Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Kwenda na kumshirikisha mtumishi, ni kukusaidia kujinasia, dhambi hizo zinaambatana na vifungo na mikataba ya kiroho, mfungwa hawezi JINSIA pekeako.

Mungu akusaidie, pia ikusaidie kuepuka dhambi aina hizo, mfano UZINZI, huwezi tubu sirini, so ukijua Hilo, kimbia kabisa zinaa. Amen
Tuseme hivi..., Ukishatenda hizo dhambi mfano uzinzi ni kwamba umejiingiza kwenye maagano na huyo uliyezini nae, maana mmekuwa nae mwili mmoja......

....unapofanya toba unahitaji pia kutumia damu ya Yesu kuvunja huo muunganiko na huyo uliyezini nae...na maombi kama hayo ukiambatanisha sadaka ni vizuri sana maana sadaka hunena na kuwa ukumbusho mbele za Mungu kwamba ulilivunja lile agano la kipepo na sasa umejiunganisha na madhabahu ya Kristo.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!!
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi.

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim.

Amen.
Na kwa hakika wahusika wanaalikwa bila kusita wala kuona haya, kupata fursa hiyo muhimu ya upatanisho na Mungu, ili wapate msamaha wa madhambi yao na wakawe huru tena, baada ya kutumbukia dhambini na kuharibu uhusiano wao na Mungu.

Na sasa mtoa bandiko anakumbusha na anaelekeza namna ya kurejea na kurejesha uhusiano wa karibu zaidi tena na Mungu,
ni katika sifa na Utukufu wa jina lake..
Aimen....
 
Hivi kumbe oral sex ni dhambi 🤔🤔🤔

Kwa hiyo kama mmeoana (mke na mume) na mnafanya oral sex ni dhambi 🤔🤔🤔

Kwa hiyo mkeo akinyonya dudu yako kwa mdomo kabla hujamchomokea kwake ni dhambi 🤔

Kwa hiyo mimi nikinyonya kisimi cha mke wangu kabla ya kumnyandua ni dhambi 🤔

Mimi najua hayo ni maandalizi tu kabla ya kunyandua mnaamshiana hisia ili tendo lije linoge vizuri.

Lakini pia umenitia wasi wasi sehemu moja, "kwani dhambi haiwezi kusamehewa bila kutoa sadaka" ?

Au ni mtunishi tu unajipigia debe ili tuje kwako na sadaka.

Yaani punyeto tu mpaka nitoe sadaka ndiyo nisamehe, mkuu labda wewe anaabudu miungu siyo Mungu.
Nilichoandika ndiyo Kweli yote.

Sadaka Si pesa pekee, moyo wako na utayari wako ni sadaka tosha ikiwa Hauna.

Imeandikwa, Usije nyumbani mwa BWANA mikono mitupu.


Neno ni Upanga ukatao kuwili.
 
Mtumishi nawe hujaelewa dhima ya thread.

Mganga wa kienyeji anaweza kujitoa katika kifungo Cha mikataba ya uganga bila msaada wa watumishi?

Si DHAMBI zote, Rudi soma UPYA utaelewa.

Tafadhali 🙏🙏
shida inayowapata hawa wachungaji matapeli, ni kuchukua yale yanayofanyika kwenye uganga wa kienyeji kuyaleta kwenye wokovu. badala ya kuchukua maagizo ya Neno la Mungu na kuapply. hapa ndipo wanafeli sana. kuna wengine wanafundisha hadi aina za majini, na namna ya kuyatoa, na kazi zao. sasa, Yesu yu juu ya yote, akiingia ni kwamba Mfalme ameingia, nini anaweza akashindwa kufanya?
 
Sio kweli tumekombolewa na damu ya yesu nw unaweza kutubu peke yako na mambo yanakuwa safi kabisa
 
Haya ni mambo ya imani no one can prove this.
Ndiyo maana hata mjadala wake hauwezi kuwa na mwisho.
 
Tuseme hivi..., Ukishatenda hizo dhambi mfano uzinzi ni kwamba umejiingiza kwenye maagano na huyo uliyezini nae, maana mmekuwa nae mwili mmoja......

