Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

No comment.
no comment kwasababu umeaminishwa mtumishi anaweza kukupeleka kwa Mungu, ndio maana bila yeye unaamini kuna baadhi ya dhambi huwezi kusamehewa, na unatakiwa kutoa na sadaka unapotubu. kama ingekuwa hadi umwone mtumishi,kamwulize huyo aliyekufundisha kwamba, wale waliolala hospitali hawanyanyuki ila wanaongea nao wanatakiwa wapeleke sadaka kwa mtumishi awaombee msamaha au mtumishi afuate sadaka yake palepale hospitali kabisa?
 
Muhimu ni kuwa, dhambi tajwa hapo huu, usitubu kimya kimya, HATIA ya dhambi hiyo haitaodoka.

Shirikisha mtumishi wa Mungu.

Hizi ni siku za mwisho, wengi sana wako kuzimu na wanaenda kuzimu na walikuwa wameokoka, hawakujua kuwa dhambi hizo tajwa Si za kutubu sirini.

Roho MTAKATIFU analeta maonyo haya Ili WATAKATIFU wajue, wasije tupwa Kuzimu.

Amen.
hizi ni siku za mwisho kweli, walitabiriwa kutokea watu wenye mafundisho kama ya kwako ambayo ni ya kuzimu kabisa, yanaenda kinyume na njia ya msalaba. sisi wanadamu bila msalaba hatuna lolote na hatutambuliwi na Mungu. na kazi hiyo ya msalaba sio ya matendo ya mwili ni neema. hivyo hata unapotubu omba rehema na neema kwake ukijua huna cha kulipa kikatosha ila unahitaji kuhurumiwa tu tena bure, kwasababu you can never afford to pay the price.
 
no comment kwasababu umeaminishwa mtumishi anaweza kukupeleka kwa Mungu, ndio maana bila yeye unaamini kuna baadhi ya dhambi huwezi kusamehewa, na unatakiwa kutoa na sadaka unapotubu. kama ingekuwa hadi umwone mtumishi,kamwulize huyo aliyekufundisha kwamba, wale waliolala hospitali hawanyanyuki ila wanaongea nao wanatakiwa wapeleke sadaka kwa mtumishi awaombee msamaha au mtumishi afuate sadaka yake palepale hospitali kabisa?
No comment!!
 
hizi ni siku za mwisho kweli, walitabiriwa kutokea watu wenye mafundisho kama ya kwako ambayo ni ya kuzimu kabisa, yanaenda kinyume na njia ya msalaba. sisi wanadamu bila msalaba hatuna lolote na hatutambuliwi na Mungu. na kazi hiyo ya msalaba sio ya matendo ya mwili ni neema. hivyo hata unapotubu omba rehema na neema kwake ukijua huna cha kulipa kikatosha ila unahitaji kuhurumiwa tu tena bure, kwasababu you can never afford to pay the price.
No comment.
 
Muhimu ni kuwa, dhambi tajwa hapo huu, usitubu kimya kimya, HATIA ya dhambi hiyo haitaodoka.

Shirikisha mtumishi wa Mungu.

Hizi ni siku za mwisho, wengi sana wako kuzimu na wanaenda kuzimu na walikuwa wameokoka, hawakujua kuwa dhambi hizo tajwa Si za kutubu sirini.

Roho MTAKATIFU analeta maonyo haya Ili WATAKATIFU wajue, wasije tupwa Kuzimu.

Amen.

Sijakuelewa kwasababu majibu yako ni agree to disagree. Mara nenda kwa mtumishi, kama yuko mbali mtumishi anatosha, akiwa karibu mtumishi atamfuata. Hakuna straight forward answer ambalo linajibu hoja in specific way.
 
Sijakuelewa kwasababu majibu yako ni agree to disagree. Mara nenda kwa mtumishi, kama yuko mbali mtumishi anatosha, akiwa karibu mtumishi atamfuata. Hakuna straight forward answer ambalo linajibu hoja in specific way.
Mtumishi,

Si Rahisi kupata jibu moja straight Kwa case tofauti.

Jibu straight ni mtumishi ahusike. Ingawa pia, ikiwa mtu yupo kitandani na hakuna uwezekano wa kupatikana mtumishi karibu,au mtu yupo katika Ajali mbaya Yu karibu rkufa, aweza tubu Kwa Mungu direct na akasamehewa.

Mungu ni Mungu wa HAKI, mwelewa, mwenye HEKIMA yote.

Amen
 
Kweli dini zilitengenezwa kwaajili ya watu maskini na wenye akili ndogo
 
Kweli dini zilitengenezwa kwaajili ya watu maskini na wenye akili ndogo
Haihubiriwi dini hapa, Wala hayupo aliyekukaribisha kwenye dini Fulani.

Anahubiriwa Yesu, unahubiriwa utakatifu.

Mungu akusaidie.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!!
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi.

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim.

Amen.
ushahidi wako ni kutoka fungu lipi??
 
Nimeandika Oral Sex Si Romance.

Usijifiche chini ya kivuli Cha mchicha.

Imeandikwa, afichaye dhambi hatafanikiwa, Bali atubuye na kuacha, atabarikiwa.
Oral sex siyo sehemu ya romance ?

Ebu wakulungwa nisaidieni, hivi mwanamke kuulamba lamba uume wa mmewe siyo sehemu ya romance ?

Mwanaume kulamba lamba papuchi ya mkewe na ulimi siyo sehemu ya romance ?

Nimekuambia mwaongozo wa ukristo ni Biblia, nioneshe wapi kumeandikwa kuwa msifanye oral sex, huna majibu
 
sina haja ya kupitia coment zote bali nakwambia umedanganyika na unazidi kudanganya.....alaaah akbar
(Wagalatia 1:6-12)

Mtu yeyote au Malaika akiwaletea INJILI ingine tofauti na Ile tuliowaletea na ALAANIWE!!

Quran imekuja na kuandika baada ya kufufuka Kwa Yesu, nawaombea waislamu mtoke katika LAANA hiyo muokolewe, msipotubu mtatupwa Jehanum siku ya HUKUMU.

Amen
 
Ungekuwa karibu ningekutandika MAKOFI MATATU YA KIMKAKATI pamoja na KELBU MOJA ya kukuzima data.

Lakini pia naona WAPIGA NYETO wamecharuka kweli kweli.

DAMU YA YESU ITUFUNIKE, Na kwa hili bichwa langu lilivyo kubwa nahitaji vikombe vitatu vya DAMU YA YESU ninywe nitakasike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungekuwa karibu ningekutandika MAKOFI MATATU YA KIMKAKATI pamoja na KELBU MOJA ya kukuzima data.

Lakini pia naona WAPIGA NYETO wamecharuka kweli kweli.

DAMU YA YESU ITUFUNIKE, Na kwa hili bichwa langu lilivyo kubwa nahitaji vikombe vitatu vya DAMU YA YESU ninywe nitakasike.
Yesu anasamehe dhambi zote tukitubu na kuacha.

Muhimu tu kujua kuwa zipo dhambi huwezi malizana nazo binafsi sirini Hadi uwashirikishe watumishi wa Mungu, PUNYETO ikiwa mojawapo.

Amen

Ubarikiwe.
 
Kuacha dhambi is a process not a one time thing like an accident kwamba pah!! Umemaliza... matengenezo...a step by step thing....

Ndio maana bible inasema mwenye haki wangu anaweza anguka hata mara 7...
To reach/achieve completeness is process
I agree, ni process.

Muhimu, zingalia makatazo na Maelekezo ya thread.

Amen, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom