heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Yote naweza kuepuka hasa uchoyo,dhuluma,chuki yani sina historia ya kumdhurumu mtu wala kuwa na chuki na yoyote wala choyo, uzinzi sio sana,uongo kiasi, ushirikina never ,ulevi kiasi, ntaenda motoni kwa kuwa maskini labda