Dhambi hizi zifuatazo ndizo zinaigharimu Wala Mihogo (Masikini) Yanga SC Mechi za Kimataifa

Dhambi hizi zifuatazo ndizo zinaigharimu Wala Mihogo (Masikini) Yanga SC Mechi za Kimataifa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji (hasa wazawa na Wageni) na hili GENTAMYCINE zaidi ya mara Mbili nimelisema hapa hapa JamiiForums ila mkanichukulia poa ila lipo tena sana tu

2. GSM na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Makamu wake Kujimilikisha Yanga SC na Kuwadharau wenye Yanga SC yao Kihistoria

3. Kauli za Kudanganya na zilizojaa Propaganda mbovu za Mhamasishaji Mkuu Haji Manara na Afisa Habari Ally Kamwe

4. Wachezaji wa Yanga SC Kuzoea Kubebwa katika NBC Premier League na Kukariri kuwa hata Kimataifa hali itakuwa ni hiyo hiyo

5. Uwezo mdogo wa Ufundishaji wa Kocha Nabi unaofichwa na Mafanikio ya Unbeaten Record ya Yanga SC inayoratibiwa vyema na Ujanja Ujanja wa Kununua Mechi au Kuhonga Wachezaji wa Timu Pinzani za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC

6. Kiburi cha Watu wa Yanga SC (hasa Viongozi) kuwa na Kiburi cha Kukataa Kujishusha na Kujifunza mengi kutoka kwa Simba SC ambao wameshakomaa Kimataifa kwa Mechi za Ugenini na Nyumbani

7. Yanga SC Kuwekeza zaidi katika Kutegemea Uchawi (Kuroga) badala ya Kuiandaa timu Kisayansi na Kimkakati zaidi

8. Wachezaji wa Yanga SC kutoandaliwa vyema Kisaikolojia hasa inapokuja Michuano ya Kimataifa.

9. Wana Yanga SC, Viongozi wa Yanga SC na Wachezaji wa Yanga SC Kulewa Sifa za Kinafiki na Uwongo ambazo mara kwa mara huwa wanapewa na Magazeti ya Michezo, Watangazaji wa Michezo wenye Uyanga Uyanga na Wachambuzi wa Michezo wa Redio ambao wana Uyanga Uyanga mwingi

10. Yanga SC kuwa na Uhusiano wa Kinafiki na Uongozi wa Juu wa TFF hivyo Wote kujikuta wanakuwa Wanafiki huku kila Mmoja akimcheka Mwenzake Kimoyomoyo pale akiharibu / akiharibikiwa

11. Ubishi, Unafiki na Dharau hasa hii ya Juzi ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said akiwa Mkoani Mwanza mbele ya Wanachama wa Yanga SC kuwaita wana Yanga SC wa Kipato cha chini kuwa ni Wala Mihogo (akimaanisha ni Masikini) na kwamba hawana Msaada kwa Yanga SC na wala hawamtishi kama Rais

Mwisho kama Ushauri Yanga SC iachane upesi na Kocha Nabi kabla hata hawajaenda Tunisia kwa Mechi yao ya Marudiano ila Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asione Aibu Kuwaomba Radhi ( Msamaha ) aliowaita Wala Mihogo ( Masikini ) ambao ndiyo 90% ya Mashabiki wa Yanga SC.

Ila Kutolewa tayari Mmeshatolewa!!!!
 
1. Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji (hasa wazawa na Wageni) na hili GENTAMYCINE zaidi ya mara Mbili nimelisema hapa hapa JamiiForums ila mkanichukulia poa ila lipo tena sana tu

2. GSM na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Makamu wake Kujimilikisha Yanga SC na Kuwadharau wenye Yanga SC yao Kihistoria

3. Kauli za Kudanganya na zilizojaa Propaganda mbovu za Mhamasishaji Mkuu Haji Manara na Afisa Habari Ally Kamwe

4. Wachezaji wa Yanga SC Kuzoea Kubebwa katika NBC Premier League na Kukariri kuwa hata Kimataifa hali itakuwa ni hiyo hiyo

