Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

Kwa hata mama yako akisema baba yako sii baba yako wa kweli utakataaa?
 
1544090209146.png


nadhani ameeleza vizuri sikukuu hiyo ni makubaliano ya kanisa lake ila sio agizo la Yesu.
Haikukumbukwa na Mitume.
Haikukumbukwa hata na hao wafuasi wa mitume wa awali.
Watu ni vizuri wakaelewa hilo pia.
Maoni ya kikundi binafsi yasibebeshwe hadhi ya kuwa universal obligation kwa kila mcha Mungu.

Kuiga mambo ya wapagani ni sawa na Kutoka Nuruni kwenda kutafuta mwanga gizani.
Watu wa Bibilia hawakuhangaika na haya masherehe maana walijua Kuzaliwa na Kufa kwa Yesu mioyoni mwao ni Jukumu la Kiroho la mkristo kila siku sio sikukuu ya kula ubwabwa na kununua mimea kuijaza sebuleni.
Maoni ya wanadamu, yanapaswa kutenganishwa na maandiko katika matamshi na maandishi.
maelezo mengi mazuri yalioandikwa kwa lugha shawishi ila hayana uzito wowote kwenye maandiko matakatifu mzani umeelemea kwenye utamadunishwaji na masimulizi ya kale.
 
View attachment 957929

nadhani ameeleza vizuri sikukuu hiyo ni makubaliano ya kanisa lake ila sio agizo la Yesu.
Haikukumbukwa na Mitume.
Haikukumbukwa hata na hao wafuasi wa mitume wa awali.
Watu ni vizuri wakaelewa hilo pia.
Maoni ya kikundi binafsi yasibebeshwe hadhi ya kuwa universal obligation kwa kila mcha Mungu.

Kuiga mambo ya wapagani ni sawa na Kutoka Nuruni kwenda kutafuta mwanga gizani.
Watu wa Bibilia hawakuhangaika na haya masherehe maana walijua Kuzaliwa na Kufa kwa Yesu mioyoni mwao ni Jukumu la Kiroho la mkristo kila siku sio sikukuu ya kula ubwabwa na kununua mimea kuijaza sebuleni.
Maoni ya wanadamu, yanapaswa kutenganishwa na maandiko katika matamshi na maandishi.
maelezo mengi mazuri yalioandikwa kwa lugha shawishi ila hayana uzito wowote kwenye maandiko matakatifu mzani umeelemea kwenye utamadunishwaji na masimulizi ya kale.
haitaondoa ukweli na wala haitabadili hata nukta moja ya ukweli kwamba kristo alizaliwa, kristo anazaliwa na kristo ataendelea kuzaliwa ndani ya mioyo yetu wapagani kwa wakristo sio xmas tu bali kila siku.hata kama itawachukua wapinga kristo miaka 1000 ukweli huo kuuelewa kanisa halijali kwa sababu hakuna wa kuuzima, utadumu mpaka kristo mwenyewe atakaporudi

kama kuna mungu anayechukia kuwaongoa wapagani, kuwatwaa wapagani na kuwafanya wakristo kwa KUHARIBU, KUVUNJA na KUTEKETEZA mila na desturi za KIPAGANI kisha kufanya Mungu atukuzwe na kristo kujulikana kwayo badala ya miungu ya kipagani huyo mungu atakuwa HAJIELEWI na ninafikiri atakuwa ni yule mungu wa uongo yaani MPINGA KRISTO.
 
haitaondoa ukweli na wala haitabadili hata nukta moja ya ukweli kwamba kristo alizaliwa, kristo anazaliwa na kristo ataendelea kuzaliwa ndani ya mioyo yetu wapagani kwa wakristo sio xmas tu bali kila siku.hata kama itawachukua wapinga kristo miaka 1000 ukweli huo kuuelewa kanisa halijali kwa sababu hakuna wa kuuzima, utadumu mpaka kristo mwenyewe atakaporudi

kama kuna mungu anayechukia kuwaongoa wapagani, kuwatwaa wapagani na kuwafanya wakristo kwa KUHARIBU, KUVUNJA na KUTEKETEZA mila na desturi za KIPAGANI kisha kufanya Mungu atukuzwe na kristo kujulikana kwayo badala ya miungu ya kipagani huyo mungu atakuwa HAJIELEWI na ninafikiri atakuwa ni yule mungu wa uongo yaani MPINGA KRISTO.
mfano wa mungu aliyetumia giza kuwapeleka watu mwangani.
Truth shall set you free, free indeed and not paganism shall set pagans free.
 
