Tangu lini Mwakyembe alitoaga misaada Kyela? Anawanyima hata watoto wadogo wakiomba kampira kachakavu wacheze chandimu!Ni wakati sasa kwa wabunge wengine akiwemo Mwakyembe wa jimbo la Kyela kutoa barakoa kwenye majimbo yao ili kusaidia wananchi
Wewe tatizo unafanya siasa hapa. Angalia picha kubwa.Hiyo gari ndio ile ya kubebea maiti kwenda kuzikia ?
Nafsi yako inajua kati yetu nani anafanya upambe!Wapambe mnaishi kitumwa sana !
Kwani nyie makamanda mmetoa ya kubebea nini takataka auHiyo gari ndio ile ya kubebea maiti kwenda kuzikia ?
Itakuwa wewe Ni mchawi maana siku zote mwizi huona kila mtu Ni mwiziPole sana, alitaka tv yake imnadi hahaa
Hivi ulemchanga unaofagiliwa ktk mabasi yake na kubebwa na ndoo huupelekwa wapi na anaufanyia nini?!
Nikama anachukua nyayo za abiria wa bus zake.
sisi tunalinda uhai wa wananchiKwani nyie makamanda mmetoa ya kubebea nini takataka au
Tuwaulize nyie wazawa😅😅Morogoro sijui pana shida gani!!!
Itakuwa wewe Ni mchawi maana siku zote mwizi huona kila mtu Ni mwizi
Mie na uzawa wa Morogoro wapi na wapi[emoji1745][emoji1745]Tuwaulize nyie wazawa[emoji28][emoji28]
Hee..basi nahuaga wa hapa hapa...lolMie na uzawa wa Morogoro wapi na wapi[emoji1745][emoji1745]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hee..basi nahuaga wa hapa hapa...lol
Mchawi huona kila mtu mchawina mchawi huona kila mtu mchawi au mchawi huona wachawi wenzake?!
Mchawi huona kila mtu mchawi
Mchawe ni yule anaesema fulana mchawi utajuaje Kama yeye Ni mchawi Kama wewe si mchawi?Haha si bure uchawi upo na warozi wapo pia ukiwammoja wao wewe.
Haya wote wachawiMchawe ni yule anaesema fulana mchawi utajuaje Kama yeye Ni mchawi Kama wewe si mchawi?