Dhambi ya kuua humchukiza sana Mwenyezi Mungu

Dhambi ya kuua humchukiza sana Mwenyezi Mungu

Kinaingilia na kuvuruga vipi mipango ya Mungu?
 
Unatofautisha vipi?


Yale ambayo yako ndani ya uwezo wa mwanadamu ni mipango ya mwanadamu kwa yale ambayo yako juu ya uwezo wa mwanadamu huwa ni mipango ya Mungu.

Actually pale ambapo akili, nguvu, pesa, technically, n.k vinaposhindikana kuleta ufumbuzi ndipo uwezo wa Mungu hudhirika.

Matharani; majanga kama tufani, maswala ya uzazi, mitihani /majaribu mbalimbali ambapo kwa vigezo vya kibidamu unaona hakuna tatizo lakini kiuhalisia mambo hayaendi au pale pasipo kuwa na Sifa za kuwezekana jambo kwa akili za kazi binadamu au mazingira kukataa lakini kwa uwezo wa Mungu jambo linafanyika.
 
Yale ambayo yako ndani ya uwezo wa mwanadamu ni mipango ya mwanadamu kwa yale ambayo yako juu ya uwezo wa mwanadamu huwa ni mipango ya Mungu.

Actually pale ambapo akili, nguvu, pesa, technically, n.k vinaposhindikana kuleta ufumbuzi ndipo uwezo wa Mungu hudhirika.

Matharani; majanga kama tufani, maswala ya uzazi, mitihani /majaribu mbalimbali ambapo kwa vigezo vya kibidamu unaona hakuna tatizo lakini kiuhalisia mambo hayaendi au pale pasipo kuwa na Sifa za kuwezekana jambo kwa akili za kazi binadamu au mazingira kukataa lakini kwa uwezo wa Mungu jambo linafanyika.

Interesting.
 
Kitendo cha kutoa uhai wa mtu mwingine makusudi kinamchukiza sana Mwenyezi Mungu. Kitendo hiki kinaingilia na kuvuruga uumbaji na mipango ya Mungu kwa mwanadamu duniani.

Kabla ya kushushwa kwa Amri kumi za Mungu, watu waliuana sana. Waliuana katika kuteka miji na utawala, visa vya kujilikimbizia mali na hata kupoteza ushahidi.

Amri kumi zikienezwa Ulaya na dola ya Warumi, kabla ya hapo Wazungu waliuana sana. Waliona fahari kutundika mafuvu ya vichwa ukutani kama fahari kuonyesha idadi ya watu ulio wahi kuwaua.

Wauwaji hawana maisha marefu duniani, wale wanaoishi huishia kuishi maisha ya mateso. Kutoa mimba pia ni uuaji na humchukiza Mwenyezi Mungu.
Angalia yule muuaji aliezikwa kwenye banda la bati kule burige,damu ya mtu hukurudia wote waccm walioua watakufa kwa mateso
 
Ben,Azory et al waliuawa na kupotezwa familia zao zisishuhudie makaburi yao.Ni ukatili uliopitiliza.
Wataficha wapi sura zao "wasiojulikana" wanaojulikana na Dhambi hii??
wengi wanapukutika kama majani ya miti yaliyokauka
 
kuna siku nmefanya research katika vitabu vya dini nikagundua shetani hajawahi kuua mtu, ila mungu kashaua wengi sana mpaka wasio na hatia sababu ya makosa ya wengine!


ah! niko around mazee!
Wewe umepotoka vibaya sana tena sana.

Anyways, sio kosa lako, kosa ni huna maarifa au ufahamu wa "NENO" la MUNGU.

Kwa kifupi sana nitakujulisha. Iko hivi:

MUNGU siyo "muuaji", kinachowaua Wanadamu ni "dhambi" na siyo MUNGU. Na aliyeleta dhambi duniani ni "shetani".

Kwa kuileta dhambi duniani shetani ndiye "muuaji" sababu pasipo dhambi hakuna kifo, kifo ni matokeo ya dhambi. Soma Yohana 8:44

Utaniambia mbona MUNGU alileta gharika ikaua mamilioni ya watu, au mbona MUNGU alishusha moto Sodoma na Gomora na kuua maelfu au utasema mbona MUNGU aliruhusu Waisraeli kuua mataifa yaliyokuwa nchi ya Kanaani.

Ndugu yangu unapaswa kufahamu kuwa MUNGU ni MKWELI na mwenye HAKI na kamwe hana UONEVU.

MUNGU amejiwekea laws and principles, sheria na taratibu zisizopindishwa wala kuyumbishwa na kitu chochote kile. Moja ya sheria hizo ni kwamba dhambi ikifanyika itazaa kifo. Hiyo iko hivyo na haibadiliki.

Ndiyo maana utaona kwamba kifo kilikuja baada ya dhambi kufanyika na aliyeleta dhambi ni Shetani hivyo automatically muuaji ni Shetani hata kama utekelezaji unafanywa na MUNGU. Ndiyo maana nikakwambia soma Yohana 8:44 imeandikwa, "Ibilisi ndiye muuaji tangia mwanzo".

MUNGU kwakuwa Yeye ni mwenye HAKI anasimamia sheria na taratibu zake sababu ndivyo impasavyo yeyote mwenye haki. Kwa kusimamia sheria na taratibu, watu wasiokuwa na "maarifa na ufahamu" wanamwona MUNGU kama muuaji.

Isitoshe, dunia na vyote viijazavyo wakiwemo viumbe wote, malaika na wanadamu, ni mali ya MUNGU. Ikiwa wewe una haki ya kusafisha nyumba yako na kutoa uchafu wote nje na kuuchoma moto na kuua panya na mende, viumbe usivyoviumba wewe, Je, MUNGU, hana HAKI ya kuisafisha dunia yake kwa kutumia sheria na taratibu alizoziweka??
 
Back
Top Bottom