Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Jinsi mlivyokuwa wa mchongo WIZI haujaorodhesha badala yake umeweka dawa za nguvu ya kiume na punyeto.
Wizi mmeshindwa kuuweka kwasababu watanzania wote ni wezi.
Mmechagua vile vitu ambavyo ni popular ili mzidi kuwatisha watu muendelee kutafuna sadaka.
Wizi pia umo,

Nimesema baadhi, angalizo liko kwenye " baadhi".
 
Muumini asiye mpya hapasi kutenda dhambi hizo,

Ikitokea amefanya dhambi hizo, anarudi kuwa mpya,

Yaani ni mtu unayemjua Yesu Kweli Kweli, miaka mingi ktk wokovu, ukengeuke uende Kwa Waganga wa kupiga ramli,

Unawezaje tubu kimya kimya?

Uliona wapi mfungwa akajifungua pingu mwenyewe?
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, au ukiota unazini ndotoni na mtu au watu usiowafahamu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

Kuzini na mke wa mtu, faini ya juu ni kulipa Mahari aliyotoa muoaji Ili akusamehe, kushirikisha mtumishi ni kutumia BUSARA ya Mungu Ili muibiwa mke aridhie kukusamehe kutomlipa, au akupunguzie faini.

(Mithali 6:20-35,) UZINZI hufunga NAFSI, Amri ya Mungu usizini (Kumbukumbu la torati 5:1-21)

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko. ( Mwanzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke makusudi Ili asizae na mke aliyepewa.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. mwanzo 38:9-10, Onani aliuwawa Kwa dhambi hiyo, ( kumbukumbu la torati 5:1-21) Amri za Mungu Usiue.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!! (Mwanzo 38:1-25) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke Ili asizae na mke wa marehemu kaka yake.
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. ( Mwanzo 38:9-10, (Mithali 6:20-35)Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

(1 Wakorintho 6:9-11), (Ufunuo wa Yohana 21:8) (Mzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda Tendo la NDOA kinyume.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Usiue ni Amri ya Mungu.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

(Mwanzo 38-9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda kinyume na Utaratibu wa Tendo la NDOA na taratibu za UZAZI alizoweka Mungu.


Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi. ( Acts 9:3-6) Sauli alikuwa mwuaji, Yesu alimwelekeza aende Kwa mtumishi. Baada ya hapo BUSARA ya kiongozi wa Mungu itumike kutafuta namna ya Kupata msamaha Kwa ndugu wa uliyewaulia mtu wao.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Mungu ameamrisha " Usiue".

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

(Mithali 6:20-35) kifungo Cha NAFSI sababu Ibada ya sanamu ni UZINZI kiroho mbele za Mungu, ( UFUNUO 21:8, (1 korinthians 6:9-11) watendao uchawi na Ibada ya sanamu watatupwa Jehanum.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

ANGALIZO: Sadaka tutoazo Si Kwa ajili ya kununua Muujiza, au kununua Msamaha wa Mungu, Yesu msalabani alikwisha maliza yote Kwa Damu yake msalabani. Sadaka tunatoa kama shukrani tu na kuonyesha Upendo Kwa Yale Mungu alikwisha tutendea.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim, U-Tube., Promover Tv channel U-Tube.

Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wako, fuatisha Sala hii,

EE YESU, NINAKIRI KWAKO KUWA MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,ULIANDIKE KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Ameen
We ndio wale mwamposa anawapiga pesa live. Hujaielewa Biblia bwanamdogo
 
Si DHAMBI zote Hadi uende Kwa mtumishi, ni baadhi.

Mfano, huwezi kufirana, kuua au kuzini na mke wa Jirani Yako halafu ukatubu sirini, dhambi hizo hapo juu Zina mikataba na vifungo vya kipepo ambavyo lazima uhusishe Mtumishi.
Kwa andiko lipi la biblia au maagizo yapi ambayo Mungu ameyatoa juu ya hayo. Kuna watumishi mmekaa kutengeneza mazingira ya dhambi na kuwaweka watu mbali na Mungu huku nyie mkijiweka katikati kama madalali hasa kwa wale wasiojua au waliokosa Maarifa.

