Designer wa Jezi za yanga chali . Kila design mbovu Ameludia sana . Investors weren’t happy

Kwahiyo, waliochukuliwa na 5imba ndo hao walio-design hizo SANDA za Simba?
Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!
 
Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!
Kwahiyo Yanga tumegoma jezi za ma-desiner? 5imba wao wakaona watinge tu SANDA zao..!!?
 
Kwani bado hujaipata hiyo? Ni kwa kuwa umejikita kwa SANDA za Simba

View attachment 3053643
Kukataa maana yake zilikuwa mbaya. Halafu huyo wa SANDA, kujadiliwa haikuwa nia yake, bali zinunuliwe.. !! Hii inaonyesha hao ma-desiger wala ukilaza fulani hivi ambao 5imba mmeshindwa kuuona na Yanga imeuona ikaamua kuufanyia kazi..!!
 
Tatizo lako wewe mzushi na huna unachokijua, angalia wanaomjua.
 
Wich is which Sheri Ngowi or Sheria Ngowi. Why rush to post without proof reading it. Have you an axe to grind with Yanga or what? All your posts about Yanga are so negative. What harm have they done to you?
 
Kukataa maana yake zilikuwa mbaya. Halafu huyo wa SANDA, kujadiliwa haikuwa nia yake, bali zinunuliwe.. !! Hii inaonyesha hao ma-desiger wala ukilaza fulani hivi ambao 5imba mmeshindwa kuuona na Yanga imeuona ikaamua kuufanyia kazi..!!
Mkataba wa jezi wa Simba ni tofauti na wa Yanga. Simba imemalizana na mkandarasi (Sanda) kwa kuwa amelipa 4B kwa miaka miwili na anabaki yeye kupigana arudishe hela yake na faida, akiboronga kwa kiasi kikubwa hasara inakuwa yake. Simba inabaki kuangalia maslahi ya wadhamini wake wengine katika jezi hizo (NBC PL, M-Bet, Mo

Yanga inabidi ichungulie kila step ya jezi (design, quality, idadi nk) maana inapata sh. 1,300/= kwa kila jezi, hela nyingine inaenda kwa mkandarasi (simtaji maana mnamjua, aliingia kwa gia ya udhamini lakini kwa sasa anacontrol udhamini na udhaminiwa, yaani contractor na client sides yupo yeye). Kwa maana nyingine, Yanga wasipokuwa na mtu mwenye uchungu na klabu kama Magoma, mkandarasi anaweza akauza kwa mfano jezi laki nne, akaja kusema ameuza laki tatu
 
Kikubwa tutafunga 5imba tutawafunga 8 muanze kuitwa 8imba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…