antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
- Thread starter
-
- #21
Mtu anapouza kitu , jua Kuna jambo limemsibu Sasa unavoleta negative mkuu mtu kama alikuwa na Nia ya kuinunua mnamkatisha tamaa, sio poa chiefUtapata mteja relax brother, tulikuwa tunakupa changamoto tu
tulitaka kujua tumepata baadhi ya details kutokana na maswali mfano hukusema kuwa ulinunua mwez wa tatu, ila baada ya maswali ndio ukasemaMtu anapouza kitu , jua Kuna jambo limemsibu Sasa unavoleta negative mkuu mtu kama alikuwa na Nia ya kuinunua mnamkatisha tamaa, sio poa chief
Jamani milioni mbili wapi nimesema wakuu huyo jamaa ana lengo lake , ebu someni tangazo nililo andika mmDuh! Hata dukani haiuzwi 2 millions, we hiyo milioni 2 sijui ka utapata mteja
Jamani milioni mbili wapi nimesema wakuu huyo jamaa ana lengo lake , ebu someni tangazo nililo andika hapo juu ,achana na mtu mwenye lengo la kuharibu tangazoUpo serious kweli!!?? Unauza desktop milioni 2!!??
Ngoja tuone
Sasa Kuna njia nyingi za kujua mkuu ,ungeuliza lakini sio KUONGEZA option zako unazojua wazi zinaharibu tangazo la mwenziotulitaka kujua tumepata baadhi ya details kutokana na maswali mfano hukusema kuwa ulinunua mwez wa tatu, ila baada ya maswali ndio ukasema
andaa uzi mwingineJamani milioni mbili wapi nimesema wakuu huyo jamaa ana lengo lake , ebu someni tangazo nililo andika hapo juu ,achana na mtu mwenye lengo la kuharibu tangazo
Relax mkuu riziki atoaye na azuiaye ni Mungu pekeeandaa uzi mwingine
AmenRelax mkuu riziki atoaye na azuiaye ni Mungu pekee
Tower ndo nini mkuu?Hiyo Tower sijaiona vzr ipige picha vyema
400kBei gan unaiuza?
Nimeipiga Tena kwa flashHiyo Tower sijaiona vzr ipige picha vyema
AiseeTuwe makini, vuguvugu la panya road bado halijaisha, kuuziwa bomu inje inje
Unasagiwa tu kunguni kila mahala jamaa..Aisee
Hujaelewa anachomaanisha? edit uzi wako ongezea Bei.Huyo jamaa sijaelewa shida yake nini? Sasa anaukiza why jina liko kwenye default mode [emoji23][emoji23]
Itakuwa ya kampuni Sasa hujiulizi kwanini hio kampuni isiandike jina lao
Monitor inch ngapi hiyo? 19 square sio?Nimeipiga Tena kwa flashView attachment 2382926
Bei nimeandika mkuuHujaelewa anachomaanisha? edit uzi wako ongezea Bei.
Kama hujaandika bei means ni bei yoyote mtu itakayomjia kichwani.....
Ndio mkuuMonitor inch ngapi hiyo? 19 square sio?