sio sikukuu ya kula ubwabwa na kununua mimea kuijaza sebuleni.
mbona ubwabwa tunakula kila siku mkuu, au kwako huwa mnasubiri mpaka MAKAMBI ndo mkale ubwabwa au jumamosi ? au kwako sikukuu ni kula na kunywa ? ukisha kula na kunywa kwako imetoka lakini kwetu wakristo sio ivyo mkuu ila ni MIOYO YETU ndio inayo kula na kunywa na sio miili au matumbo yetu tu.
 
mbona ubwabwa tunakula kila siku mkuu, au kwako huwa mnasubiri mpaka MAKAMBI ndo mkale ubwabwa au jumamosi ? au kwako sikukuu ni kula na kunywa ? ukisha kula na kunywa kwako imetoka lakini kwetu wakristo sio ivyo mkuu ila ni MIOYO YETU ndio inayo kula na kunywa na sio miili au matumbo yetu tu.
kusherehekea birthday ya Mungu (Yesu) leo ni kumbinadamisha yeye aliyehai, alikuwa hai milele.
kutumia mbinu za gizani kuwashawishi watu waelekee nuruni ni kupoteza mwelekeo wa kiroho.

'' Nitakapoinuliwa juu, nitawavuta wengi kwangu'' Yesu
Sio '' Mtakapoinua tamaduni za kipagani juu na kuzihusianisha na mimi, wengi watakuwa wakristo'' human opinions.

hatuwezi kuwazidi akili mitume katika hili maana ni jambo sensitive sana. Wangekuwa pioneer wa xmass.
hili litabaki kuwa hekima za wazee na tamaduni za kiimani ila halina baraka za maandiko.
 
Ni sikukuu ya wapagani hiyo NIMEACHA KUISHEHEREKEA SIKU HIZI
 
mfano wa mungu aliyetumia giza kuwapeleka watu mwangani.
Truth shall set you free, free indeed and not paganism shall set pagans free.
ndiye kristo mwenyewe aliyependa kutumia giza kwa njia ya kanisa na kuwapeleka watu mwangani na huyo ndiye Mungu ninayefahamu mimi na wakristo wengine wote duniani.

Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
 
ndiye kristo mwenyewe aliyependa kutumia giza kwa njia ya kanisa na kuwapeleka watu mwangani na huyo ndiye Mungu ninayefahamu mimi na wakristo wengine wote duniani.

Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
kutumia giza (mambo ya kipaganani na desturi za dunia) Kama mbeleko ya kushawishi dini Badala ya Ukweli wa imani hiyo hakuna uhusiano na kauli ya Yesu hapo juu.
Yesu Aliwaambia UKWELI GIZANI/SIRI ili wakauseme hadharani, ila hao wazee Wakauficha ukweli na Kutumia Giza kushawishi Ukweli hadharani.

Neno La Msaada pia.
Kuna watu wanasema usiposherekea Krismass sio mkristo. Wanapaswa wajue sio mitume wala hao wakristo waliopokea imani kutoka kwao walisherekea hiyo sikukuu. Ni kikundi cha watu kilikubaliana kwa ajili ya manufaa yao ya kiimani. Sherehe hiyo haina uhusiano na mambo ya kwenye bibilia. Kwanza kwenye bibilia siku za Birthday zilisherekewa na wapagani ndio maana ningeshangaa kama na wale jamaa wangesherehekea. Inabidi jamii ifahamishwe sikukuu ya dini flani ya kikristo na wapenzi wake sio lazima iwe ni sikukuu ya wakristo wote na usipoifuata unakuwa umekosea taasisi hiyo ya kidini sio Yesu wala Mungu.
mkuu padri yuko sahihi kwa mujibu wa makubaliano ya imani yake ya kikatoliki, sio kwa Mujibu wa Yesu, Mitume na Maandiko.
 
