Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Tatizo watanzania wataogopa sanctions kutokana na hilo. Na japokuwa BOT ina gold reserves sijui kwa nini hawatumii hizo kulipa madeni zaidi ya kununulia noti za fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una HAKIKA mwigu and company yake, wanaweza kutunza dhahabu kwenye KIBUBU?View attachment 2431286
Ghana imeonyesha baada ya kufikiri kwa kina.
Dhahabu ni fedha ya kigeni.
Kama una dhahabu ya kutosha, unalipa madeni yako kwa reserves za dhahabu hiyo.
Mwigulu and co., hebu lifikirieni hilo kwa makini.
Inaitwa thinking out of the box.
Tuseme inshallah na iwe hivyo,huwa nachukia sana kuyaona majitu ya ccm yakijieleza mahali popote yaani unaona kabisa ni useless,shit ,mashudu matupu sema tu ndio vile katiba ya ovyo inawalindaHaya majizi ya machichiemu tutayashughulikia. Bahati nzuri mengi yao yaliyoko kwa system yatakufa si kitambo maana umri umeshayatupa mkono na ni maovu pia ni magonjwa na kwa Mungu hayana faida yeyote hadi afkirie kuyabakiza duniani atayafyekelea mbali. Cheki kuanzia mwakani yatakavyopukutishwa
Duh !!Haya majizi ya machichiemu tutayashughulikia. Bahati nzuri mengi yao yaliyoko kwa system yatakufa si kitambo maana umri umeshayatupa mkono na ni maovu pia ni magonjwa na kwa Mungu hayana faida yeyote hadi afkirie kuyabakiza duniani atayafyekelea mbali. Cheki kuanzia mwakani yatakavyopukutishwa
Nani aliekwambia mna dhahabu yenu? Ngoma hizo hatuna chetu mzee 🤣🤣 tunaokoteza sh mbili tatu
Hebu nyanyua sauti huyo kiongozi aone kama hatafyekwa kama alivyofanyiwa Gaddafi.Ghana imeonyesha baada ya kufikiri kwa kina.
Dhahabu ni fedha ya kigeni.
Kama una dhahabu ya kutosha, unalipa madeni yako kwa reserves za dhahabu hiyo.
Mwigulu and co., hebu lifikirieni hilo kwa makini.
Inaitwa thinking out of the box.
Tusiendekeze unyonge!Hebu nyanyua sauti huyo kiongozi aone kama hatafyekwa kama alivyofanyiwa Gaddafi.
Mmarekani hatakubali hata siku moja kuweka dhahabu itumike kama exchange currency atakukata kidomodomo kabla hujanyanyuka.
Ukiwa na mawazo ya kufikiri kimasikini, katu huwezi kujiamulia mambo yako.Nani aliekwambia mna dhahabu yenu? Ngoma hizo hatuna chetu mzee 🤣🤣 tunaokoteza sh mbili tatu tu hapo!!
Hakuna mtu aliuwawa kwa kujaribu yasiyowezekana.Una HAKIKA mwigu and company yake, wanaweza kutunza dhahabu kwenye KIBUBU?
Always reality hurts ✔️Ukiwa na mawazo ya kufikiri kimasikini, katu huwezi kujiamulia mambo yako.
Ngoja aje cc jidu la mabambasi atarara nawewe mberee 🤣🤣🤣🤣dhahabu , tanzanite, chuma , copper tunavyo hivyo vyote na vipo ndani ya nchi yetu.
lakini ukweli mchungu sio mali yetu hivyo hatuwezi kutumia kitu ambacho sio chetu.
"japo kihistoria waliambiwa ile nyumba na kile choo ni cha kwao lakini hawajawahi kukitumia " Mrisho mpoto ...SIZONJE
Mkuu kuna wakati inabidi tumkumbuke yule jamaa aliyejitoa ufahamu, mwamba Magufuli kwa hili.Ngoja aje cc jidu la mabambasi atarara nawewe mberee 🤣🤣🤣🤣
YeahMkuu kuna wakati inabidi tumkumbuke yule jamaa aliyejitoa ufahamu, mwamba Magufuli kwa hili.
Kuna watu wanapenda unyonge kuwa sehemu ya maisha yao.
Huu ndio ujinga wa "wasomi" waliokaririshwa na kutofikiri nje ya boksi walilovishwa kichwani.Huyo Raisi wa Ghana ni tapeli kama matapeli wengine tu beinya dhahabu iko linked kwenye thanani ya dollar .Hivyo dhahabu zake zitatathminishwa kwa kutumia dollar!!! Na bei za mafuta thamani yake hutathminishwa kwa dollar
Anachoongea ujinga mtupu kufurahisha waghana wajinga
Mafuta atanunua kwa dollar rate hata akitaka anunue kwa kutoa dhahabu
Pale kwa marekani hakuna unyonge bali ni kutumia mabavu for their survival.Tusiendekeze unyonge!
🤣🤣🤣🤣🤣 aje tuNgoja aje cc jidu la mabambasi atarara nawewe mberee 🤣🤣🤣🤣