Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Amefanya jambo la busars
Enyi wanamrogoro msirudie kosa 2020, mchagueni huyu anayewakinga na kifo si huyo anayetaka mkufe ndio akupelekeni kuzika hapo ndio ionekane kakupeni msaada
Awamu hii muulizeni kwanini asitoe msaada kuokoa maisha ya wanamrogoro?
Ukitaka kuamini kuna misukule hai..wewe ongelea vby ccm Moro!