....unapofanya toba unahitaji pia kutumia damu ya Yesu kuvunja huo muunganiko na huyo uliyezini nae...na maombi kama hayo ukiambatanisha sadaka ni vizuri sana maana sadaka hunena na kuwa ukumbusho mbele za Mungu kwamba ulilivunja lile agano la kipepo na sasa umejiunganisha na madhabahu ya Kristo.
aisee huyu jamaa amelishwa matango pori hadi huruma. sadaka ipi inanena zaidi ya Damu ya Yesu Kristo? ukiweka Damu ya Yesu pamoja na sadaka yako hapohapo ukasogea mbele za Mungu, kipi kitanena na Mungu akakisikiliza? au akakumbuka? Damu ya Yesu ni kuu kuliko damu ya mafahari, kiuliko hata damu ya Habil, na Mungu huiangalia hiyo tu kama kafara, hukumbuka hiyo tu kama kafara, hakumbuki kitu kingine. tuwekee mstari wowote unaosapoti hayo mliyolishwa na manabii wenu
 
Tuseme hivi..., Ukishatenda hizo dhambi mfano uzinzi ni kwamba umejiingiza kwenye maagano na huyo uliyezini nae, maana mmekuwa nae mwili mmoja......

....unapofanya toba unahitaji pia kutumia damu ya Yesu kuvunja huo muunganiko na huyo uliyezini nae...na maombi kama hayo ukiambatanisha sadaka ni vizuri sana maana sadaka hunena na kuwa ukumbusho mbele za Mungu kwamba ulilivunja lile agano la kipepo na sasa umejiunganisha na madhabahu ya Kristo.
Ndicho nilichosema Mimi Kwa baadhi ya dhambi.

Watu wamechukua tofauti.

Ikiwa nawe sasa umeelewa, saidia kuwaelewesha walioelewa tofauti.

Sadaka ni Ishara ya moyo kushukuru,ikiwa huna Si lazima utoe,

Muhimu hapa, ni watumishi kusaidia njia sahihi za kumtoa mtu huyo kifungoni.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!!
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi.

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim.

Amen.
dhambi gani tena hali ya kuwa mulisamehewa
 
aisee huyu jamaa amelishwa matango pori hadi huruma. sadaka ipi inanena zaidi ya Damu ya Yesu Kristo? ukiweka Damu ya Yesu pamoja na sadaka yako hapohapo ukasogea mbele za Mungu, kipi kitanena na Mungu akakisikiliza? au akakumbuka? Damu ya Yesu ni kuu kuliko damu ya mafahari, kiuliko hata damu ya Habil, na Mungu huiangalia hiyo tu kama kafara, hukumbuka hiyo tu kama kafara, hakumbuki kitu kingine. tuwekee mstari wowote unaosapoti hayo mliyolishwa na manabii wenu
Usitoe sadaka kama huoni umuhimu wake.
 
Huu mpango ulikuwepo hata kipindi cha Waisraeli, mtenda dhambi alienda kwa wazee na makuhani kutubu ili apatanishwe na Mungu

Kipindi cha mitume pia ilikuwa hivyo, hii ndio sababu Mungu ya kuweka viongozi kwenye ibada, mojawapo ya kazi zao ni kumwongoza mtenda dhambi ajutie kosa lake, kumsaidia nini kilimfanya ateleze, kusali pamoja naye na kumpa mashauri asirudie dhambi zake
Kwahiyo kesho tena unarud..na kesho kutwa unarud na siku nyingine hivyo hivyo??
 
Nilichoandika ndiyo Kweli yote.

Sadaka Si pesa pekee, moyo wako na utayari wako ni sadaka tosha ikiwa Hauna.

Imeandikwa, Usije nyumbani mwa BWANA mikono mitupu.


Neno ni Upanga ukatao kuwili.
Sidhani, baadhi ya mambo sikubaliani na wewe, ni vile tu una tafsiri tofauti.

Kama sadaka si lazima pesa bali hata kujitoa moyo wako, that means mpaka nimeamua kutubu ni nimeshajutia makosa yangu, sasa iweje ni lazma sadaka tena nisamehewe
 
dhambi gani tena hali ya kuwa mulisamehewa
Mtu aliyesamehewa anaweza kurudi dhambini Kwa uamuzi wake,

Inaitwa kurudi matopeni, dhambini,

BIBLIA imeandikwa, Wala SITA lifuta Jina lako katika kitabu Cha Uzima,

Kumbe uelewe kuwa, Jina Linaweza andikwa na kufutwa vilevile.

Kusamehewa dhambi, Si kudumu katika Dhambi, Bali kuzitubia.

Mbarikiwe.
 
Usitoe sadaka kama huoni umuhimu wake.
ninyi kama mnaona ni muhimu mnatoa kwa kusimamia mstari gani, yatupasa tuwasaidie, manake mjue tunaokolewa na kusamehewa kwa Neema tu wala si kwa matendo yetu wandugu, msije kujisifu na hizo sadaka zenu. mmepotea na ni dhihaka kwa Mungu. unapotoa sadaka unamdhihaki Mungu kwa kafara ya thamani sana ya Damu ya Yesu Kristo aliyoitoa pale msalabani, ni dhiaha na ni dhambi na ni kulilisha upepo hakuna chochote utapata.

