Mungu hana hasira, hana furaha, hana Upendo na wala hana chuki. Hizi ni attitudes za binadamu, Mungu sio binadamu.
Hicho kinachoitwa MUNGU ni hali ya kuwa (State of Being), haitendi chochote. (Hii mada ni ndefu na kwa sasa sina muda).
Chochote kinachotokea hapa Duniani kinasababishwa na binadamu au matokeo ya nature yenyewe namna inavyoji_organise na inavyoratibu matukio yenyewe, unachomfanyia X ndio hicho hicho utafanyiwa wewe, hata kama utafanyiwa na Y na siyo X lakini kitakufika tu kwa namna yeyote.
Karma is Real na haisababishwi na Individual yeyote, iko automatically.
Nature is Real, na inaji_organize yenyewe.
Mungu sio lijitu fulani kubwa lenye midevu ambalo liko hapo juu mbinguni kana kwamba linatuangalia sisi hapa chini na linasababishwa matukio, kwamba nani afanikiwe, nani asifanikiwe, nani ampe na nani asimpe. Hakuna upuuzi kama huo.
Kinachotokea Duniani ni jitihada.za binadamu na kudra ya Nature kwa namna inavyo_support au kuto_support hizo energy kwa wakati huo.