
 
mm kama mchungaji nasema huo ni utaratibu tu watu waliojiwekea, lkn iyo tarehe ya kuzaliwa haina ushaidi kwny biblia.
 
Hakuna uwezekano wa wowote wa Yesu kuzaliwa 25 Disemba;iwe ni KISAYANSI,KIHISTORIA na wala kimaandiko yaani QURAN na BIBLIA.Hilo ni suala lililotengezwa tu na watu kwa makusudio maalum.
 
Kwahiyoo unatakaa kusemaa muujizaa huohuoo ulifanyikaa wachungajii wa kondoo wakakaa njee na mifugo yaoo wakati wa baridi?😕



Mkuu umegusa sehemu muhimu sana, Biblia hapo inadanganya au mwandishi hakuwa sawa.

Tunafahamu kuwa December huwa kuna baridi sana na hata barafu huwa zinadondoka, sasa iweje wachungaji wakae nje wakati wa barid
 
Hakuna uwezekano wa wowote wa Yesu kuzaliwa 25 Disemba;iwe ni KISAYANSI,KIHISTORIA na wala kimaandiko yaani QURAN na BIBLIA.Hilo ni suala lililotengezwa tu na watu kwa makusudio maalum.


Inawezekana Mkuu, kwani hii mikanganyiko iko mingi sana kwenye Biblia kuhusu kuzaliwa kwa Yesu.
 
Siku ya kusaliwa,na siku ya kuzaliwa yesu tofauti iko wapi?ukweli ni kwambwa ni tarehe ya kubuni ndiyo sababu madhehebu mengine ya kikristu hayaadhimishi siku hiyo sababu haiko kwenye maandishi.
Madhehebu gani hayo..?? Hebu tutajie hata moja..
 
Back
Top Bottom