Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Halafu hizi tabia kawaambukiza mpaka wanyama
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Uta Uta hebu angalia vizuri umemjibu nani
Oh I'm sorry brother, teknologia kidogo imeleta changamoto. Nilimkusudia yule alisema raha. Samahani sana kwa kukusababishia usumbufu. Na ubarikiwe kwa busara zako, maana angekuwa mwingine angeanza kutoa matusi bila ya kufikiri kwa kina
 
huwezi kulikwepa hili ni lazima liwepo Lakini lisibadilishwe/lisiongezewe matumizi
Shimo la kuzimu linakwepeka vijijini!!
Wanaenda vichakani.
Ila tundu la kuzimu ni muambata wa shetani hasa location imekaa kiintelijensia ya satan himself.
 
Ngoja wazibua vyoo waje utaona watakavyokupinga
 
Shimo la kuzimu linakwepeka vijijini!!
Wanaenda vichakani.
Ila tundu la kuzimu ni muambata wa shetani hasa location imekaa kiintelijensia ya satan himself.
[emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] matumizi yasiyo rasmi
 
Ahsante kwa Angalizo zuri lenye kutukumbusha Waja wa Muumba kujiepusha na lana za ulimwengu huu. (UMETIMIZA WAJIBU WAKO)

Kwa nia ya Kujifunza zaidi naomba nifahamishwe Je dhambi ina mafungu?

Kuna dhambi ndogo na kubwa? Au Watenda dhambi wote bila kujali aina ya dhambi zao siku ya kiama watateketezwa katika moto mmoja jehanam milele yote?
 
Asante sana dhambi zote ni sawa kwa imani ya Mungu mmoja na hukumu ni moja ila kwa waabudu miungu zinatofautiana uzito na adhabu
 
 
cha ajabu hakufahamu alafu anaumia tu na mada zako! ama kweli stress za maisha mbaya.. well done mshana jr endelea kutupa elimu dunia.
 
cha ajabu hakufahamu alafu anaumia tu na mada zako! ama kweli stress za maisha mbaya.. well done mshana jr endelea kutupa elimu dunia.
charty watu wa kaliba hii wako wengi tu mbona.... Cha muhimu si kubishana nao... Aidha kuwaelewesha ama kuwakalia kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…