kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Huko mbele mbichi na mbivu zitajulikana tu
Tell themUmejieleza vizuri. Wewe jua tu kuna mwanzo wa vyote ila usipoteze mda wako kutafuta huo mwanzo. Tumia tu akili uliyopewa kupambana na hali yako. Unakumbuka wazungu walipotuachia Biblia ili sisi tuendelee kufunga macho kwa kuomba na wao kupora mali zetu?
Mbona kila kabila linamjua Mungu kwa lugha yake msaada upi sasaDhana ya Mungu ni mtego wa kisaikolojia.
Katika hili, tunapaswa kusaidia jamii yetu isikamatwe na mtego huu.
Hii defender auHao hapo wajanjaa wa wakuwalaa wajingaa na Wana tambaa na hamtawafanya kituuView attachment 2941893View attachment 2941894
Logical non sequitur.Mbona kila kabila linamjua Mungu kwa lugha yake msaada upi sasa
Achana na Hawa wa mihemuko wafata mkumbo wa ulevi wa diniLogical non sequitur.
Kulingana na hoja nliyoweka hapo na ulichonijibu..
Hapo kuna uhusiano gani?
Kwamba kila kabila likiwa linaamini Mungu kwa kabila zao local ndo zinafanya imani hizo kuwa ni kweli?
Unaelewa kuwa hoja yangu ni kuziokoa jamii hizo ziondokane na dhana hiyo ilijojengwa kwa msingi wa ujinga zaidi (kutokuelewa mambo) haijalishi zinaamini katika lugha zao mama!?
Kuna sehemu nimepita nikasikia wanawake wanamsema mwenzao eti anatoa hela yote, akifika nje anaanza kuomba nauli, huu ni upuuzi, haya majambazi eti ya kiroho yapigwe marufukuWenye akili timamu watakuelewa lakini wenye ufinyu wa maarifa watazidi kukuchukia, Kuna Mama mmoja hapa Mtaani Kila siku anaenda Kawe pale Tanganyika Packers lakini maisha anayoishi, Yule Jamaa wa Tanganyika Packers awe anawafundisha na stadi za maisha aisee 🤣🤣🤣🤣
Wenye akili timamu watakuelewa lakini wenye ufinyu wa maarifa watazidi kukuchukia, Kuna Mama mmoja hapa Mtaani Kila siku anaenda Kawe pale Tanganyika Packers lakini maisha anayoishi, Yule Jamaa wa Tanganyika Packers awe anawafundisha na stadi za maisha aisee 🤣
KabisaKuna sehemu nimepita nikasikia wanawake wanamsema mwenzao eti anatoa hela yote, akifika nje anaanza kuomba nauli, huu ni upuuzi, haya majambazi eti ya kiroho yapigwe marufuku
Haya majizi yana uwezo wa kuwanunua hata watalaam wetu, ili kubadiri ugonjwa ambao ni +ve na ukawa-veKabisa
KabiiiisaHaya majizi yana uwezo wa kuwanunua hata watalaam wetu, ili kubadiri ugonjwa ambao ni +ve na ukawa-ve