Mkishajitawaza kuwa wachungaji kwa njia mnazojua ninyi, mnajimilikisha peopo (mbingu) na mamlaka makubwa huku mkiwaweka watu mbali na Mungu! Dhambi zote ni sawa na ni chukizo mbele za Mungu Ndio maana Mungu akaweka amri zake Ili Kila azishikaye asipotee Bali awe na uzima wa milele.

Ni aibu kubwa ninyi mmekuja kufanya classification ya dhambi, ipi kubwa na ipi ndogo na namna ya kuziungama dhambi hizo mbele za Mungu kinyume na Maandiko matakatifu mbele za Mungu!

Na lengo kubwa ni baada ya kuona kwamba watu wengi au kundi kubwa limeanguka katika dhambi hizo. Watu hao Wana kiu ya huruma ya Mungu hivyo mnafanya kama chanzo Cha mapato. Uchungaji umekua Ajira na hamtaki kufanya kazi nyingine mnashindana kwa kumiliki Mali za udhalimu.

Yesu Kristo aliweka wazi dhamira ya kuendea mauti ya Msalaba. Ni Ili Kila amwaminiye asipotee Bali awe na uzima wa milele! Roho Mungu anadhihirisha Hilo kwa ishara ya kupasuka kwa pazia la hekalu. Ule mpaka uliokuwa umewekwa wa kwenda mbele za Mungu, na Mungu akaweka makuhani(kasome kitabu Cha walawi) Kila mtu ana nafasi sawa ya kwenda mbele za Mungu, Kuomba toba na msamaha na hata kutoa sadaka.

Hatuhitaji madalali tena wa kuzichukua sadaka na kwenda kufanyia miradi Yao huku wakituaminisha wamefanya upanisho na Mungu. Walawi walikua wanachukua sadaka na kuzitoa kwa Mungu, iwe za amani, za kuteketezwa na zile za upatanisho.

Yesu ameweka dhahiri dhambi zisizoasamehewa na ni dhambi Moja tu "kumkufuru Mungu"
Marko 3:28-29
28 Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;

29 bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,

Yesu aseme tuende kwake mana Kuna upatanisho yeye mwenyewe anasamehe
Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Yule mwanamke aliyekamatwa katika uzinzi baada ya waliokua wanajiona watakatifu kukimbia Yesu hakuwaita Ili atoe msamaha Bali alimwambia nenda zako na usitende dhambi tena.
Maandiko ni mengi nikiweka hayaishi!

Wafundisheni watu kumjua Mungu na kuacha dhambi na sio kuwatenga watu na Mungu kwa mwamvuli wa kupata fedha mnazoita zadaka za namna mbali mbali! Kuna watu wanajitoa dhabihu, kwa maana ya kufunga na Kuomba kama sehemu ya toba zao! Wanajitolea kuwasaidia watu wengine kwa Hali na Mali kama sehemu ya toba zao! Na Mungu anawasikia na kuwapatia sawa sawa na mahitaji ya Mioyo Yao mana asema hivi: Isaya 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Wewe ni nani unayeweka standards za dhambi na kuwanyima watu acces na Mungu?

Haya tuambie sadaka aliyotoa yule mwanamke ambaye alifumaniwa katika Uzinzi Ili asemehewe? Tuambie ni sadaka ipi alitoa Mariam Magdalene Ili asemehewe dhambi zake?
 
Mnajiiiiiiiipa presha .Nan kakwambia Mungu ana formalities za kibinadam zaid namna hii!!???

Ujue anayekuondolea hatia sio kutubu mbele za mtu. NI Holly spirit, period!!!! Hii kwenda mbele za watu imekaa kisailolojia tu ili ku bust iman yako ila hata sio lazima wala haina ukwel...
Nini maana ya pazia la hekalu kuchanika?

Mathayo 11:28... Yesu alisema twende kwake wale wato tulemewao na mizigo ya dhambi atatupumzisha,,, hakusema twende kwa kasisi, padri, nabii ama mchungaji awaye yote
 
Aziungamaye dhambi zake na kuziacha atapata rehema na kusamehewa.
 
Kwa andiko lipi la biblia au maagizo yapi ambayo Mungu ameyatoa juu ya hayo. Kuna watumishi mmekaa kutengeneza mazingira ya dhambi na kuwaweka watu mbali na Mungu huku nyie mkijiweka katikati kama madalali hasa kwa wale wasiojua au waliokosa Maarifa.

