kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Umejieleza vizuri. Wewe jua tu kuna mwanzo wa vyote ila usipoteze mda wako kutafuta huo mwanzo. Tumia tu akili uliyopewa kupambana na hali yako. Unakumbuka wazungu walipotuachia Biblia ili sisi tuendelee kufunga macho kwa kuomba na wao kupora mali zetu?