Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Anayesamehe dhambi ni Mungu.

Mtumishi wa Mungu ni chombo chake na msaada wa kukufungua pingu wewe uliye mtumwa.

Amen
sawa wewe je unayajua mawazo ya watu..Kama sio kuingilia kazi ya mungu kazi yako ni kuhubiri kutubu ni kaz ya waumin wako...Na mungu ndiye ajuaye kuwa wametubu.....Yeye alisema mkitaka kusamehewa wasameheni waliowaudhi.Je hapo kna sadaka.Ungetofautsha kutubu na sadaka maana kila mtu akienda kanisani lazma atoe sadaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuh!! Mtu unaanzaje kwani?

Sisi wengine dhambi zetu (km kweli ni dhambi kadri ya imani zao), bas tutakapo tubu hata huyo mtumishi ataanguka kwa hofu na uoga mkuu.

[emoji23][emoji23][emoji23] watuacheee.
 
Lete ushahidi/uthibitishi japo mdogo tu wa kimaandiko. Vinginevyo, haya yatahesabika kuwa ni mawazo binafsi tu ya mtu ambayo watu watakuwa na uhiyari wa kuyatii au kutotii.
 
Mind game,vitu vya saikolojia tuu hivyo Wacha kutosha watu
 


Rubbish! Na wewe ni mpotoshaji mkubwa, utakatisha tamaa watu wasitubu, huwezi andika mambo haya yote bila evidence za Maandiko!

Peleka ujinga huko.
 
Rubbish! Na wewe ni mpotoshaji mkubwa, utakatisha tamaa watu wasitubu, huwezi andika mambo haya yote bila evidence za Maandiko!

Peleka ujinga huko.
Kuwa makini na kinywa chako,

Ulipaswa Umuulize Mungu, Roho mtakatifu ikiwa haya niliyoandika ni Kweli au Si Kweli kabla ya kupinga.

Mungu akusamehe. Amen
 
Sote tuombe ila tujiulize yule mtu pale msalabani namna alivyofika kwa Mungu kwa neno moja tu la Ee Bwana unikumbuke kwenye ufalme wako.
Yule mtu pembeni msalabani alikuwa muuaji na alitubu hadharani na sio sirini, na tunaona Yesu akamsamehe.

Niliyoandika inaitwa INJILI YA UTAKATIFU.

INJILI hiyo Si Rahisi kuisikia Kwa false prophets.

Ubarikiwe.
 
Acha UPOTOSHAJI, sehemu pekee unatakiwa kupeleka shida zako ni kwa Mungu kupitia Yesu. Sasa wewe unavotaka kumuweka tena mtu third party (kama dalali) ili maombi yako yasikizwe. Na ofcourse dhambi zote zinasemehwa, isipokuwa dhambi ya kumkufuru Mungu.
Kwahio endapo una dhambi yoyote unaijutia na uko tayari kuiungama...piga magoti, jisogeze kwa Mungu na utubu dhambi hio nae atakusamehe.

Nioneshe sehemu kwenye Biblia walipoandika kuna dhambi unatakiwa umtumie mtumishi wa Mungu ili usamehewe.
 
Basi sawa.

Ubarikiwe. Amen
 
Na bado mtachanganyiwa sana
Yesu Kristo, Mungu mkuu, pia aliitwa kichaa aliyechanganyikiwa.

Napokea matusi yote, pia nakuombea upate neema ya kutubu kabla ya kufa.

Ikitokea umekufa bila kutubu, thread hii, itakuwa ushahidi siku ya HUKUMU.

Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…