Kichaa akipewa rungu ..........................,tatizo letu sisi unaacha kuleta mada za maana unaingilia protocally za watu.Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?