Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Neno linasema :mwenue akili huona Atari akarudi nyuma bali mpumbavu uendelea mbele.
 
I see wisdom in this. You spoke like an old wiser man, a habit u shud nurture
 
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.

Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects

jiwe gizani
 
[emoji3] [emoji3]

Unawaharibia wenzio michezo yao watakosa wa kuwazibulia vyoo vyao mana ushawatoa tongotongo wazibuaji lakini walau umetimiza ulilopaswa kusema hii ni nzuri sana ibaki anaefanya haka kamchezo basi ameamua mwenyewe kumpindua shetani sasa akifukuzwa kwenye mbigu ya wazibuaji sijui ataenda wapi mars au neptune
 
Aisee nimejifunza kitu, kama najiona nilivyokuwa natumbukia kwenye ulevi wa pombe na kuwa mkaidi, mkorofi na malaya juu, nadhani nilikua nimefika hapo namba 4 kama sio tano. Ehhe Mungu nisaidie nisirudi tena huko.
 
Dhambi kwa jina la "MAENDELEO YA DEMOKRASIA"πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…