City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,475
- 7,571
Umeajiriwa Mahali au umejiajiri tayari?Dhuluma imenipitia kushoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeajiriwa Mahali au umejiajiri tayari?Dhuluma imenipitia kushoto!
Mbaga anadai Vocha zake.Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Je namba mbili, alafu namba tatu mbona kwenye nyuzi za vocha unatubania mpaka wengine tunakosaNamba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Wewe ni muasheratiDhambi ni mtazamo tu!
Hivi mimi nimekubaliana na mdada fresh sijamlaghai wala kumpa ahadi hewa, akaja geto jioni tukafurahia tofauti zetu asubuhi tukapiga supu akarudi kwake. Yeye kaenjoy mimi nimeenjoy afu mtu anasema tulichofanya ni dhambi
Mkaenjoy kama kuenjoyDhambi ni mtazamo tu!
Hivi mimi nimekubaliana na mdada fresh sijamlaghai wala kumpa ahadi hewa, akaja geto jioni tukafurahia tofauti zetu asubuhi tukapiga supu akarudi kwake. Yeye kaenjoy mimi nimeenjoy afu mtu anasema tulichofanya ni dhambi
Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Hapo unakuta baada ya yy kufika kwake ukampa pole mkapeana feedback wapi mlifanya Powa na wapi mlizingua na next time mboreshe wapi gafla anatokea Yoda anasema nyie ni waasheratiMkaenjoy kama kuenjoy
WiziHata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Ndio mana nasema washika dini wote wanafiki na washenzi tu,hofu ya kifo ndio inawafanya waendelee kusali tofauti na hapo hakuna dini ni upuuziHata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
🤣🤣umekabia juu sanaHapo unakuta baada ya yy kufika kwake ukampa pole mkapeana feedback wapi mlifanya Powa na wapi mlizingua na next time mboreshe wapi gafla anatokea Yoda anasema nyie ni waasherati
Ongezea hii.Mhubiri 7:20tukisema hatuna dhambi twajidanganya na wala kweli haimo ndani yetu"
Yohan 1:8
" Hakuna mwenye mwili hata mmoja ahesabiwaye haki mbele zake Mungu kwa matendo ya sheria "
Rumi 3:10
hapo kwenye moja na mbili kipengele sana bila divine intervention hatoboi mtu hapo
ni mjinga tu ndio anayeweza kujiona hatendi dhambiOngezea hii.Mhubiri 7:20
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.
Hata uizi wengi tuu vibaka!,mfano mwajiri mmekubariana kufika kazini ni saa mbili na kutoka saa tisa na nusu,tunaingia saa mbili na nusu kutoka saa nane.umesahau ya kutamani😂😂
Ni kweli mkuuHata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki