Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #21
my English is perfect. atoe list of errorsPamoja na teknolojia kua kubwa bado mijitu inakosea kuandika.
Mpaka mtu anapost uzi na hajauhakiki ni matumizi mabaya ya elimu yake.
Mambo mengine ni kuyaacha tu yapite mana hata ukimuuliza source hajuiMkuu source ya taarifa yako ni ipi?
Mezani zimekuja seti tatu za kila rangi home/away na 3rd kit Na tayari mzigo umeshatoka kwa mtengenezaji muda wowote unaingia sokoni
Sasa wewe hao "investa" umewasikia wapi?
Malizia, YA KUZIKIA. Na tarehe nane wanazikwaUfupisho wa sandaland ni sanda
Jina lake la kwanza.Ufupisho wa sandaland ni sanda
Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!Kwahiyo, waliochukuliwa na 5imba ndo hao walio-design hizo SANDA za Simba?
Aisee 🤣🤣🤣Kwahiyo, waliochukuliwa na 5imba ndo hao walio-design hizo SANDA za 5imba?
Kwahiyo Yanga tumegoma jezi za ma-desiner? 5imba wao wakaona watinge tu SANDA zao..!!?Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!
Kwanini isiwe SaLa au SL?Ufupisho wa sandaland ni sanda
Kwani bado hujaipata hiyo? Ni kwa kuwa umejikita kwa SANDA za SimbaKwahiyo Yanga tumegoma jezi za ma-desiner?
Kukataa maana yake zilikuwa mbaya. Halafu huyo wa SANDA, kujadiliwa haikuwa nia yake, bali zinunuliwe.. !! Hii inaonyesha hao ma-desiger wala ukilaza fulani hivi ambao 5imba mmeshindwa kuuona na Yanga imeuona ikaamua kuufanyia kazi..!!
Tatizo lako wewe mzushi na huna unachokijua, angalia wanaomjua.All in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
Wich is which Sheri Ngowi or Sheria Ngowi. Why rush to post without proof reading it. Have you an axe to grind with Yanga or what? All your posts about Yanga are so negative. What harm have they done to you?All in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
Mkataba wa jezi wa Simba ni tofauti na wa Yanga. Simba imemalizana na mkandarasi (Sanda) kwa kuwa amelipa 4B kwa miaka miwili na anabaki yeye kupigana arudishe hela yake na faida, akiboronga kwa kiasi kikubwa hasara inakuwa yake. Simba inabaki kuangalia maslahi ya wadhamini wake wengine katika jezi hizo (NBC PL, M-Bet, MoKukataa maana yake zilikuwa mbaya. Halafu huyo wa SANDA, kujadiliwa haikuwa nia yake, bali zinunuliwe.. !! Hii inaonyesha hao ma-desiger wala ukilaza fulani hivi ambao 5imba mmeshindwa kuuona na Yanga imeuona ikaamua kuufanyia kazi..!!
😂😂😂 Asa bro kulikuwa na haja gani ya kusema 5imbaKwahiyo, waliochukuliwa na 5imba ndo hao walio-design hizo SANDA za 5imba?
Kwenye neno 5imba tuna jambo letu. Na hapo tarehe 8 hawa SANDA FC wanaenda kuwa 8imba😂😂😂 Asa bro kulikuwa na haja gani ya kusema 5imba
Kikubwa tutafunga 5imba tutawafunga 8 muanze kuitwa 8imbaMkataba wa jezi wa Simba ni tofauti na wa Yanga. Simba imemalizana na mkandarasi (Sanda) kwa kuwa amelipa 4B kwa miaka miwili na anabaki yeye kupigana arudishe hela yake na faida, akiboronga kwa kiasi kikubwa hasara inakuwa yake. Simba inabaki kuangalia maslahi ya wadhamini wake wengine katika jezi hizo (NBC PL, M-Bet, Mo
Yanga inabidi ichungulie kila step ya jezi (design, quality, idadi nk) maana inapata sh. 1,300/= kwa kila jezi, hela nyingine inaenda kwa mkandarasi (simtaji maana mnamjua, aliingia kwa gia ya udhamini lakini kwa sasa anacontrol udhamini na udhaminiwa, yaani contractor na client sides yupo yeye). Kwa maana nyingine, Yanga wasipokuwa na mtu mwenye uchungu na klabu kama Magoma, mkandarasi anaweza akauza kwa mfano jezi laki nne, akaja kusema ameuza laki tatu