Devota Minja amwaga maelfu ya barakoa Morogoro ili kuwakinga Wananchi na Corona

Devota Minja amwaga maelfu ya barakoa Morogoro ili kuwakinga Wananchi na Corona

Devota minja vs Aboud
Kiakili..kielimu...kimaendeleo, kimikakati.... Abood haweki pua kwa Devo
hahaaaaaaaa
aisee, unajua maana ya kuendesha biashara na ikashamiri miaka zaidi ya 5 bila kuyumba...
katafute hoja nyingine mkuu..

Dogo njoo taratibu ..! Hizo biashara za kina abood ni za familia ..! Hawa matycoon wa moro wanafigisu zao..huyu akishikwa pumbu vzr na magu utaona km atakaa road!..namfahamu sana Devota!
 
Kusingekuwa na Corona!!!

Marupurupu yote Yao!!!

Wapiga Kura wenye kujielewa, wabunge wa Aina hii ndo wakupiga chini haswaa, Tunahitaji misaada kweli Kwa Wakati huu, lakini ukicheki wengi Wao wabunge wetu, wanatafuta Tu pa Kutokea!! Wanatafuta Kiki, misukumo Yao ni ili wapate kitu...

Makamera kibao na wamejivisha Utu, Wakati ni wachumia tumbo Tu,

Ole wake nikutane na mbunge yeyote anajipitisha kutuleta misaada hasa ktk kipindi hiki pekee, Wakati siku za nyuma hata haonekani jimboni kwake, atajuta na hatasahau
 
Naomba nisiharibu usk wangu kumhusu huyo Abood wao!
Viva devota! Mapambano yaendelee!
Hili li mkoa kama lina laana!..mijitu inafurahia kupelekwa Kola kuzikwa mahosp hata pen v hakuna! Mamaeeee
Ushabiki wa kisiasa una mambo ya ajabu sana. Yaani kama vile washabiki wa Yanga wanavyomchukia Kagere moyoni mwao kisa tu ni mchezaji wa Simba hata afanyeje hawezi kupendwa na wana yanga labda atakaposajiliwa yanga. Au ni sawa na washabiki wa Simba wanavyomchukia Morrison moyoni mwao.

Devota Minja ameonesha kitu kizuri kinachopaswa kuigwa na wengineo, maana amesaidia watu wajikinge na janga hili la corona. Lakini ukiangalia kwa namna nyingine ni kwamba kuelekea kipindi hiki wanasiasa na vyama vya kisiasa kwao majanga yanayo kick ni fursa kubwa sana.
Hivyo pamoja na watu kutoa misaada hujui dhamira yake ni ipi ni kusaidia kweli au ni namna kujipa kampeni kuelekea kwenye uchaguzi.

Kumfananisha Devota na Abood hili linaweza kuamliwa na wana Morogoro wenyewe kwasababu wanajua kuwa; ukiachanana kupewa usafiri wa kwenda kuzika misibani ni vitu gani au mambo gani Abood amefanya kuleta maendeleo na pia wanajua kuwa ukiachana na huu msaada waliopewa wa Barakoa ni vitu gani vingine Devota Kavifanya katika kuleta maendeo Morogoro au mkuu kama una mizania yao hawa wawili tuorodhoshee hapa walivyovifanya ili tuweze kujua aliyemzidi mwenzie ni yupi. ila nachokumbuka mimi ni kwamba Abood kaanza kutoa magari ya kwenda kuzika misibani tokea zamani kabla hata ya kuwa mbunge.
Ifike wakati watanzania tuwe wadau wa maendeleo na tusiwe wadau wa vyama vya kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushabiki wa kisiasa una mambo ya ajabu sana. Yaani kama vile washabiki wa Yanga wanavyomchukia Kagere moyoni mwao kisa tu ni mchezaji wa Simba hata afanyeje hawezi kupendwa na wana yanga labda atakaposajiliwa yanga. Au ni sawa na washabiki wa Simba wanavyomchukia Morrison moyoni mwao.

Devota Minja ameonesha kitu kizuri kinachopaswa kuigwa na wengineo, maana amesaidia watu wajikinge na janga hili la corona. Lakini ukiangalia kwa namna nyingine ni kwamba kuelekea kipindi hiki wanasiasa na vyama vya kisiasa kwao majanga yanayo kick ni fursa kubwa sana.
Hivyo pamoja na watu kutoa misaada hujui dhamira yake ni ipi ni kusaidia kweli au ni namna kujipa kampeni kuelekea kwenye uchaguzi.

