Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Mbowe ni DG wa TISS?Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni DG wa TISS?Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
We ndege JOHN na mchumba wako Zero IQ njooni hapa walau msuuze ubongo sio kila muda mnawaza uzinzi tu
Aisee Mambo mengine kujaza kichwani Ni Kama kuchoshana tu yaani uchafu uchafu..yasiyokuhusu achana nayo yatakuumiza Sana kichwa
Samahani ,wewe mleta uzi ni jinsia ya KE au ME?[emoji125]Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Taarifa zote kuhusu hali ya nchi zinapatikana kwa ofisa huyo ,kimpangilio ,tena live,si kwa kupigiana simuNiliwah kumuona Mtukula wakati JPM ana ziara Kagera anaenda kuweka na kuzindua jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda... nilishangaa sana ila it seems kwa utawala huu wa awamu ya tano popote pale alipo JPM mkuu wa TISS yupo karibu....nashindwa kuelewa maana yake ni nini...
Hamna mlokole pale, huko kanisani yupo kazini.Kila mara mkuu huomba tumuombee. Nadhani unajua kuwa DG huyo mi mlokole hivyo huenda naye ili aiombee safari kabla ya kuruka na kuombea ndege itue salama kabla haijatua. Ni mawazo yangu tu
Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
Akiwaacha tu wanaungana na MBOWE na MEMBE wanachukua Nchi, hawaamini kabisa.
Watu mnawivu tuNaona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Niliwah kumuona Mtukula wakati JPM ana ziara Kagera anaenda kuweka na kuzindua jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda... nilishangaa sana ila it seems kwa utawala huu wa awamu ya tano popote pale alipo JPM mkuu wa TISS yupo karibu....nashindwa kuelewa maana yake ni nini...
Aisee Mambo mengine kujaza kichwani Ni Kama kuchoshana tu yaani uchafu uchafu..yasiyokuhusu achana nayo yatakuumiza Sana kichwa
Hali ni mbaya mpaka walete hujuma?mkuu wa TISS, mkuu wa majeshi lazima aende nao akiwaacha wanaweza fanya hujuma na kupindua nchi
Angalia huyuMbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
Kitaaluma ni kuwa huyo DG ni photocopy, DG original kabsa ni huyo bwana kiparaaNaona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Ndo hofu imefikia level hiyo? Kwa taarifa tu ni kwamba siku hizi mapinduzi hufanywa na raia wasio na silaha wala mafunzo ya kijeshi...Blaise Compaore alitimuliwa na akina mama waliobeba tu chelewamkuu wa TISS, mkuu wa majeshi lazima aende nao akiwaacha wanaweza fanya hujuma na kupindua nchi