Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtashangaa sana maana Raisi amekataa kufanya kazi kama viongozi mlio wazoea. Kila afanyalo ni ubunifu wake mwenyewe. Keep it up raisi wetuNiliwah kumuona Mtukula wakati JPM ana ziara Kagera anaenda kuweka na kuzindua jiwe la msingi la bomba la mafuta Uganda... nilishangaa sana ila it seems kwa utawala huu wa awamu ya tano popote pale alipo JPM mkuu wa TISS yupo karibu....nashindwa kuelewa maana yake ni nini...
Mabutu nasikia alikua anaondoka nao ila na nafunguo za maghala ya silaha anaondoka nazo.mkuu wa TISS, mkuu wa majeshi lazima aende nao akiwaacha wanaweza fanya hujuma na kupindua nchi
Kazi yake ya kichungaji haimnyimi kuwachunga kondoo wa Bwana na kumuombea mkuuHamna mlokole pale, huko kanisani yupo kazini.
DG wa Red BrigadeMbowe ni DG wa TISS?
Mbona unawatisha watu wa mkoa wa Singida mambo ya kizamani hayo.Aisee Mambo mengine kujaza kichwani Ni Kama kuchoshana tu yaani uchafu uchafu..yasiyokuhusu achana nayo yatakuumiza Sana kichwa
Kwahiyo anamuiga Mbowe? Au inakuwaje.[emoji12][emoji12][emoji12]Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
Mbowe ni Raisi wa Nchi gani?Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
Mbona JK alikuwa haendi nao na nchi ilienda kama kawa. Jamaa hajiaminimkuu wa TISS, mkuu wa majeshi lazima aende nao akiwaacha wanaweza fanya hujuma na kupindua nchi
Bwana mkubwa kiingereza hajui na busara ya kawaida ya uongozi pia hana. Kwa kweli ikulu imebakwa!!!Naona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
Sasa hivi ya ngoswe mwachie ngoswe ndugu yangu. Lakini kumbuka na per diem zinazibaziba mapengo ya matokeo ya ujenzi wa viwandaNaona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?
acha ujinga wako hapa.mbowe ni raisi wa nchi gani?Mbona Mbowe huwa anasafiri na Makamanda Wakuu kutoka Red Brigade? Hii imekaaje.....
According to Tanzania security and intelligence Act ya 1996, kazi moja kubwa nyingne ya TISS nikusimamia uchumi na kuulinda uchumi wa nchi yetu na kuhakikisha unakua pia TISS huishauri serikali juu ya mwenendo wa uchumi wa nchi yetu. DG wa TISS kutembea na raisi kwene ziara za kichumi ni moja ya kazi yake pia kama tu ambavo anakuwepo waziri wa fedha na uchumi kwene hizi ziara.. Hata miaka ya nyuma ilikuwa hivo sema ma DG zamani walikua hawajulikani sana hadharani na pia ufwatiliaji wa watu kwene maswala haya yalikua ni madogo sana, ila ni jambo la kawaida sana sio kama watu walivokariri kuwa kazi ya TISS ni kulinda Viongozi tu, no they play a big role in National economicNaona jamaa yupo tu mstari wa mbele huko ziarani alipo Mh. Rais.
Jamaa yupo bize na kalamu na karatasi anaandika tu kama Gerson Msigwa.
Kitaalam imekaaje wakuu?