Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Kampeni kwenye siasa za kiafrika.
Nimeona vichupa vya sanitizer vimeandikwa ccm, wengine chadema naona huyu mwanamke ameamua kuandika kwenye barakoa.
Ukiamua kusaidia usisaidie kwa kutengeneza kampeni ndani ya msaada unaotoa inakuwa mambo ya hovyo sana.
Ni maoni yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona vichupa vya sanitizer vimeandikwa ccm, wengine chadema naona huyu mwanamke ameamua kuandika kwenye barakoa.
Ukiamua kusaidia usisaidie kwa kutengeneza kampeni ndani ya msaada unaotoa inakuwa mambo ya hovyo sana.
Ni maoni yangu
Sent using Jamii Forums mobile app