Dhambi 5 zisizoepukika hata kwa washika dini

Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.

1. Uongo

2. Uzinzi/uasherati

3. Dhuluma

4. Ubinafsi/Uchoyo

5. Chuki
Correctly umepatia mkuu.
Hizo dhambi haziepukiki AISEE hasa tatu uongo,uzinzi na chuki.
 
Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi.

1. Uongo

2. Uzinzi/uasherati

3. Dhuluma

4. Ubinafsi/Uchoyo

5. Chuki
Kimbembe ni 1 na 2 tu... hizo zingine ni kujiendekeza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…