Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cost ya kuweka chapa yawezekana angetengeneza nyingine mara mbili yake.Hata wewe unaweza toa zako uweke chapa yako man, chapa haizuii kulinda uhai wa mtu man.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa wakati mwingine ni watu wa ovyo sana. Barakoa inageuzwa bango la matangazo na jina lake. Mwambie mtu huyu asaidie bila kupewa promo kama utaona hata mia yake. Disgusting!
Ya ubunge wa viti maalumu?hiyo nafasi 2020 lazima iende NCCR Mageuzi
Yeye anafariji waliokufa tu. HahahaaaaYaani kwa hapo miendo naamini uchawi upo jamni!..wewe fiwa ufiwavyo abood bus lazma ang'ae msibani/!nenda sasa hivi Nunge kama kuna septrin !
Ndio huyo huyoHuyu Minja mchaga ndiyo alilamikiwa na BAWACHA Morogoro kupewa Ubunge viti maalum kwa upendeleo kisa mchaga.
Comment yake nimeona aibu MimiDevota minja vs Aboud
Kiakili..kielimu...kimaendeleo, kimikakati.... Abood haweki pua kwa Devo
hahaaaaaaaa
aisee, unajua maana ya kuendesha biashara na ikashamiri miaka zaidi ya 5 bila kuyumba...
katafute hoja nyingine mkuu..
Basi sawaHuyu Minja mchaga ndiyo alilamikiwa na BAWACHA Morogoro kupewa Ubunge viti maalum kwa upendeleo kisa mchaga.
Umasikini umewadumaza akili, mnamuamini tajiri asie na kitu kichwani, kuliko masikini mwenye kitu kichwani!Devota minja vs Aboud
Kiakili..kielimu...kimaendeleo, kimikakati.... Abood haweki pua kwa Devo
hahaaaaaaaa
aisee, unajua maana ya kuendesha biashara na ikashamiri miaka zaidi ya 5 bila kuyumba...
katafute hoja nyingine mkuu..
Uchaguzi unaokuja hatapata ubunge ...mark my words...ila Hilo la kugawa barakoa ni Jambo la kupongeza...Safi,sio wale wanaotoa amri tu za kuvaa barakoa bila hata kujua zinapatikanaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni dhaifuKwanini ameziandika majina?