Correctly umepatia mkuu.Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Hizo dhambi haziepukiki AISEE hasa tatu uongo,uzinzi na chuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Correctly umepatia mkuu.Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki
Namba 3, 4,5 naweza kuepuka sana kabisa.Namba 3 mimi naweza kuiepuka kwa 99.999% sikumbuki kama nishawahi kudhulumu.
Hongera sana! Mimi nilisema naweza kuepuka 3 wakabaki wananizomeaNamba 3, 4,5 naweza kuepuka sana kabisa.
Hakuna anaekujua zaidi ya unavyojijua mwenyewe, wengi watashangaa ila ndio uhalisia wako.Hongera sana! Mimi nilisema naweza kuepuka 3 wakabaki wananizomea
Hiyo ipo kwenye kipengere cha kuzini mkuu😂Kutamani ndio Uzinzi tayari
Kimbembe ni 1 na 2 tu... hizo zingine ni kujiendekeza..Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.
1. Uongo
2. Uzinzi/uasherati
3. Dhuluma
4. Ubinafsi/Uchoyo
5. Chuki