'' Nitakapoinuliwa juu, nitawavuta wengi kwangu'' Yesu
Sio '' Mtakapoinua tamaduni za kipagani juu na kuzihusianisha na mimi, wengi watakuwa wakristo'' human opinions.
aliinuliwa pale golgota miaka 2000 iliyopita. hivyo mimi na wakristo wengine hatuwezi leo kuwenda yerusalemu eti kumtafuta kristo wa golgota huo utakuwa ujinga. lakini leo mimi na wakristo wengine kristo tunamwinua kila siku ndani ya MIOYO YETE kupitia sakramenti ya ukumbusho yaani sakramenti ya EKARISTI (fanyeni ivi kwa ukumbusho wangu) na wakristo wa leo tunamuinua na tutaendela kumuinua kristo kila ijumaa ya wiki na kila ijumaa kuu (holy friday) kupitia NJIA YA MSALABA mpaka atakaporudi kwa sababu huo ndio WOKOVU WETU, huo ndio UKRISTO WETU na huo ndio UKOMBOZI WETU .hatuoni sababu ya kuuonea AIBU msalalba, hatuoni sababu ya kuuonea AIBU ukombozi na ukristo wetu. hayo hufanywa na wapagani wapinga kristo.
hatuwezi kuwazidi akili mitume katika hili maana ni jambo sensitive sana. Wangekuwa pioneer wa xmass.
hili litabaki kuwa hekima za wazee na tamaduni za kiimani ila halina baraka za maandiko.
nafikiri halina baraka za maandiko ya biblia yako tu na sio biblia ya wakristo. ni kweli kabisa 100% halina baraka za maandiko kwa muono wako na kwa muono wa waanzilishi wa imani yako na sio kristo wala wafuasi wa kristo.
 
aliinuliwa pale golgota miaka 2000 iliyopita. hivyo mimi na wakristo wengine hatuwezi leo kuwenda yerusalemu eti kumtafuta kristo wa golgota huo utakuwa ujinga. lakini leo mimi na wakristo wengine kristo tunamwinua kila siku ndani ya MIOYO YETE kupitia sakramenti ya ukumbusho yaani sakramenti ya EKARISTI (fanyeni ivi kwa ukumbusho wangu) na wakristo wa leo tunamuinua na tutaendela kumuinua kristo kila ijumaa ya wiki na kila ijumaa kuu (holy friday) kupitia NJIA YA MSALABA mpaka atakaporudi kwa sababu huo ndio WOKOVU WETU, huo ndio UKRISTO WETU na huo ndio UKOMBOZI WETU .hatuoni sababu ya kuuonea AIBU msalalba, hatuoni sababu ya kuuonea AIBU ukombozi na ukristo wetu. hayo hufanywa na wapagani wapinga kristo.
nafikiri
halina baraka za maandiko ya biblia yako tu na sio biblia ya wakristo. ni kweli kabisa 100% halina baraka za maandiko kwa muono wako na kwa muono wa waanzilishi wa imani yako na sio kristo wala wafuasi wa kristo.
kumuinua Yesu hatuhitaji Kila Ijumaa au Ijumaa kuu. Na utaratibu huu wa kufanya hayo hizo ijumaa ni makubaliano ya kikanisa, hivyo kikundi flani cha imani kikubaliana mambo flani kwa hekima zao hakilifanyi jambo hilo kuwa Takwa la imani kwa kila Mfuasi wa Kristo. Mkuu ukielewa hilo utakuwa huru zaidi.

Kumuinua Yesu (sio makubaliano ya kikanisa) ni zoezi la Kila siku la Mwanadamu anayemtegemea Yesu. Ambaye hajiamini yeye anamwamini Yesu.

Ukristo ni mtindo wa maisha sio sherehe au religious rituals and dogmas. Unamuinua Yesu kwa kutembea katika nyayo zake kila siku, kila mahala, mchana au usiku, unapofahamika usipofahamika, sirini na wazi, mbele za wakuu au mbele za watawaliwa.

Huna haja ya kufunga safari mwaka mzima unavizia makubaliano ya Birthday ya Yesu ambayo wafuasi wake hawakuyaona na maana. Bali kila siku saa, sekunde Yesu anapaswa kuzaliwa maishani mwa kila anayemuamini.

Unaungana na Mtumishi Paulo '' Nakufa Kila Siku''.
 
Kama huna mafumbo matakatifu kwenye imani yako, unayasherekea ya nini? Kutofautisha na wengine ndio maana unaambiwa useme kanuni ya imani. Kama huna kanuni ya imani, utawezaje kusherekea mafumbo ya kanuni ya imani. Huna kalenda ya mwaka, utasherekeaje kuanza kwa mwaka? Kuwepo kwa mafumbo kwenye kanuni ya imani ndiko kunakotufanya tusherekee hayo mafumbo, tarehe si kitu bali thamani ya fumbo linalosherekewa. Kikubwa zaidi kuzaliwa si kitu kama asingalifufuka.
 
Back
Top Bottom