Mkishajitawaza kuwa wachungaji kwa njia mnazojua ninyi, mnajimilikisha peopo (mbingu) na mamlaka makubwa huku mkiwaweka watu mbali na Mungu! Dhambi zote ni sawa na ni chukizo mbele za Mungu Ndio maana Mungu akaweka amri zake Ili Kila azishikaye asipotee Bali awe na uzima wa milele.

Ni aibu kubwa ninyi mmekuja kufanya classification ya dhambi, ipi kubwa na ipi ndogo na namna ya kuziungama dhambi hizo mbele za Mungu kinyume na Maandiko matakatifu mbele za Mungu!

Na lengo kubwa ni baada ya kuona kwamba watu wengi au kundi kubwa limeanguka katika dhambi hizo. Watu hao Wana kiu ya huruma ya Mungu hivyo mnafanya kama chanzo Cha mapato. Uchungaji umekua Ajira na hamtaki kufanya kazi nyingine mnashindana kwa kumiliki Mali za udhalimu.

Yesu Kristo aliweka wazi dhamira ya kuendea mauti ya Msalaba. Ni Ili Kila amwaminiye asipotee Bali awe na uzima wa milele! Roho Mungu anadhihirisha Hilo kwa ishara ya kupasuka kwa pazia la hekalu. Ule mpaka uliokuwa umewekwa wa kwenda mbele za Mungu, na Mungu akaweka makuhani(kasome kitabu Cha walawi) Kila mtu ana nafasi sawa ya kwenda mbele za Mungu, Kuomba toba na msamaha na hata kutoa sadaka.

Hatuhitaji madalali tena wa kuzichukua sadaka na kwenda kufanyia miradi Yao huku wakituaminisha wamefanya upanisho na Mungu. Walawi walikua wanachukua sadaka na kuzitoa kwa Mungu, iwe za amani, za kuteketezwa na zile za upatanisho.

Yesu ameweka dhahiri dhambi zisizoasamehewa na ni dhambi Moja tu "kumkufuru Mungu"
Marko 3:28-29
28 Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;

29 bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,

Yesu aseme tuende kwake mana Kuna upatanisho yeye mwenyewe anasamehe
Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Yule mwanamke aliyekamatwa katika uzinzi baada ya waliokua wanajiona watakatifu kukimbia Yesu hakuwaita Ili atoe msamaha Bali alimwambia nenda zako na usitende dhambi tena.
Maandiko ni mengi nikiweka hayaishi!

Wafundisheni watu kumjua Mungu na kuacha dhambi na sio kuwatenga watu na Mungu kwa mwamvuli wa kupata fedha mnazoita zadaka za namna mbali mbali! Kuna watu wanajitoa dhabihu, kwa maana ya kufunga na Kuomba kama sehemu ya toba zao! Wanajitolea kuwasaidia watu wengine kwa Hali na Mali kama sehemu ya toba zao! Na Mungu anawasikia na kuwapatia sawa sawa na mahitaji ya Mioyo Yao mana asema hivi: Isaya 1:18
Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Wewe ni nani unayeweka standards za dhambi na kuwanyima watu acces na Mungu?

Haya tuambie sadaka aliyotoa yule mwanamke ambaye alifumaniwa katika Uzinzi Ili asemehewe? Tuambie ni sadaka ipi alitoa Mariam Magdalene Ili asemehewe dhambi zake?
Maandiko nimeweka labda kama huyataki.

Sadaka Si lazima pesa, ikiwa huna, moyo wako na utayari wako Toka ndani ni muhimu,

Mwanamke mzinzi alitubu hadharani na case ilisolviwa hadharani, huwezi kuzini Kwa Siri ukatubu Kwa Siri.

Inaonekana wazinzi ni wengi humu, neno ni upanga ukatao kuwili, limenyooka, halijapinda,

Endelea kujifariji, Mbinguni huingii ng'o!!
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, au ukiota unazini ndotoni na mtu au watu usiowafahamu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

Kuzini na mke wa mtu, faini ya juu ni kulipa Mahari aliyotoa muoaji Ili akusamehe, kushirikisha mtumishi ni kutumia BUSARA ya Mungu Ili muibiwa mke aridhie kukusamehe kutomlipa, au akupunguzie faini.