5. Uwezo mdogo wa Ufundishaji wa Kocha Nabi unaofichwa na Mafanikio ya Unbeaten Record ya Yanga SC inayoratibiwa vyema na Ujanja Ujanja wa Kununua Mechi au Kuhonga Wachezaji wa Timu Pinzani za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC

6. Kiburi cha Watu wa Yanga SC (hasa Viongozi) kuwa na Kiburi cha Kukataa Kujishusha na Kujifunza mengi kutoka kwa Simba SC ambao wameshakomaa Kimataifa kwa Mechi za Ugenini na Nyumbani

7. Yanga SC Kuwekeza zaidi katika Kutegemea Uchawi (Kuroga) badala ya Kuiandaa timu Kisayansi na Kimkakati zaidi

8. Wachezaji wa Yanga SC kutoandaliwa vyema Kisaikolojia hasa inapokuja Michuano ya Kimataifa.

9. Wana Yanga SC, Viongozi wa Yanga SC na Wachezaji wa Yanga SC Kulewa Sifa za Kinafiki na Uwongo ambazo mara kwa mara huwa wanapewa na Magazeti ya Michezo, Watangazaji wa Michezo wenye Uyanga Uyanga na Wachambuzi wa Michezo wa Redio ambao wana Uyanga Uyanga mwingi

10. Yanga SC kuwa na Uhusiano wa Kinafiki na Uongozi wa Juu wa TFF hivyo Wote kujikuta wanakuwa Wanafiki huku kila Mmoja akimcheka Mwenzake Kimoyomoyo pale akiharibu / akiharibikiwa

11. Ubishi, Unafiki na Dharau hasa hii ya Juzi ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said akiwa Mkoani Mwanza mbele ya Wanachama wa Yanga SC kuwaita wana Yanga SC wa Kipato cha chini kuwa ni Wala Mihogo (akimaanisha ni Masikini) na kwamba hawana Msaada kwa Yanga SC na wala hawamtishi kama Rais

Mwisho kama Ushauri Yanga SC iachane upesi na Kocha Nabi kabla hata hawajaenda Tunisia kwa Mechi yao ya Marudiano ila Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asione Aibu Kuwaomba Radhi ( Msamaha ) aliowaita Wala Mihogo ( Masikini ) ambao ndiyo 90% ya Mashabiki wa Yanga SC.

Ila Kutolewa tayari Mmeshatolewa!!!!
hivi mnavyosema Yanga inununua mechi ndo inashinda!nakua sielewi kabisaa!maana nyie MAKOLO mnasema yanga haina hela, hapo hapo mnasema inanunua mechi??ina hela gani za kununua mechi 45??je na MAKOLO pia tuliwanunua tunavyowafunga??
 
hivi mnavyosema Yanga inununua mechi ndo inashinda!nakua sielewi kabisaa!maana nyie MAKOLO mnasema yanga haina hela, hapo hapo mnasema inanunua mechi??ina hela gani za kununua mechi 45??je na MAKOLO pia tuliwanunua tunavyowafunga??D

Tate Mkuu yupo chimbo fulani hivi nimemkuta anapiga cocktail ya mnazi na boha, ana hasira nimemsalimia kanichunia utafikiri hatufahamiani
 
1. Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji (hasa wazawa na Wageni) na hili GENTAMYCINE zaidi ya mara Mbili nimelisema hapa hapa JamiiForums ila mkanichukulia poa ila lipo tena sana tu

2. GSM na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Makamu wake Kujimilikisha Yanga SC na Kuwadharau wenye Yanga SC yao Kihistoria

3. Kauli za Kudanganya na zilizojaa Propaganda mbovu za Mhamasishaji Mkuu Haji Manara na Afisa Habari Ally Kamwe

4. Wachezaji wa Yanga SC Kuzoea Kubebwa katika NBC Premier League na Kukariri kuwa hata Kimataifa hali itakuwa ni hiyo hiyo

