Dhahabu yetu itumike kama fedha ya kigeni kulipia madeni yetu

Dhahabu yetu itumike kama fedha ya kigeni kulipia madeni yetu

Hata Ghana dhabu sio yao ila wamepitisha sheria ya kulazimisha makampuni kuuza 20% ya Dhahabu yao waliyo zalisha kwa Benki kuu kwa Bei ya soko kwa hela za ndani yani Cedi (Kwetu itakuwa TZS). Hata sisi tunaweza swali ni je tunazo hizo hela za kununua? Na uaminifu upo chini ya CCM hi hii ninayo ijua....tutakuta ghala la dhabu liko tupu.
Pesa zetu Shillings tunazo hata trillions tukitaka si tunachapisha tuu, tatizo ni hao watu wanaitwa CCM watakomba kila kitu na hakuna mtu atajua dhahabu zimeenda wapi kama gas ya Mtwara tuu
 
View attachment 2431286

Ghana imeonyesha baada ya kufikiri kwa kina.

Dhahabu ni fedha ya kigeni.
Kama una dhahabu ya kutosha, unalipa madeni yako kwa reserves za dhahabu hiyo.

Mwigulu and co., hebu lifikirieni hilo kwa makini.

Inaitwa thinking out of the box.
Tuna dhahabu? Ipi? Ninachojua ni kwamba chini kabisa kwenye baadhi ya maeneo ya ardhi yetu kuna dhahabu ambayo tumeshindwa kuichimba, na tumewapa ''wazungu'' wachimbe iwe yao, na sisi tuwatoze kodi.
 
Back
Top Bottom