Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mikoani anasafiri nae halafu eti anatambulishwa kama mwana siasa.Mbaya SanaNaona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Kwani humu JF kuna boss wa DG !?Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Kitaalamu sijui iko vipi!? labda yawezekana masharti ya Mganga, kwa siye tunaoamini nguvu za Giza...Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Lol....tuna analysis nyingine hazina merits kabisaChochea kuni mihogo iive mkuu otherwise kesho unakunywa Chai kavu....
Hawa jamaa kweli ni nomaWe ndege JOHN na kichaa mwenzio Zero IQ njooni hapa walau msuuze ubongo sio kila muda mnawaza uzinzi tu
Aisee Mambo mengine kujaza kichwani Ni Kama kuchoshana tu yaani uchafu uchafu..yasiyokuhusu achana nayo yatakuumiza Sana kichwa
Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?