Kumfananisha Devota na Abood hili linaweza kuamliwa na wana Morogoro wenyewe kwasababu wanajua kuwa; ukiachanana kupewa usafiri wa kwenda kuzika misibani ni vitu gani au mambo gani Abood amefanya kuleta maendeleo na pia wanajua kuwa ukiachana na huu msaada waliopewa wa Barakoa ni vitu gani vingine Devota Kavifanya katika kuleta maendeo Morogoro au mkuu kama una mizania yao hawa wawili tuorodhoshee hapa walivyovifanya ili tuweze kujua aliyemzidi mwenzie ni yupi. ila nachokumbuka mimi ni kwamba Abood kaanza kutoa magari ya kwenda kuzika misibani tokea zamani kabla hata ya kuwa mbunge.
Ifike wakati watanzania tuwe wadau wa maendeleo na tusiwe wadau wa vyama vya kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sawa kada! ..ni kweli mji mzima wa morogoro una maji kila sehemu...! Tuna mito kibao moro na bahat nzuri serikali imefanikiwa kutuletea wakazi wa Moro maji mkoa mzima!..hakuna shida ya maji kbs! Hilo abood nampo geza!
2; barabara zetu ziko katika hali nzuri sana..ni pana na hazina shida...!mji umepangwa ukapangika..
3; Hosp dawa zipo...tena bure tu
4; Vijana weng wamewezeshwa kupitia mifuko yao ya kukopeshwa kwa riba ndogo saana na mkopo unatoka kwa wakati muafa .72hrs .sio miez 6 kama zamani..weng wamekimbilia kwenye Kilimo na tunaona output ya kilimo chao..masoko ni ya kugusa tu ...uhakika

5! Wenyeviti wa upinzan popote walipo walishasurrender maana maendeleo kwao hayakuwa yakija!..
Hakuna kama Abood! Nasema hakuna!
Hapa naandika nje kwangu maji yanamwagika tu ..heko MORUWASA!

UMERIDHIKA???
 
Mikamera kibao,Tukio la kijinga na kujipendekeza,

hii ni kwa mbunge yeyote, mbunge umeshindwa kuwafanyia watu wako vitu vya maana, Umeona Corona ndio unaona ni pakutokea? Isingekuwa Corona!!
 
Safi sana Devota, watu wa namna hii ndio wanatakiwa. Sio huyo kazi yake kutoa magari yakazike watu, wenye imani haba watasema ni mambo ya kishirikina. Watu wa namna hiyo sijui wanakuwa viongozi kwa sababu gani, huenda ni upumbavu wa mtanzania kama kawaida.
 
Ushabiki wa kisiasa una mambo ya ajabu sana. Yaani kama vile washabiki wa Yanga wanavyomchukia Kagere moyoni mwao kisa tu ni mchezaji wa Simba hata afanyeje hawezi kupendwa na wana yanga labda atakaposajiliwa yanga. Au ni sawa na washabiki wa Simba wanavyomchukia Morrison moyoni mwao.

Devota Minja ameonesha kitu kizuri kinachopaswa kuigwa na wengineo, maana amesaidia watu wajikinge na janga hili la corona. Lakini ukiangalia kwa namna nyingine ni kwamba kuelekea kipindi hiki wanasiasa na vyama vya kisiasa kwao majanga yanayo kick ni fursa kubwa sana.
Hivyo pamoja na watu kutoa misaada hujui dhamira yake ni ipi ni kusaidia kweli au ni namna kujipa kampeni kuelekea kwenye uchaguzi.

Kumfananisha Devota na Abood hili linaweza kuamliwa na wana Morogoro wenyewe kwasababu wanajua kuwa; ukiachanana kupewa usafiri wa kwenda kuzika misibani ni vitu gani au mambo gani Abood amefanya kuleta maendeleo na pia wanajua kuwa ukiachana na huu msaada waliopewa wa Barakoa ni vitu gani vingine Devota Kavifanya katika kuleta maendeo Morogoro au mkuu kama una mizania yao hawa wawili tuorodhoshee hapa walivyovifanya ili tuweze kujua aliyemzidi mwenzie ni yupi. ila nachokumbuka mimi ni kwamba Abood kaanza kutoa magari ya kwenda kuzika misibani tokea zamani kabla hata ya kuwa mbunge.
Ifike wakati watanzania tuwe wadau wa maendeleo na tusiwe wadau wa vyama vya kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maendeleo bila siasa? if yes..

How?!

Siasa ndio inayoleta wabunge, wabunge wanapitisha bajeti inayopeleka maendeleo kwa wananchi, wewe hayo maendeleo yako ya "kusafirisha misiba" ndio yamekudumaza akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana Devota, watu wa namna hii ndio wanatakiwa. Sio huyo kazi yake kutoa magari yakazike watu, wenye imani haba watasema ni mambo ya kishirikina. Watu wa namna hiyo sijui wanakuwa viongozi kwa sababu gani, huenda ni upumbavu wa mtanzania kama kawaida.


Ajabu leo umesifia Chadema
 
View attachment 1429399
View attachment 1429400View attachment 1429401View attachment 1429402View attachment 1429403View attachment 1429404

Wahenga walishasema tangu zamani kwamba kutoa ni moyo , na wala si utajiri , huyu Devota Minja yeye ameamua kutoa barakoa ili kuwaokoa wananchi dhidi ya vifo vya corona.

Lakini inafahamika kwamba Tajiri Mohamed Abood yeye miaka yote anatoa Magari ya kubebea maiti kupeleka makaburini kuzika , watu wa Morogoro Mjini hili wanalifahamu sana.

KUPANGA NI KUCHAGUA
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Kate Kamba (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana, kuhusu Chama hicho kutoa msaada wa barakoa milioni moja kwa wakazi wa jiji hilo wiki ijayo, ili kupambana na ugonjwa wa Covid -19.
Image may contain: one or more people and people standing
 
Back
Top Bottom