(Mithali 6:20-35,) UZINZI hufunga NAFSI, Amri ya Mungu usizini (Kumbukumbu la torati 5:1-21)

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko. ( Mwanzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke makusudi Ili asizae na mke aliyepewa.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. mwanzo 38:9-10, Onani aliuwawa Kwa dhambi hiyo, ( kumbukumbu la torati 5:1-21) Amri za Mungu Usiue.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!! (Mwanzo 38:1-25) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke Ili asizae na mke wa marehemu kaka yake.
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. ( Mwanzo 38:9-10, (Mithali 6:20-35)Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

(1 Wakorintho 6:9-11), (Ufunuo wa Yohana 21:8) (Mzo 38:9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda Tendo la NDOA kinyume.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Usiue ni Amri ya Mungu.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

(Mwanzo 38-9-10) Mungu alimwua Onani Kwa kutenda kinyume na Utaratibu wa Tendo la NDOA na taratibu za UZAZI alizoweka Mungu.


Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi. ( Acts 9:3-6) Sauli alikuwa mwuaji, Yesu alimwelekeza aende Kwa mtumishi. Baada ya hapo BUSARA ya kiongozi wa Mungu itumike kutafuta namna ya Kupata msamaha Kwa ndugu wa uliyewaulia mtu wao.

(Kumbukumbu la torati 5:1-21) Mungu ameamrisha " Usiue".

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

(Mithali 6:20-35) kifungo Cha NAFSI sababu Ibada ya sanamu ni UZINZI kiroho mbele za Mungu, ( UFUNUO 21:8, (1 korinthians 6:9-11) watendao uchawi na Ibada ya sanamu watatupwa Jehanum.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

ANGALIZO: Sadaka tutoazo Si Kwa ajili ya kununua Muujiza, au kununua Msamaha wa Mungu, Yesu msalabani alikwisha maliza yote Kwa Damu yake msalabani. Sadaka tunatoa kama shukrani tu na kuonyesha Upendo Kwa Yale Mungu alikwisha tutendea.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim, U-Tube., Promover Tv channel U-Tube.

Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wako, fuatisha Sala hii,

EE YESU, NINAKIRI KWAKO KUWA MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,ULIANDIKE KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Ameen
Usipende kuamini dini na kanuni za watu wa nje....hizi dini ni fantasies tu, hazina maana yeyote kwetu sie Waafrika kwani kama kuua mbona mitume karibia wote walikuwa wanaua na wako mbinguni supposedly? Kwanini waue na Mungu awapokee ikiwa walisha ambiwa kuua ni dhambi? Sex - Mohammed alikuwa mbakaji tena mzuri tu na alikuwa anapiga miti vitoto kina Aisha, mbona watu wanaamini kuwa ni mtume, aliua wanaume at will na kubaka wake zao, hivi mnaamini ni Mungu kweli alimtuma kubaka wake za watu na kutomba vitoto? Hizi dini ni mchongo tu hazina umuhimu wowote kwetu, zilitungwa ama kuletwa ili wajanja waweze kutawala wanadamu.
 
Usipende kuamini dini na kanuni za watu wa nje....hizi dini ni fantasies tu, hazina maana yeyote kwetu sie Waafrika kwani kama kuua mbona mitume karibia wote walikuwa wanaua na wako mbinguni supposedly? Kwanini waue na Mungu awapokee ikiwa walisha ambiwa kuua ni dhambi? Sex - Mohammed alikuwa mbakaji tena mzuri tu na alikuwa anapiga miti vitoto kina Aisha, mbona watu wanaamini kuwa ni mtume, aliua wanaume at will na kubaka wake zao, hivi mnaamini ni Mungu kweli alimtuma kubaka wake za watu na kutomba vitoto? Hizi dini ni mchongo tu hazina umuhimu wowote kwetu, zilitungwa ama kuletwa ili wajanja waweze kutawala wanadamu.
Katika mada hii, dini imetajwa wapi?

Uwe na uwezo wa kumtofautisha kati ya dini na Imani.
 
Ikiwa Mungu alimtoa mwanawe wa pekee Yesu kristo awe sadaka ya kutukomboa,

Nani wewe usitoe sadaka. Sadaka ni Kwa ajili Yako, usidhani unamfaidisha Mchungaji.

Elia alilishwa na Mungu kupitia kunguru, usidhani watumishi wa Mungu wanategenea sadaka zako.

