Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarakudaTabata hip hupo?
Hapana mkuu 200k sawa bila hivo naondoka nayoCPU peke yake, chukua 100k
Mary J imefanyaje na ndo nn?naiona 'Mary J' iko palee
mkuu naitaka niko tabora naomba number zakoKeshokutwa naingia mkoani desktop sina pa kuiweka na huko nakoenda sina matumizi nayo
Nimeitangaza kwa muda wa wiki tatu lakini Leo nimeamua kuiuza kwa hio bei 220k
SPECIFICATIONS:
1. RAM 4GB (unaweza ongeza Hadi 16GB)
2. HDD 750GB (ziko mbili ya 500gb na 250gb)
3. CPU 3.2GHz
4. Core i5(Intel)
5. Dell ya kusimama
Location Tabata-Dar
Bei ni 220k na wanaojua desktop hii bei NIMESHUSHA sana lengo iweze kuuzika[emoji120] nyuzi za nyuma nilitangaza 400k
Kuna watu kwenye post za nyuma walikuwa wanahofia kuwa huenda ya wizi naomba muondoe shaka hii PC nimenunua dukani so mdau akitaka kuandikishana ni vyema na uzuri nipo jirani na kituo Cha polsi kata
Simu 0747456177View attachment 2400270View attachment 2400269
Akikujibu unitag inanishawishi japo naogopa kweli vitu vya kununua mkononi ukizingatia Ya Technology. Unaweza kudakwa kama KukuBado ipo?
SoldBado ipo?
Pole mkuu ,Akikujibu unitag inanishawishi japo naogopa kweli vitu vya kununua mkononi ukizingatia Ya Technology. Unaweza kudakwa kama Kuku
oh okSold