5. Uwezo mdogo wa Ufundishaji wa Kocha Nabi unaofichwa na Mafanikio ya Unbeaten Record ya Yanga SC inayoratibiwa vyema na Ujanja Ujanja wa Kununua Mechi au Kuhonga Wachezaji wa Timu Pinzani za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC

6. Kiburi cha Watu wa Yanga SC (hasa Viongozi) kuwa na Kiburi cha Kukataa Kujishusha na Kujifunza mengi kutoka kwa Simba SC ambao wameshakomaa Kimataifa kwa Mechi za Ugenini na Nyumbani

7. Yanga SC Kuwekeza zaidi katika Kutegemea Uchawi (Kuroga) badala ya Kuiandaa timu Kisayansi na Kimkakati zaidi

8. Wachezaji wa Yanga SC kutoandaliwa vyema Kisaikolojia hasa inapokuja Michuano ya Kimataifa.

9. Wana Yanga SC, Viongozi wa Yanga SC na Wachezaji wa Yanga SC Kulewa Sifa za Kinafiki na Uwongo ambazo mara kwa mara huwa wanapewa na Magazeti ya Michezo, Watangazaji wa Michezo wenye Uyanga Uyanga na Wachambuzi wa Michezo wa Redio ambao wana Uyanga Uyanga mwingi

10. Yanga SC kuwa na Uhusiano wa Kinafiki na Uongozi wa Juu wa TFF hivyo Wote kujikuta wanakuwa Wanafiki huku kila Mmoja akimcheka Mwenzake Kimoyomoyo pale akiharibu / akiharibikiwa

11. Ubishi, Unafiki na Dharau hasa hii ya Juzi ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said akiwa Mkoani Mwanza mbele ya Wanachama wa Yanga SC kuwaita wana Yanga SC wa Kipato cha chini kuwa ni Wala Mihogo (akimaanisha ni Masikini) na kwamba hawana Msaada kwa Yanga SC na wala hawamtishi kama Rais

Mwisho kama Ushauri Yanga SC iachane upesi na Kocha Nabi kabla hata hawajaenda Tunisia kwa Mechi yao ya Marudiano ila Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asione Aibu Kuwaomba Radhi ( Msamaha ) aliowaita Wala Mihogo ( Masikini ) ambao ndiyo 90% ya Mashabiki wa Yanga SC.

Ila Kutolewa tayari Mmeshatolewa!!!!
Umenena
 
hivi mnavyosema Yanga inununua mechi ndo inashinda!nakua sielewi kabisaa!maana nyie MAKOLO mnasema yanga haina hela, hapo hapo mnasema inanunua mechi??ina hela gani za kununua mechi 45??je na MAKOLO pia tuliwanunua tunavyowafunga??
Huna Akili.

Mchezaji wa Mtibwa Sugar FC Salum Kanoni mwaka Jana Yanga SC yako ilipocheza na Mtibwa Sugar FC pale Manungu Mkoani Morogoro baada ya Kukaza sana waliporudi Vyumbani kuna Maneno waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi Wao na waliporudi Wakalegeza na baada ya Mechi yao Kumalizika mida ya Saa 1 Usiku kila Mchezaji ( nae akiwemo ) wakaingiziwa Tsh 300,000/= na kuambiwa Wakaushe ( yaani Wanyamaze )

Kuhusu kama Yanga SC Kuifunga Simba SC ilihonga au hapana ungekuwa Unasoma sana Maandiko yangu usingekuja Kuhoji hili kwani Mimi GENTAMYCINE mara Mbili hapa Jamiiforums nilishaandika kuwa Watu wanaotuua Simba SC ikicheza na Yanga SC ni Kipa Aishi Manula, Mohamed Hussein, Jonas Mkude, Shomary Kapombe, Clatous Chama, Henock Inonga, John Boko, Mratibu Abbas, Kocha Msaidizi Matola, Meneja Rweymamu na Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu.

