Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Confused , kuna thread ilianzishwa na member kwa Id Hii hiii kuhusu hii mada, mada husika ilikuwa na mrengo kuhusu hii kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Blessed maisha yana pande mbili na kila upande ni vema ukatendewa haki... Na ndio maana hata maneno ya Mungu yanasema... Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Ni sawa mkuu, nakubalina na wewe, wakati maisha yana pande mbili, sisi hatupaswi kuchagua pande moja na kwenda nao?
 
Kwangu mimi ninachopaswa kufanya ni kuziweka pande zote mbili mezani... Halafu kila mtu anachagua unaomfaa
Ni sawa mkuu, nakubalina na wewe, wakati maisha yana pande mbili, sisi hatupaswi kuchagua pande moja na kwenda nao?
 
Confused , kuna thread ilianzishwa na member kwa Id Hii hiii kuhusu hii mada, mada husika ilikuwa na mrengo kuhusu hii kitu
Mkuu heshimu aina ya majukwaa ukiona kitu huko huwa tunaviachia huko ,hupaswi kutoa siri za kambi
 
Pamoja na ufedhuli wangu wote sijawahi wala sitamani kufanya huu ujinga,
Nitakua tayari kutoa roho ya mtu kuliko kufir* au kufirw*[emoji34][emoji34][emoji34]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na ufedhuli wangu wote sijawahi wala sitamani kufanya huu ujinga,
Nitakua tayari kutoa roho ya mtu kuliko kufir* au kufirw*[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…