Ebr 12:24 SUV​

na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.
 
Hivi kumbe oral sex ni dhambi 🤔🤔🤔

Kwa hiyo kama mmeoana (mke na mume) na mnafanya oral sex ni dhambi 🤔🤔🤔

Kwa hiyo mkeo akinyonya dudu yako kwa mdomo kabla hujamchomokea kwake ni dhambi 🤔

Kwa hiyo mimi nikinyonya kisimi cha mke wangu kabla ya kumnyandua ni dhambi 🤔

Mimi najua hayo ni maandalizi tu kabla ya kunyandua mnaamshiana hisia ili tendo lije linoge vizuri.

Lakini pia umenitia wasi wasi sehemu moja, "kwani dhambi haiwezi kusamehewa bila kutoa sadaka" ?

Au ni mtunishi tu unajipigia debe ili tuje kwako na sadaka.

Yaani punyeto tu mpaka nitoe sadaka ndiyo nisamehe, mkuu labda wewe anaabudu miungu si

Eti kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ni dhambi, nmejiuliza ikitokea mume kapata shida na hawezi kufanya tendo daktari amemwambia atumie viagra tayari dhambi.
 
Ndicho nilichosema Mimi Kwa baadhi ya dhambi.

Watu wamechukua tofauti.

Ikiwa nawe sasa umeelewa, saidia kuwaelewesha walioelewa tofauti.

Sadaka ni Ishara ya moyo kushukuru,ikiwa huna Si lazima utoe,

Muhimu hapa, ni watumishi kusaidia njia sahihi za kumtoa mtu huyo kifungoni.
Yeah!......Kuna dhambi ambazo muhusika mwenyekwe ni vigumu kuomba na kusikilizwa maana maagano aliyonayo hayaruhusu hayo, mfano uchawi/ushirikina, uuaji hapo lazima mtumishi amuongoze muhusika sala ya toba na kumtakasa kwa damu ya Kristo.
 
Sidhani, baadhi ya mambo sikubaliani na wewe, ni vile tu una tafsiri tofauti.

Kama sadaka si lazima pesa bali hata kujitoa moyo wako, that means mpaka nimeamua kutubu ni nimeshajutia makosa yangu, sasa iweje ni lazma sadaka tena nisamehewe
Sadaka ya pesa Si lazima, ila ni muhimu kushukuru Kwa mdomo au Kutoa, ni wewe utakavyoongozwa na Mungu .

Muhimu ni kujua kuwa, zipo dhambi huwezi malizana nazo binafsi sirini.

Amen
 
Mtumishi nawe hujaelewa dhima ya thread.

Mganga wa kienyeji anaweza kujitoa katika kifungo Cha mikataba ya uganga bila msaada wa watumishi?

Si DHAMBI zote, Rudi soma UPYA utaelewa.

Tafadhali 🙏🙏
Huyu ni muumini mpya. Hapo sio tu mtumishi bali muumini yoyote amepewa jukumu la kuwatoa huko gizani na kuwaleta nuruni.

Kisha afundiahwe sala na namna ya kumtegemea Mungu peke yake na kutubu dhambi zake hukohuko. Ila kwa mara ya kwanza ataelekezwa na kuongozwa.

Tatizo lililonishanganya ni aina ya dhambi ulizozitaja zinafanywa na wakristo na watumishi wengi wakubwa kwa wadogo wa kisasa mfano zinaq ni dhambi yao pendwa. Kikubwa watu waelekezwe na wafundishwe namna ya kumalizana na Mungu wao wenyewe. Kutaka wamwendee mtumishi ni dini za kikuhani za agano la kale.

Nimekuelewa kwa mtu mpya sio mwenyeji.
 
Huu mpango ulikuwepo hata kipindi cha Waisraeli, mtenda dhambi alienda kwa wazee na makuhani kutubu ili apatanishwe na Mungu

Kipindi cha mitume pia ilikuwa hivyo, hii ndio sababu Mungu ya kuweka viongozi kwenye ibada, mojawapo ya kazi zao ni kumwongoza mtenda dhambi ajutie kosa lake, kumsaidia nini kilimfanya ateleze, kusali pamoja naye na kumpa mashauri asirudie dhambi zake
Baada ya kumsaliti Yesu, petro alienda kutubu kwa mchungaji au kuhani yupi?

Baada ya kukaid maagizo ya Mungu nabii Musa pale mlimani alienda kutubu kwa nani?
 
Back
Top Bottom