Natamani ujue Nguvu Kubwa iliyotumika Simba SC isifungwe tena na Yanga SC Mechi yao ya hivi Juzi pamoja na kuwa na hivyo Virusi Vikuu ndani ya Simba SC nilivyokutajia.

Na ili Kukuonyesha pia kuwa hata Sisi Simba SC mara nyingi Ushindi Wetu kwa Yanga SC huwa tunafanya Umafia wa Kuwarubuni Wachezaji wao Muhimu na Waandamizi.

Kwa mfano ile Mechi ya Simba SC Kuifunga Yanga SC zile Goli 5 kwa 0 tuliwahonga ( tuliwarubuni ) Wachezaji wao Nadir Haroub 'Cannavaro', Shedrack Nsajigwa na 'Maestro' Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima na Mwanangu wa Mwanza Jerry Tegete ambaye kabla ya Mechi alinihakikishia kuwa Watafungwa nyingi ili pia Kiongozi ambaye walikuwa hawampendi Lloyd Nchunga aondoke Yanga SC na kweli ikawa hivyo.

Mechi nyingine ni ile ya FA ambayo Simba SC iliifunga Yanga SC Goli 4 kwa 1 ambapo Sisi Simba SC tulimpa Pesa Mchezaji Tshishimbi ambaye nae akawapa Wenzake Juma Abdul na Mvutaji Mjiti Mkuu Kelvin Yondan na wakafanya kama tulivyokubaliana.

Nikusaidie tu leo kuwa Simba na Yanga zote 85% ya Ushindi na Ubingwa wao ni wa Kununua zaidi ila ukiona tu Timu Moja inateseka kwa wakati huo jua ya kwamba huwa inakuwa Imehujumiwa Kifedha kama ilivyo sasa ambapo siyo Siri Simba SC yangu inazidiwa Kifedha na Yanga SC kupitia GSM ambao pia wana Msaada na Nguvu Kubwa kutoka kwa Mstaafu Mmoja mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali ya sasa ya Rais Samia.

Hata Sisi Simba SC enzi zetu tulikuwa tunawafunga Yanga SC kwa kupitia aliyekuwa Kiongozi Wao wanayemuamini Mzee Francis Kifukwe ambaye Kiuhalisia ni mwana Simba SC ila alipenyezwa Yanga SC kwa Kazi Maalum.

Hata Sisi Simba SC aliyekuwa Kiongozi wetu Godfrey Nyange Kaburu ametuharibia mno kila tukicheza na Yanga SC na hata katika Mechi zetu za Ligi kwa Kutusaliti na Kutumika na aliyekuwa Mfadhili na Tajiri wa Yanga SC wakati huo Yusuf Mehboob Manji.

Nakumbuka mwaka 2014 kwa Usaliti mkubwa aliokuwa akitufanyia Godfrey Nyange Kaburu alikoswakoswa Kupigwa Risasi Taifa na Kapteni Mstaafu wa JWTZ na mwana Simba SC lia lia Marehemu Zackaria Hanspoppe baada ya Camera za Uwanjani kumuonyesha Kaburu akipuliza Dawa Vyumbani ili Wachezaji wa Simba SC waliokuwa wakicheza na Ruvu Shooting FC wakirejea Vyumbani walewe na Wadhoofike ili wasishinde ( wafungwe ) na Yanga SC izidi Kuchanja Mbuga na kuwa Mabingwa ila akaokolewa na Mzee Ismail Aden Rage.

Ni vyema mkubali kuwa kuna Vitu hamjui na mkiona wapo Watu Wanaojua mengi na wamewazidi Maarifa na Exposure msiwe mnawachukia kama afanyavyo malantu na Wenzake akina tracebongo , nguvu na koba lee ambao GENTAMYCINE kujua Kwangu Mambo mengi na Vitu vingi vya Kimpira, Kisiasa, Kielimu, Kijamii, Kiusalama ( Kijeshi ) na Kiburudani Kwao ni Chukizo na Wivu mkubwa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!

Cc: Slim5
 
Back
Top Bottom