DG wa Tiss kuambatana na Rais nje ya nchi imekaaje?

DG wa Tiss kuambatana na Rais nje ya nchi imekaaje?

Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.

Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.

Kitaalam imekaaje wakuu?
Samahani ,wewe mleta uzi ni jinsia ya KE au ME?[emoji125]
 
Niliwah kumuona Mtukula wakati JPM ana ziara Kagera anaenda kuweka na kuzindua jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda... nilishangaa sana ila it seems kwa utawala huu wa awamu ya tano popote pale alipo JPM mkuu wa TISS yupo karibu....nashindwa kuelewa maana yake ni nini...
Taarifa zote kuhusu hali ya nchi zinapatikana kwa ofisa huyo ,kimpangilio ,tena live,si kwa kupigiana simu
 
Niliwah kumuona Mtukula wakati JPM ana ziara Kagera anaenda kuweka na kuzindua jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda... nilishangaa sana ila it seems kwa utawala huu wa awamu ya tano popote pale alipo JPM mkuu wa TISS yupo karibu....nashindwa kuelewa maana yake ni nini...

Boss sasa unashindwa kuelewa nn, haujui kama yule ni mkuu wa inchi? Sasa mkuu wa idara flan kuwa nae kwenye ziara kuna shida gani? Pale kila mtu anatimiza majukumu yake
 
Nchi alizozitembelea ni za SADC,Na katika SADC wanashirikiana sana kwa mambo ya usalama, labda ni mikakati ya nchi hizo South Africa,Namibia,Zimbabwe waongeze kasi ya kulipa mchango wetu tuliojitoa kushirikiana nao hadi wakapata uhuru. Hakuna cha Bure kwa Magufuli labda kama kuna kigogo aliekuwa anavuta kimya kimya.
 
Back
Top Bottom