Designer wa Jezi za yanga chali . Kila design mbovu Ameludia sana . Investors weren’t happy

Yanga inakutesa sana, ukifa wa kulaumiwa juu ya kifi chako ni mafanikio ya Yanga.
 
Huo utakuwa wivu wa kike!
 
Ni wivu tu
 
1300 ni nyongeza ya pesa kwa kila jezi itakayouzwa lakini nao waliishalipwa kama vile simba.
 
Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!

🖐 waaah
 
Wewe mpira hujui,umekuja kwenye jezi napo hujui, hebu angalia mwenyewe.....

Mnawa hype bure hao vijana ila bado wachanga.
 
Kwa soko la Tanzania ye angetupa 1000 nyingine atumie kuboresha biashara zake anafanya kazi kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…