Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa,wale wanaosema wameokoka tuwachukuliaje?Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Hata ulaji wa nauli?Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Thubutuuuu yakooo! 😆Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Hizo mbili za Mwanzo hizoHata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Kutamani ndio Uzinzi tayariumesahau ya kutamani😂😂
Dhuluma imenipitia kushoto!Hata ulaji wa nauli?
Thubutuuuu yakooo! 😆
🤝🤝💐💐Dhuluma imenipitia kushoto!
Unaomba pesa ya kodi kumbe unaenda kununua nguo... Hiyo nayo ni dhulma piaNamba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Dhulma huanzia mbali kabisa utotoni.Unakula na wenzako halafu unamega matonge "manene" au kuchukua nyama harakaharaka kabla ya wenzako.Hiyo ni dhulma.Kumnyima mwenza wako mahaba bila sababu.Hiyo ni dhulma.Kumchapa mtoto kimakosa ni dhulma.Kutokusalimu wengine kwa kiburi tu ni dhulma.Kukataa kupisha wengine njiani ni dhulma.Kupewa kitu na kutosema asante ni dhulma nk.Dhuluma imenipitia kushoto!
kutamani sio lazima iwe mwanamke/mwanaume unaweza ukatamani hata mali au kitu kisicho chakoKutamani ndio Uzinzi tayari
Namba 2 kama kawa?Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Usipodhulumu mru kuna siku kazina ulidhulumu nafsiNamba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Namba 2 kama kawa?
Namba mbili je?Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.