Yanga inakutesa sana, ukifa wa kulaumiwa juu ya kifi chako ni mafanikio ya Yanga.All in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
Hili jana hata mshamba_mwingine nilimwqmbia. Kadri kitu kinavyoxungumwa ndo kinakua kikubwa.. ushoga kwa mwaka huu Tanzania ni big issue kwa sabab ni big topic
Huo utakuwa wivu wa kike!All in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
😆Kwanini isiwe SaLa au SL?
OKJina lake la kwanza.
Tuvute subra ligi inakaribia kuanzaMaiizia, YA KUZIKIA. Na tarehe nane wanazikwa
Ni wivu tuAll in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
1300 ni nyongeza ya pesa kwa kila jezi itakayouzwa lakini nao waliishalipwa kama vile simba.Mkataba wa jezi wa Simba ni tofauti na wa Yanga. Simba imemalizana na mkandarasi (Sanda) kwa kuwa amelipa 4B kwa miaka miwili na anabaki yeye kupigana arudishe hela yake na faida, akiboronga kwa kiasi kikubwa hasara inakuwa yake. Simba inabaki kuangalia maslahi ya wadhamini wake wengine katika jezi hizo (NBC PL, M-Bet, Mo
Yanga inabidi ichungulie kila step ya jezi (design, quality, idadi nk) maana inapata sh. 1,300/= kwa kila jezi, hela nyingine inaenda kwa mkandarasi (simtaji maana mnamjua, aliingia kwa gia ya udhamini lakini kwa sasa anacontrol udhamini na udhaminiwa, yaani contractor na client sides yupo yeye). Kwa maana nyingine, Yanga wasipokuwa na mtu mwenye uchungu na klabu kama Magoma, mkandarasi anaweza akauza kwa mfano jezi laki nne, akaja kusema ameuza laki tatu
Hamna shidoo😀Kwan kuna shido
Ndio hao hao, na baada ya kuanzisha kampuni yao, hali imekuwa tete hadi jezi za Yanga kuchelewa kutoka maana toleo lililoletwa limekuwa baya na kukataliwa. Vijana wa SANDA wamepanda chati na SANDA yao, hongera sana kwao!
Wewe mpira hujui,umekuja kwenye jezi napo hujui, hebu angalia mwenyewe.....All in all Sheri ngowi kazini kwake kuna kazi . Baada ya simba kuchukua designers wake wa jezi . Jamaa kila design mpya ni mbovu . Amerudia sana Jezi mpya . Inshort sio talent yake anatafuta pakutokea .
New Jersey is late because investors weren't impressed with Jersey's design. Sheria Ngowi had to redo a lot of designs.
I hope he got a great design, but Yanga should look for new designers. Sheria Ngowi's time is up.
Kwa soko la Tanzania ye angetupa 1000 nyingine atumie kuboresha biashara zake anafanya kazi kubwa sanaMkataba wa jezi wa Simba ni tofauti na wa Yanga. Simba imemalizana na mkandarasi (Sanda) kwa kuwa amelipa 4B kwa miaka miwili na anabaki yeye kupigana arudishe hela yake na faida, akiboronga kwa kiasi kikubwa hasara inakuwa yake. Simba inabaki kuangalia maslahi ya wadhamini wake wengine katika jezi hizo (NBC PL, M-Bet, Mo
Yanga inabidi ichungulie kila step ya jezi (design, quality, idadi nk) maana inapata sh. 1,300/= kwa kila jezi, hela nyingine inaenda kwa mkandarasi (simtaji maana mnamjua, aliingia kwa gia ya udhamini lakini kwa sasa anacontrol udhamini na udhaminiwa, yaani contractor na client sides yupo yeye). Kwa maana nyingine, Yanga wasipokuwa na mtu mwenye uchungu na klabu kama Magoma, mkandarasi anaweza akauza kwa mfano jezi laki nne, akaja kusema ameuza laki tatu
WowTatizo lako wewe mzushi na huna unachokijua, angalia wanaomjua.
View attachment 3053700