Na usijidanganye ukaenda Kutoa sadaka ya wizi, au ya kutapeli madhabahuni, utaondoka na LAANA.

Ubarikiwe.
Binadam tunatoa sadaka kwa Mungu. Kumplease Mungu tupate huruma yake. Je, Mungu alipotoa sadaka ilienda kwa nani, alimtolea nani?
Kumbe Mungu ana walio wakubwa kuliko yeye?
 
Yaani mi nioige nyeto halafu niende kumwambia padri kweli? Wakati unakuta padri mwenyewe ni mpige puchu nguli
 
Binadam tunatoa sadaka kwa Mungu. Kumplease Mungu tupate huruma yake. Je, Mungu alipotoa sadaka ilienda kwa nani, alimtolea nani?
Kumbe Mungu ana walio wakubwa kuliko yeye?
Mungu alivaa mwili wa mwanadamu akajitoa sadaka, mwili ukafa Kisha akajifuufua na kupaa Mbinguni.

Ndipo ujue ukibania pesa Yako Kutoa sadaka, uhai wako unaweza kukutoka iwe sadaka ikiwa nduguyo atakwenda Kwa mganga na kukutoa ndagu.

Kuwa makini sana.
 
Kutubu ni lazima..na Mungu anasikia kutubu kwa kila mwenye kukosea..bila kujali dhambi...mana dhambi zote ni sawa mbele za Mungu. Kwakuwa kuacha dhambi ni process basi inaoendeza mtu akajongea kwa Mungu wake kwa msaada wa watumishi wa Mungu, japo nao ni binadamu..na sio lazima uwatajie dhambi zako..ila kufuata utaratibu kiimani tu badala ya kuwa peke yako..Roho mtakatifu akikusaidia kutubu atakupa the best way to reconcile with your God, the almighty. Utoaji sadaka is again kama catalyst kwenye mchakato wako wa kuacha dhambi..its all possible to God, one day you will become free from your sins.
 
Yaani mi nioige nyeto halafu niende kumwambia padri kweli? Wakati unakuta padri mwenyewe ni mpige puchu nguli
1. Shida IPO kwenye NDOA uliyofunga na mapepo wakati ukipiga punyeto,

2. Shida IPO kwenye Pete ya NDOA uliyovikwa na mapepo Kwa kupiga punyeto,

3. Shida IPO kwenye hati ya NDOA uliyooa mke jini Kwa kupiga punyeto,

4. Shida IPO kwenye Pete ya NDOA uliyovikwa na mke wa kiroho ambaye ni Pepo au Jini anayekumiliki bila wewe kujua, amekuvisha Pete IPO kidoleni na huioni.

5. Shida IPO kwenye mahari uliyoitoa kuona na jini unapopiga punyeto na hujui Wala kujali🤔

6. Shida IPO Kwa watoto unaozaa na mapepo , watoto hao ni nusu mtu nusu Pepo, Kwa kupiga punyeto unazaa watoto wa kiroho na hutilii maanani, manii unazomwaga huchukuliwa na kupelekwa kuzalisha watoto ambao hurudi duniani kutesa WANADAMU wakiwa mapepo nusu Pepo nusu binadamu!!

Pole sana.
 
Kutubu ni lazima..na Mungu anasikia kutubu kwa kila mwenye kukosea..bila kujali dhambi...mana dhambi zote ni sawa mbele za Mungu. Kwakuwa kuacha dhambi ni process basi inaoendeza mtu akajongea kwa Mungu wake kwa msaada wa watumishi wa Mungu, japo nao ni binadamu..na sio lazima uwatajie dhambi zako..ila kufuata utaratibu kiimani tu badala ya kuwa peke yako..Roho mtakatifu akikusaidia kutubu atakupa the best way to reconcile with your God, the almighty. Utoaji sadaka is again kama catalyst kwenye mchakato wako wa kuacha dhambi..its all possible to God, one day you will become free from your sins.
Si Rahisi kihivyo,

Yaani umwibie muhindi Kisha ukatubu kimyakimya sirini Kwa Mungu?

Husomi maandiko yasemayo, ukigundua Kuna mtu una neno naye Ukiwa hekaluni, iache sadaka Yako, nenda katatue shida hiyo Kisha Rudi utoe sadaka?
 
Back
Top Bottom