Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Na kuna watu bila aibu huwa wanaona ufahari kueleza namna wanavyotumia "tundu" la nyuma kujiburudisha.Disgusting!
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku kuna binti alitaka kunipeleka chooni aisee ! Ilibakia kidogo nimuitie polisi
Nalog off
 
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi #mshana Jr mengi ya Giza hufanyika chooni mshana tuokoe Ni yapi na jinsi ya kujikinga nayo wewe Ni mutu mkubwa Sana
 
Hivi anayechungulia tundu la choo na anayechezea kinyesi cha binadamu mwenzie kupitia ngono isiyo rasmi, nani ana nafuu, au wote wamoja?
 
Inategemea na muktadha
Hivi anayechungulia tundu la choo na anayechezea kinyesi cha binadamu mwenzie kupitia ngono isiyo rasmi, nani ana nafuu, au wote wamoja?
 
Aliyesema mada za Mchana Jr hazina maana ana lake jambo, namuogopa kama ukoma. Ukizungumza mambo ya ulozi mbele ya watu , anaebisha sana ni mlozi wa kutisha ila hataki watu wajue
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116]
Aliyesema mada za Mchana Jr hazina maana ana lake jambo, namuogopa kama ukoma. Ukizungumza mambo ya ulozi mbele ya watu , anaebisha sana ni mlozi wa kutisha ila hataki watu wajue
 
We hujajua kua mada yako hii inayofundisha yeye imemharibia soko kiasi gani.ni Kama vile umerusha jiwe kichakani.ukisikia mayowe ujue limempata mtu.
 
Wakati anakwambia hivyo alikuwa mafanikio gani? Je kupitia akili za mganga aliweza kupata namba moja kitaifa?
Maana kuna kijana mmoja katika story story aliwai nambia kwanba aliwahi kwenda kwa mganga ili awe anaakili darasani na baada ya kwenda akawa anafaulu sana darasani
 
Kule sio huku... Kila kitu kina pande mbili...
Dah! Wewe ni Mshana Jr aliyeandika na kuuuuleee kuhusu mambo haya au umebadili gia angani kama yule profesa wa buguruni! Nadhani umeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…