Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Huyu huyu Mungu aliyeshuhudia wazee wetu wakichukuliwa utumwani zaidi ya miaka 400 iliyopita?

Huyu huyu Mungu alomuumba huyo tunaetajiwa kuwa ni shetani na hakujua kama angemuasi baadae? Na jwa nini alipomuasi asingemuua akamtupa chini ya vilindi vya maji kama kitabu kisemavyo?

Kuwa na uwezo timamu wa kufikiri juu ya ukisemacho sio kutuletea ngano za kipumbavu kana kwamba na sisi umetushikia akili zetu
 
Huyu huyu Mungu aliyeshuhudia wazee wetu wakichukuliwa utumwani zaidi ya miaka 400 iliyopita?

Huyu huyu Mungu alomuumba huyo tunaetajiwa kuwa ni shetani na hakujua kama angemuasi baadae? Na jwa nini alipomuasi asingemuua akamtupa chini ya vilindi vya maji kama kitabu kisemavyo?

Kuwa na uwezo timamu wa kufikiri juu ya ukisemacho sio kutuletea ngano za kipumbavu kana kwamba na sisi umetushikia akili zetu
Hujashurutishwa kusoma,

Ikiwa hukujua ndo ujue kilichoandikwa hapo juu,

Ubarikiwe. Amen
 
Ebu soma uniambie ametubu sehemu gani

Luka 23:40-43
[40]Lakini yule wa pili akamjibu akamkemea, akisema, Wewe humwogopi hata Mungu, nawe u katika hukumu iyo hiyo?

[41]Nayo ni haki kwetu sisi, kwa kuwa tunapokea malipo tuliyostahili kwa matendo yetu; bali huyu hakutenda lo lote lisilofaa.

[42]Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.

[43]Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Hujaona TOBA hapo?

Alipomjibu muuaji mwenzie kuwa acha kumtusi mtu asiye na HATIA, akaendelea kusema sisi tumehukumiwa kihalali Kwa makosa yetu, ndipo akamgeukia Yesu na kusema Ee Yesu, unikumbuke katika ufalme wako.

Ubarikiwe.
 
Itoshe kusema “kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe”
 
Itoshe kusema “kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe”
Yesu alikuja na alishaubeba msalaba Kwa dhambi za wote, pale msalabani.

Ukitubu, unasamehewa.

Kuzimu na Jehanum ni Kwa shetani asiye na nafasi ya kutubu.

Wewe unaweza kutubu na kuepuka kutupwa Jehanum na shetani.

Ubarikiwe.
 
Mungu hahitaji tulipe chochote au tupitie kwa yeyote ili atusamehe dhambi. Ni neema na rehema zake hutuondolea hatia na kutuweka huru mbali na dhambi katika Jina la Yesu.

Aidha, kwa Mungu hakuna dhambi kubwa au ndogo. Na katika maelezo yake mtoa bandiko inaonekana hajui tofauti ya uasherati na uzinzi. Alivyoeleza kachanganya.
Pia hajui mtiririko wa namba kwa kuwa kutoka namba 7 kafuatisha 9!
 
Na Mchungaji dhambi zake za kula kondoo wa bwana anatubu kwa nani?
Anaenda Kwa mtumishi mwingine.

Ingawa, mtumishi kula Kondoo, ngumu sana kurudi na kusimama katika huduma.

Ubarikiwe.
 
Mungu hahitaji tulipe chochote au tupitie kwa yeyote ili atusamehe dhambi. Ni neema na rehema zake hutuondolea hatia na kutuweka huru mbali na dhambi katika Jina la Yesu.
Uko sawa. Sadaka ni shukrani tu.
Muhimu ni kuwa, dhambi tajwa ni Hadi mtu aende Kwa mtumishi.

Amen
 
Yesu alikuja na alishaubeba msalaba Kwa dhambi za wote, pale msalabani.

Ukitubu, unasamehewa.

Kuzimu na Jehanum ni Kwa shetani asiye na nafasi ya kutubu.

Wewe unaweza kutubu na kuepuka kutupwa Jehanum na shetani.

Ubarikiwe.
Basi kama hivo haina haja ya kutubu, watu waendelee kutenda dhambi Yesu alishaubeba msalaba wa dhambi.
 
Basi kama hivo haina haja ya kutubu, watu waendelee kutenda dhambi Yesu alishaubeba msalaba wa dhambi.
Ndio alifia msalabani dhambi zote.

Lakini ni shart utubu na kuacha DHAMBI upate msamaha wa dhambi.

Kabla ya kuja Yesu, WANADAMU pamoja na kutubu, mbele za Mungu walionekana wachafu Bado.
 
Na vipi kuhusu wachunganji wao wanatubu kwa nani?? Mkuu mungu ànasamehe.. watumishi wapo kwa ajili ya kutusaidia tukue kiroho... coz huwez kuongezeka mwenyewe..
 
Back
Top Bottom